CHIEF PRIEST
JF-Expert Member
- Dec 13, 2021
- 5,197
- 8,869
Maneno ya Zitto Kabwe ni ushahidi usiotia shaka kuwa alikuwa anatumiwa na TISS kwa niaba ya CCM kuidhoofisha Chadema tuhuma ambazo ndiyo zilimfufukuzisha Chadema.
Zitto Kabwe anaomba usajili CCM kijanjaMtasema mengi
Khaaaaa !! Uchawi na ulozi umemzeesha sana huyu mkongomani.
Au Mwigulu Nchemba, au Hamisi Kigwangwala......?Kwa hiyo umaamini jina la Paul Makonda mkuu?
Ingekuwa kama CUF ya mkongomani mwingine Ibrahim Haruna LipumbaNajaribu kuwaza tu, sijui CHADEMA ingekuwaje leo, kama ingekuwa chini ya Zitto hata kwa mwaka mmoja tu!
Nilitaka kuongeza kitu hapo nikakumbuka wanangu bado wadogo na ninaishi Tanzania.Mama hana uwezo huo , alichoweza ni kuuza Bandari kwa Wajomba zake
Einstein alipata gpa ya ngapi!?..gpa kubwa ni Kwa ajili ya nyie wamezaji,majinias huwa hawana time na gpa kubwa, Keynes uchumi wenyewe alikua na alama chafuSijui lkn pia usimfananishe keynes na huo uchafu.
Kha Kambi gani! Chama kinajifia hicho hakuna mtu anakitamani, subiri uchaguzi ndio utajua.Hivi ukatae uwaziri wa fedha, halafu ukachumie juani??.
Huyo Zitto ana force kurudi kambini
Zitto alifukizwa chadema kwa kuunyemelea uwenyekiti, wenye akili tunalijua hilo, nyie nyumbu endeleeni kushikiliwa akili. Umeenda kwenye maandamano lakini?🤣🤣🤣Maneno ya Zitto Kabwe ni ushahidi usiotia shaka kuwa alikuwa anatumiwa na TISS kwa niaba ya CCM kuidhoofisha Chadema tuhuma ambazo ndiyo zilimfufukuzisha Chadema.
Zitto Kabwe anaomba usajili CCM kijanja
Kikwete aliona CCM inakufa muda mrefu tangu 2012 alishaona dalili....Mnyonge mnyongeni haki yake Mpeni Zitto Kabwe kasema ukweli CCM ingekufa 2015
Mungu wa mbinguni mbariki Dr Kikwete kwa Kumleta Shujaa Magufuli aliyepindua meza
Mungu wa mbinguni mbariki Zitto Kabwe kwa kutufumbua macho Watanzania
Nawatakieni Dominica Njema 😀
Mods wanaona Shujaa atafaidi 😂😂😂Kikwete aliona CCM inakufa muda mrefu tangu 2012 alishaona dalili....
Wenye akili timamu tunajua jinsi Zitto Kabwe alivyotumiwa na TISS kuihujumu Chadema na ushahidi wote uko humu .Zitto alifukizwa chadema kwa kuunyemelea uwenyekiti, wenye akili tunalijua hilo, nyie nymbu endeleeni kushikiliwa akili. Umeenda kwenye maandamano lakini?🤣🤣🤣
Huko ni kushikiliwa akili na kina Mbowe, huo ndio Unyumbu wenyewe. Na Chacha wangwe nae alitumiwa na nani?Wenye akili timamu tunajua jinsi Zitto Kabwe alivyotumiwa na TISS kuihujumu Chadema na ushahidi wote uko humu .
Na wewe umeshikiliwa akili na Zitto Kabwe. Usitake kila mtu aamini unachoamini wewe.Huko ni kushikiliwa akili na kina Mbowe, huo ndio Unyumbu wenyewe. Na Chacha wangwe nae alitumiwa na nani?