johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,957
- 141,946
Zitto Kabwe wa ACT Wazalendo amesema kwa mujibu wa kanuni, Ripoti ya CAG iliyowasilishwa bungeni itaanza kushughulikia na PAC mwezi August na majibu yatapelekwa Bungeni mwakani 2024.
Hivyo kutokana na Ripoti ya CAG kuchukua muda mrefu, tunamuomba Spika Tulia aunde Tume maalumu ya Bunge kuchunguza Ubadhirifu wa TRC ikiwemo Ujenzi wa SGR na Ununuzi wa Mabehewa.
Kumekucha!
Hivyo kutokana na Ripoti ya CAG kuchukua muda mrefu, tunamuomba Spika Tulia aunde Tume maalumu ya Bunge kuchunguza Ubadhirifu wa TRC ikiwemo Ujenzi wa SGR na Ununuzi wa Mabehewa.
Kumekucha!