Zitto Kabwe na Vicky Kamata mwacheni hayati Magufuli apumzike kwa amani huko mbinguni

Hawa ndio team Msonga originally

Pumbavu zao shamba la Bibi!!!!
We jamaa ulikuwa unamponda Sana Magufuli Ila sasa hivi umekuwa mpiga debe wake mkubwa ..

Aiseh watanzania sijui unafiki tumeutoa wapi?



 
Umenichekesha, apumzke mbinguni kwa baba, ulienda au uliwahi kufika huko ukahakiksha yupo, au una jua aliko kwa sasa.?! embu muwe mnaficha upumbavu wenu.
Angesema kuzimu ungekenua mpaka jino la mwisho as if wewe huko ulikwenda na kuthibitisha kama kupo…. Kubwa jinga..
 
Umelazimishwa kuwasikiliza? 🙄
Usipotoshe wanasiasa wetu wenye nafasi ya ushawishi.

Haujengi, bali unajaribu kuwabomoa na kulibomoa Taifa la Tanzania.

Wanyooshe wanasiasa hawa katika njia iliyobora kuelekea kuiletea maendeleo ya kweli Tanzania na watu wake.
 
Usipotoshe wanasiasa wetu wenye nafasi ya ushawishi.

Haujengi, bali unajaribu kuwabomoa na kulibomoa Taifa la Tanzania.

Wanyooshe wanasiasa hawa katika njia iliyobora kuelekea kuiletea maendeleo ya kweli Tanzania na watu wake.
Zzk hajawahi kuwa mwana siasa mwenye ushawishi hata siku moja.

Sema unamtetea zzk kwa sababu ni mwana ccm mwenzenu.
 
Hii tabia ya kutumia media kumshambulia na kumkejeli hayati Magufuli imeanza kuota mizizi sasa.

Alianza Zitto Kabwe na sasa kaibuka mwanachama wa CCM Vicky Kamata kumnenea mabaya hayati Magufuli.

Itoshe tu kusema, Magufuli aachwe apumzike mbinguni kwa Baba.

Hata Iddi Amini, Hitler, Mussolini, na wengi wa namna hiyo hawatakaa wapumzike kwa amani.

IMG_20211015_144814_546.jpg


Umeishi kidhwalimu unapumzika vipi kwa amani?

Somo kwa wote wenye tabia kama zake, hawatakaa wapumzike kwa amani.
 
Ukipakwa mafuta matakatifu kabla ya kifo unapata msamaha wa dhambi zako zote unazozifahamu na usizozifahamu.

Hayati Magufuli alipatiwa sakramenti hii na kardinali Pengo!
Yupo matoharani ama mbinguni!? Basi mchakato wa kidini wa kumfanya awe mwenye heri uanze mara moja, ikiwa kama njia ya kutaka kumtakatifuza.
 
12 Reactions
Reply
Back
Top Bottom