Zitto Kabwe and ACT Wazalendo: Entangled in the Web of Conflict of Interest?

Retired

JF-Expert Member
Jul 22, 2016
40,402
74,011
Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tunaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika suala la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume huru ya uchaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!

Entangled in a Web of Conflict of Interest?​

What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
5. To crown it all, Zito ni mdini, sasa aegemee wapi? kwa Watanganyika wenzake ambao ni mchanganyiko wa wadini wenzake na wasio wadini wenzake au aegemee kwa mdini mwenzake Samia au wadini wenzake Waarabu? (appology for this observation)
 
Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tulnaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika sualka la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume ua Ychaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!

Entangled in a Web of Conflict of Interest?​

What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
Wewe bwana weweeee,tangu lini Zzk aliwahi kuwa mpinzani wa siasa za ccm?

Act ni ccm b na zzk ni mtumishi hewa kwenye siasa za kweli za upinzani.
 
Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tulnaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika sualka la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume ua Ychaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!

Entangled in a Web of Conflict of Interest?​

What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?

Zitto is a disgrace, nafikiri kwenye DP alikula mapema sana.
 
Ziti alu
Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tulnaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika sualka la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume ua Ychaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!

Entangled in a Web of Conflict of Interest?​

What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
Zito alipoamua kuacha ideology yake ya Siku zote n'a kuanzia uchuuzi wa kisiasa kwa kudhani akitumia nyota ya Maalim Seif pekee na kuamua kuitelekeza Tanzania na mbaya Zaidi kuliko hata hao aliowafanya role model kwa kuunga mkono serikali kifikra anadhani kutamfikisha mbali ndo alipopotea. Destiny yake kisiasa haitokuwa tofauti sana na ya Professor Lipumba na Maalim Seif.
 
Ziti alu

Zito alipoamua kuacha ideology yake ya Siku zote n'a kuanzia uchuuzi wa kisiasa kwa kudhani akitumia nyota ya Maalim Seif pekee na kuamua kuitelekeza Tanzania na mbaya Zaidi kuliko hata hao aliowafanya role model kwa kuunga mkono serikali kifikra anadhani kutamfikisha mbali ndo alipopotea. Destiny yake kisiasa haitokuwa tofauti sana na ya Professor Lipumba na Maalim Seif.
Mkuu huwezi kumlinganisha Maalim Seif na huyo Zzk mchumia tumbo wa Mwandiga.
 
Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tulnaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika sualka la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume ua Ychaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!
Baadhi ya tulioamini kuwa ni Wapinzani kumbe ni watu wa hovyo tu.

Mungu huwa anatufunulia wale ambao tusingeweza kuwatambua kwa macho na fahamu zetu.

Huwezi amini kwamba huyu ni Zitto aliyetufundisha siasa za uzalendo na kipigamia haki.

Amepotea kabisa.

Au anapata kinyongo anavyoona Chadema inazidi kuchanua na kustawi kinyume na matarajio yake.

Zitto alidhani baada ya Kuondoka Chadema basi chama kingekufa.

Ameamua kuungana na maadui
 
Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tulnaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika sualka la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume ua Ychaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!

Entangled in a Web of Conflict of Interest?​

What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
Yuko kwenye mtihani mkubwa sana
 
Zito Kabwe, Kiongozi wa chama cha ACT amekuwa kimya kwa masuala makubwa yanayoikumba Tanzania, Tanganyika in particular. Kwa tulnaomfahamu Zitto Kabwe na umahili wake wa kuchambua mambo ya kisiasa, kiuchumi n.k. leo hii amekuwa kimya katika sualka la Bandari, Loliondo, Ngorongoro, katiba mpya with an exception of Tume ua Ychaguzi huru ambayo infact haoni shida kuratibiwa na CCM!

Entangled in a Web of Conflict of Interest?​

What is a Conflict of Interest? A conflict of interest occurs when an individual's personal interests – family, friendships, financial, or social factors – could compromise his or her judgment, decisions, or actions in the workplace. (from google)
1. Chama chake ACT uhai na uwepo wake unategemea Zanzibar, atampinga Samia katika haya anayoifanyia Tanganyika?
2. Wenzake wa chana chake huko zanzibar wanaunga mkono udhalimu unaofanyiwa Tanganyika na Samia na serikali yake, je atajitenga nao?
3. Akijitenga nao ACT si ndio kifo chake kisiasa na kifedha?
Kwa Zito chochote kile kifanyachwo na kiongozi mwenye imani sawa na yake, hata kama ni kinyume na katiba na sheria, yeye wala hawezi kuona ukakasi wowote juu yake. Kwake kiongozi akiwa na imani tofauti ya kidini na yake, hapo kila kitu afanyacho, kiwe chema ama kibaya, kwa mtazamo wake ni kibaya.

Wazee wa Msogo wanaufahamu vyema udhaifu wa Zito. Simu moja tu kwake ni kama vile mafuta magumu yanavyoyeyuka mbele ya moto.

He has already been used and misused, so now completely compromised, and found himself entangled on the web of bigotry.
 
Hivi suala la Bandari limeishia wapi, au ndiyo tunasubiri siku 30 aLizotoa Mdude, tuanze Tena kufuatilia mwelekeo wake?
 
Back
Top Bottom