Zitto Kabwe atakuwa live hotmix EATV

Zitto Kabwe atakuwa live hotmix EATV

Mwl. Kaijage

JF-Expert Member
Joined
Jan 3, 2015
Posts
216
Reaction score
214
Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Mwami Zitto Kabwe atakuwa Live EATV kuanzia saa kumi na mbili jioni mpaka saa mbili usiku.
Tafadhari usikose kumtazama na kumsikiliza Mzalendo Mwami Zitto Ruyagwa.
 
Ayatolah Zitto kama sio tamaa za haraka basi angekuja kuwa mwanasiasa hodari duniani
 
Daah! Kaijage unafisha kwa kutuhabarisha ,huyo jamaa ni zaidi ya kiongizi,huku kwetu tunamwita Messi wa siasa za Tanzania ,naamini yatasemwa mwengi yenye tija kwa taifa.

Wahafidhina wameshapotea maana sasa hata hawana agenda tena kwenye chama chao,M4C imeshakufa na sasa wamebaki kufuatilia Zitto anataka kufanya nini.
 
Sarakasi za matapeli bado zinaendelea... Sikiliza ukiwa na akili timamu lasivyo utajikuta upo mwenyewe hata umfuataye atakuwa hakumbuki maneno yake!!
 
Sipotezi muda wangu kumwangalia huyo gagula
 
Kilichomponza zitto ni kutokuwa na subira! Act muda si mrefu itakuwa kama updp ya dovotutwa!
 
Mtahangaika sana!.hamtaki kuamini kua threads Zenu zinabuma sasa hivi?,,this is tz buana only 3wks in media tuu,shenztype act
 
inakuwaje Zitto anakuwa na kampuni isiyotengeneza faida huku ikiwa na wanahisa?
 
Ripoti ya CAG ambayo Huwa Ndio Siasa Za Ayatollah khomoinei si imetoka ....??? Nadhani tutaanza kusikia mambo ambayo Ayatollah "ameyafanya" kwenye ripoti hiyo...
 
Back
Top Bottom