Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

Mbinguni kwa baba
giphy.gif
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Huyo Vick afukuzwe chama. Msaliti na anamsemea mtu ambaye anajulikana. Hafai kabisa huyo Kamata
 
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.

Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Hebu nioneshe hiki ulichokisema kimeandikwa wapi ktk biblia takatifu, usilete vijitabu Vya kitapeli Vya mitaani tafadhali
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Hivi hawa watu wako hai au walishakufa?
1.Hitler
2.Iddi Amin
3.Bokassa
4.Mobutu????
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Katili kama yule awe mbinguni?!
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Mbingu gani ?

Nikimkuta uko nitaomba kwenda jehanam
 
Waovu akina Hitler, Bokassa Idi Amin etc wanatajwa hadi hii leo na wataendelea kutajwa kwa miaka mingi sana ijayo. Kwani huyo dhalimu mwendazake ana umuhimu gani mpaka asitajwe?

Braza K alimaliza Kila kitu.
 
  • Nzuri
Reactions: BAK
Back
Top Bottom