uttoh2002
JF-Expert Member
- Feb 3, 2012
- 14,664
- 26,396
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.
Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Hivi mbaendaga Kanisani kufanya nini nyingi!?