Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,783
- 66,962
Leo nimelikumbuka bunge la spika Sitta la mwaka 2005-2010.
Lilikuwa ni bunge la aina yake. Matukio mengi sana yalitokea katika bunge lile mpaka likagharimu nafasi ya hayati Sita kama Spika wa Bunge.
Ila leo, nimekumbuka zaidi matukio ya Zitto Kabwe.
Tukio la kwanza ni kuhusu ajali ya hayati Salome Mbatia. Chini ya kapeti inasadikika ajali ile ilipangwa iondoe uhai wa Zitto lakini jamaa alishtuka.
Tukio la pili, ni lile la kunyooshewa kidole bungeni na Mh. Mudhihiri Mudhihiri pale ambapo Zitto alituhumiwa kusema uongo bungeni.
Wiki chache baadae, Mh. Mudhihiri alipata ajali na ule mkono aliomnyooshea Zitto ukakatika mpaka leo ni mlemavu.
Zitto ana nguvu gani ya ziada?
Lilikuwa ni bunge la aina yake. Matukio mengi sana yalitokea katika bunge lile mpaka likagharimu nafasi ya hayati Sita kama Spika wa Bunge.
Ila leo, nimekumbuka zaidi matukio ya Zitto Kabwe.
Tukio la kwanza ni kuhusu ajali ya hayati Salome Mbatia. Chini ya kapeti inasadikika ajali ile ilipangwa iondoe uhai wa Zitto lakini jamaa alishtuka.
Tukio la pili, ni lile la kunyooshewa kidole bungeni na Mh. Mudhihiri Mudhihiri pale ambapo Zitto alituhumiwa kusema uongo bungeni.
Wiki chache baadae, Mh. Mudhihiri alipata ajali na ule mkono aliomnyooshea Zitto ukakatika mpaka leo ni mlemavu.
Zitto ana nguvu gani ya ziada?