Zitto Kabwe atakuwa live hotmix EATV

Zitto Kabwe atakuwa live hotmix EATV

Zitto haeleweki hata kidogo sijui ndio kuwa ana stress,leo ameogopa kuiponda ccm au kikwete anadai kafanya mengi mema,atakuwa anataka akivuruga vyama pinzani basi baadae aje ajiisogeze ccm

Hata airtime kalipiwa na waliomtuma kwa kazi maalum leo amesifiwa huko moshi
 
Hahaha hii Catch phrase imekaa poa sana: "Chadema waliwatukana cuf kuwaambia ni chama cha mashoga,hivyo hii ni siasa watu wabakize maneno".

Kama unaungana na shoga na unafanya mambo kishoga na wewe unakuwa nani?.

Leo Chadema kimeungana na CCM -B yaani CUF, nao wanakuwa CCM-C

Cuf wako makini walifikiri wakaona wasifanywe Ccm B
 
Mtahangaika sana!.hamtaki kuamini kua threads Zenu zinabuma sasa hivi?,,this is tz buana only 3wks in media tuu,shenztype act

Mjomba ndio uwezo wako ulikoishia? tukiwaambia shule tatizo mnasema tunawatukana,hiki ki comment chako unakikopi na kupesti kwa kila thread
 
Back
Top Bottom