Zitto Kabwe aivua nguo serikali ya Magufuli huko Ughaibuni

Zitto Kabwe aivua nguo serikali ya Magufuli huko Ughaibuni

Hivi ni nani anayetoa vibali vya kwenda nje ya nchi kiholela? nafikiri kuna sehemu masharti yamelegezwa ndio maana watu wanakwenda nje hovyo bila shuguli maalumu zaidi ya kwenda kuichafua nchi nje kwa mabeberu
Hahahaaaaaa!
 
Musiba aende ujerumani ataongea lugha gani jina lake tu kafoji yeye ni Obeid Mlaga kichaa .
 
Hivi ni nani anayetoa vibali vya kwenda nje ya nchi kiholela? nafikiri kuna sehemu masharti yamelegezwa ndio maana watu wanakwenda nje hovyo bila shuguli maalumu zaidi ya kwenda kuichafua nchi nje kwa mabeberu
Mabeberu JPM anawaita Wanaume.. Cheza na Waume za watu
 
Wewe hebu fikiria wanakuja kwa mbwembwe za vitisho vya Kijeshi kuja Kuchukua Korosho zako,halafu wanarudi na Korosho zako Zikiwa Zimeishaoza na kudai Chenchi..hii Awamu ina Laana.
Tena laana ya Ibilisi mwenyewe!!!!!!!!
 
Utukufu wa Mungu yupi jamani? Mungu hakumbatii unafiki kama mnavyodhani nyie wanasiasa. Zitto ni mnafiki mkubwa. Ni kati ya wanasiasa Wambao ni hatari kupewa madaraka ya juu.
Ccm ni wanafiki kwa miaka zaidi ya 50 sasa... Acha ujinga
 
Mpaka muathirika areje ndiyo hayo yatakamilika vinginevyo ni kukwepa kwa maksudi mwendelezo wa uchunguzi hata wewe km hayo madai yako unaweza kuyathibitisha nenda kwenye vyombo vinavyofanya huo uchunguzi ili utoe ushirikiano. Circumstancial evidence mda mwingi sana haisaidii hususani pale mwathirika anapokua anawezapatikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
Huu ujinga subiri baba yako apigwe risasi 35+ uje ueleze humu.

Toa ujinga humu
 
Hao wangenyang'anywa passport.. Then waachwe waendelee kupiga domo huko nje tuone watapiga hilo domo hadi lini.
Acha upumbavu wako wa kishamba toka kolomije yaani badala ya kuwakata baba zako waache Udikteta uchwara wewe unapanga kuwapora passport Wapinzani wakati ni wajibu wao kuikosoa Serikali, acha kuishi kwa kukariri Akili mgando za cyprian Musiba
 
Back
Top Bottom