Zitto Kabwe atakuwa live hotmix EATV

Zitto Kabwe atakuwa live hotmix EATV

Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Mwami Zitto Kabwe atakuwa Live EATV kuanzia saa kumi na mbili jioni mpaka saa mbili usiku.
Tafadhari usikose kumtazama na kumsikiliza Mzalendo Mwami Zitto Ruyagwa.
Post gani hizi
 
Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Mwami Zitto Kabwe atakuwa Live EATV kuanzia saa kumi na mbili jioni mpaka saa mbili usiku.
Tafadhari usikose kumtazama na kumsikiliza Mzalendo Mwami Zitto Ruyagwa.

Atazunguka tv na redio zote na kote huko analiwa pesa za kujitangaza
 
Muambieni aongeze kututajia mali zake na ile hotel ya pale dodoma sio analetapolojo eti azimio la arusha pumbafu zake.
 
ngoja aione gharama ya kujenga chama,af baadae asalitiwe na alowakaribisha ndo atamuelewa Mbowe
 
halafu mbona hamlitolei ufafanuzi hili suala la chama ndani ya chama,act wazalendo na tanzania?
 
Naona povu linawatoka sana ufipa hapakalik saiv mambo magumu sanaaa,ha ha haa huyo ndo Zitto kiboko yenu

Tuna haki ya kufanya mijadala kwa jinsi tunaona inafaa na jins tunavyofikiri pia.
Hakuna chombo cha habari kinatangaza habari za mtu bure bila garama
 
ngoja aione gharama ya kujenga chama,af baadae asalitiwe na alowakaribisha ndo atamuelewa Mbowe

Tena ikiwezekana chadema wasimuone huru lzm tutatuma maafisa usalama wa chadema wapenye act watuletee habari na mipango yao yote kama ambavyo ccm walimpandikiza zito chadema.
Dhambi unalipwa hapa hapa duniani,hata ifbi imepandikiza maafisa usalama wao alshabab ili kupata taarifa
 
Kiongozi wa Chama cha ACT-WAZALENDO Mwami Zitto Kabwe atakuwa Live EATV kuanzia saa kumi na mbili jioni mpaka saa mbili usiku.
Tafadhari usikose kumtazama na kumsikiliza Mzalendo Mwami Zitto Ruyagwa.

Wahenga walisema kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza. Hivyo zitto atahangaika sana kwenda media mbali mbali kila kukicha kujitangaza na kutangaza kampuni yake binafsi act. Lakini amechelewa maana watanzania wa leo wanaelewa chenga na mchele walishaamka. Na ukiwa msaliti wanakuangalia kama hawakuoni ila mtajua hayo oct kwenye sanduku la kula na ndipo mtakapojizalau na kumpamba huyo zana za kilimo
 
Wahenga walisema kizuri cha jiuza na kibaya cha jitembeza. Hivyo zitto atahangaika sana kwenda media mbali mbali kila kukicha kujitangaza na kutangaza kampuni yake binafsi act. Lakini amechelewa maana watanzania wa leo wanaelewa chenga na mchele walishaamka. Na ukiwa msaliti wanakuangalia kama hawakuoni ila mtajua hayo oct kwenye sanduku la kula na ndipo mtakapojizalau na kumpamba huyo zana za kilimo

ACT itapata. Kura nyingi kuliko chadema,we subiri uone.
 
Tunakusubiri shujaa wa wengi wazalendo
 
Asante sana Mwl.Kaijage.
Tuko pamoja wazalendo wote tutakuwa mbele ya TV. Yaani naona kama muda umechelewa kufika.

Punguza mahaba utaolewa mwenzako anafanyakazi aliyotumwa na ameajiliwa kwa hilo we nenda kichwakichwa tu.
 
Haswa kwa sababu wamedhamiria kuiondoa serikali dhaifu ya CCM lazima nchi isimame....

Anakomboa nchi gani?mtu mnakuwa mzuzu kweli labda aje mwandiga aikomboe na umaskini miaka kumi yote hajafanya lolote eti nilikuwa mbunge wa taifa!hana maana yoyote na mnaomfuata wapuuzi tu,angalieni msijekuwa mnamfuata mtu mwenye harufu ya ........
 
Ninyi mnaofata harufu ya ufyuzi/wafuasi wa ZZK)mwambieni atueleze tofauti zilizopo kati ya ACT-WAZALENDO(act chipolopolo)na ACT-TANZANIA(ya limbu) hata bendera naona zipo za aina mbili rangi ya zain na puple kulikoni yeye ndo mfalme wa chama atueleze.
 
Back
Top Bottom