johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,915
- 141,874
- Thread starter
- #81
Hilo ni Agano la Kale!Imani potofu. Biblia inasema baada ya kifo kinachofuata ni hukumu tu.
Hilo ni Agano la Kale!Imani potofu. Biblia inasema baada ya kifo kinachofuata ni hukumu tu.
Umeshafura!Umelazimishwa kuwasikiliza? 🙄
Tupe ushahidi kuwa wapo chini ya Kikwete mpuuzi wewe! Hujisikii raha bila kumtaja kikwete mwehu wa chato weweHiki kikundi kipo chini ya kikwete.Zitto Kabwe,Diallo,Vicky Kamata.Yaan wamepanga kufanya hivyo.Ndio Maana utaona hata Amos Makalla ,ni mkuu wa,Mkoa .Ni level ya chini sana kulinganisha na Urais.Eti naye anamlaumu Rais Magufuli.Bagonza anatudanganya kuwa kikwete hayupo kwenye ushauri wa SSH.Lakini yanayotokea ni dhahiri yanaanzia kwa Kikwete. Na pia huyu SSH inaonekana yupo kuonyesha kuwa Magufuli hakuwa sawa.Yeye ndio bora.Lakin wakati utatoa majibu,na wanafiki wote wataumbuka.Kwani wanachofanya ni upuuzi mtupu.
Unakuwaga kajinga sana kama unamung'unya misasati.Waache waongee walivyoumia watoe sumu.******** was a fool as well!Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Kabebwa na wakabila wenzake! Achana nae mpuuzi tu huyoWe jamaa ulikuwa unamponda Sana Magufuli Ila sasa hivi umekuwa mpiga debe wake mkubwa ..
Aiseh watanzania sijui unafiki tumeutoa wapi?
Uchaguzi 2020 - Magufuli akishinda tena Urais mimi nahama Nchi
Nipo tayari kuhama nchi kama Magu atashinda Urais Nitaondoa biashara zangu zote Tanzania na kuziamishia nchi zingine. Nitaondoa watoto wangu wote Tanzania siwezi kuendelea kuishi kifala ndani ya nchi yangu Bora nikaishi kifala ugenini. Kwanini naondoka? Kwa sababu sioni nchi ikiwa salama...www.jamiiforums.com
Hata wamseme vibaya vipi, Yeye ni Yeye na keishaumaliza mwendo. Yupo huko anawasubiri na kama inawezekana, awashughulikie tena!!!!!Comrade tulia watu wamwage nyongo zao.
Pia wafuasi wake tulieni dawa iwaingie.
Ccm bwana. Ila yatawakuta nao tu muda ukifikaComrade tulia watu wamwage nyongo zao.
Pia wafuasi wake tulieni dawa iwaingie.
Mtu akipewa adhabu ya kifo huambiwa iwe fundisho kwako na wenye tabia kama yako. Lengo hasa ni wenye tabia kama zake. Magufuli anasemwa kwaajili ya wenye tabia kama zake.Hata wamseme vibaya vipi, Yeye ni Yeye na keishaumaliza mwendo. Yupo huko anawasubiri na kama inawezekana, awashughulikie tena!!!!!
Kwahiyo JPM "alipewa" adhabu ya kifo? Na nani? He, unajua Mme wa Vicky Kamata nae aliishafariki? Naye "alipewa" adhabu ya kifo? Na nani?Mtu akipewa adhabu ya kifo huambiwa iwe fundisho kwako na wenye tabia kama yako. Lengo hasa ni wenye tabia kama zake. Magufuli anasemwa kwaajili ya wenye tabia kama zake.
Bro kama Magufuli yuko mbinguni sisi hofu yetu ni nini? Si kapumzika huko? Kwani anapata shida gani kama si sisi wenye shida?Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Watakuelewa wachache sanaMbona Yesu alipaa peke yake akamuacha kibaka analiwa na funza.
Msilinganishe vitu vya hovuo na mambo ya msingiHilo ni Agano la Kale!
Bwashee huyo jamaa hayuko mbinguni, wala hata viunga vya mbinguni. Yuko jehanam anaungua na moto mkali sana kutokana na roho yake mbaya na roho za watu kadhaa alizozitoa!Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.
Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.
Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.
Hao ndiyo sukuma gang unao wasikiaTupe ushahidi kuwa wapo chini ya Kikwete mpuuzi wewe! Hujisikii raha bila kumtaja kikwete mwehu wa chato wewe
Hao ndiyo tunawaitga CHAWA.Unakuwaga kajinga sana kama unamung'unya misasati.Waache waongee walivyoumia watoe sumu.******** was a fool as well!
Naona umezoea kushughulikiwaHata wamseme vibaya vipi, Yeye ni Yeye na keishaumaliza mwendo. Yupo huko anawasubiri na kama inawezekana, awashughulikie tena!!!!!
Watalia na kusaga menoCcm bwana. Ila yatawakuta nao tu muda ukifika
...PERIOD...No rest for the wicked