zuuth
JF-Expert Member
- Mar 10, 2015
- 377
- 142
sanaaa
naona BAVICHA WOTE WAME TUNE ON EATV
hahahahaahahahaha
Mkuu mbona umeitikia kiushabik saaana...
sanaaa
naona BAVICHA WOTE WAME TUNE ON EATV
hahahahaahahahaha
Uwe na kumbukumbu alisema mwanzoni anaachana na siasa aende kufundisha
watu wanachukua kadi za chama kama njugu,moshi kina wanachama wapya 200 ambao wamemsimamisha mwenyekiti wa ACT ili wapatiwe kadi pamoja na kufungua ofisi-Zitto Kabwe
Jamaa anasema kuna wenzake walitangulia kuanzisha chama yeye amefuata
Maswali ya papo kwa papo na yaliyojaa mitego. Zitto haogopi vyombo vya habari. Natamani Mbowe siku moja aje EATV apate maswali kama haya tumuone.Huyu jamaa anatwanga maswali unaweza kimbia,Zito ana akili sana
Mkuu mbona umeitikia kiushabik saaana...
Jamani zitto kapanic leo, anajibu kikauzu hakya nan anahaibisha hapo
nitamshangilia kiongozi anaetaka kunikwamua kimasikini na mwenye nia hiyo
SIO ANAEONGEA KAMA KASUKU ILI KUPATA RUZUKU ZA CHAMA.
I
Maswali ya papo kwa papo na yaliyojaa mitego. Zitto haogopi vyombo vya habari. Natamani Mbowe siku moja aje EATV apate maswali kama haya tumuone.
Mkuu mbona anajibu vyema. Anaendana na kasi ya muuliza maswali
Jamani zitto kapanic leo, anajibu kikauzu hakya nan anahaibisha hapo