Kweli wakuu nimelipita gari la Zitto Hammer pale ofisi za EATV.
kigeugeu huyu..leo ile kauli yake tusiwaamini wanasiasa imetimia.. Anasema atagombea ubunge
Zitto ungegombea Kigoma lakini mambo ya Ubungo, Kahama, Segerea, Kawe ungeachana nayo.
kigeugeu huyu..leo ile kauli yake tusiwaamini wanasiasa imetimia.. Anasema atagombea ubunge
Zitto yuko vizur saana kisiasa
alisema hatagombea kigoma lakini hakusema kwamba hata gombea
naona misuule ya ufipa yote imetoa macho inaangalia
hahahhah si mlisema kashuka kisiasa
mbona wote mnamuangalia
Anasema hagombei kigoma kaskazini