Kama ni kweli kuna Mkataba ulipelekwa bungeni na kuridhiwa 2017 basi KC Zitto Kabwe anazeeka vibaya sababu alikuwa mbunge!

johnthebaptist

JF-Expert Member
May 27, 2014
83,978
141,996
Zitto Kabwe KC wa ACT Wazalendo na alikuwa Mwenyekiti wa Kamati muhimu sana ya Bunge PAC amesema kwa mara ya kwanza ndio Mkataba umepelekwa bungeni huu wa DP World lakini haikuwahi kutokea kwa Serikali zote zilizopita

Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema 2017 Serikali ilileta bungeni Mkataba wa Bomba la Mafuta la Uganda Wabunge wakaujadili na kuufanyia marekebisho kadhaa na kuuridhia

Kinachonisikitisha Zitto Kabwe na John Mnyika ni Wasomi waliokuwa bungeni 2017, sasa nani anadanganya na kwa faida gani?

Ingekuwa Kibajaj au Msukuma wala nisingeshangaa

Mlale unono 😃😃
 
Jo chama chako unachokiamini ni maisha damu/nyonya damu kwa watu wake isivyo maelezo,wewe bali ushabiki tu😂
 
Zitto Kabwe KC wa ACT Wazalendo na alikuwa Mwenyekiti wa Kamati muhimu sana ya Bunge PAC amesema kwa mara ya kwanza ndio Mkataba umepelekwa bungeni huu wa DP World lakini haikuwahi kutokea kwa Serikali zote zilizopita

Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema 2017 Serikali ilileta bungeni Mkataba wa Bomba la Mafuta la Uganda Wabunge wakaujadili na kuufanyia marekebisho kadhaa na kuuridhia

Kinachonisikitisha Zitto Kabwe na John Mnyika ni Wasomi waliokuwa bungeni 2017, sasa nani anadanganya na kwa faida gani?

Ingekuwa Kibajaj au Msukuma wala nisingeshangaa

Mlale unono 😃😃
Bunge liliridhia kwa azimio kuhusu mkataba wa bomba la mafuta kutoka Uganda kwenda Tanga Tanzania mwaka 2017 kisha baada ya maoni ya wabunge serikali ilirekebisha maudhui ya mkataba ukaja kusainiwa mwezi April 2021
 

Attachments

  • Azimio la Bunge TZ Kuhusu Bomba la Mafuta Oktoba 2017.pdf
    194.8 KB · Views: 1
Zitto Kabwe KC wa ACT Wazalendo na alikuwa Mwenyekiti wa Kamati muhimu sana ya Bunge PAC amesema kwa mara ya kwanza ndio Mkataba umepelekwa bungeni huu wa DP World lakini haikuwahi kutokea kwa Serikali zote zilizopita

Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema 2017 Serikali ilileta bungeni Mkataba wa Bomba la Mafuta la Uganda Wabunge wakaujadili na kuufanyia marekebisho kadhaa na kuuridhia

Kinachonisikitisha Zitto Kabwe na John Mnyika ni Wasomi waliokuwa bungeni 2017, sasa nani anadanganya na kwa faida gani?

Ingekuwa Kibajaj au Msukuma wala nisingeshangaa

Mlale unono 😃😃
Zitto ni mdini ndiyo maana ana support huu ujinga
 
Zitto Kabwe KC wa ACT Wazalendo na alikuwa Mwenyekiti wa Kamati muhimu sana ya Bunge PAC amesema kwa mara ya kwanza ndio Mkataba umepelekwa bungeni huu wa DP World lakini haikuwahi kutokea kwa Serikali zote zilizopita

Katibu mkuu wa Chadema mh John Mnyika amesema 2017 Serikali ilileta bungeni Mkataba wa Bomba la Mafuta la Uganda Wabunge wakaujadili na kuufanyia marekebisho kadhaa na kuuridhia

Kinachonisikitisha Zitto Kabwe na John Mnyika ni Wasomi waliokuwa bungeni 2017, sasa nani anadanganya na kwa faida gani?

Ingekuwa Kibajaj au Msukuma wala nisingeshangaa

Mlale unono 😃😃
Jo unashangaa kwann wachawi ni waongo na Roho mbaya!!!
 
Back
Top Bottom