Hakuna anayemkejeli Magufuli. Wote wanaelezea sifa na wasifu wa Magufuli kama ilivyo kwa Marais wengine. Mbona mpo leo watu wanamuwongelea hayati baba awa taifa??Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.