Zitto Kabwe aivua nguo serikali ya Magufuli huko Ughaibuni


Kiasi Tundu Lissu Anakunywa Maji anamuachia Mic Zitto Kabwe hakuna kulala,sasa naona hasira zote wanamaliziwa wakulima wa Korosho.
Ndio mwanasiasa pekee wa kweli sliyabakia
Nimemuelewa sana alivyo sema haisemi nchi ila anaisema serikali

Nchi= ccm +wapinzani +wasio na chama

Serikali= ccm +raisi + mawazili + RC na DC + wabunge wa ccm

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Arab Contractors bado wanakula "Tizi"hilo Bwawa litakwisha lini sasa?!
U3thJJ-1.gif
 
Utukufu wa Mungu yupi jamani? Mungu hakumbatii unafiki kama mnavyodhani nyie wanasiasa. Zitto ni mnafiki mkubwa. Ni kati ya wanasiasa ambao ni hatari kupewa madaraka ya juu.
Hivi huyu anayesema wakulima wa korosho wanadhulumiwa na asemaye warudishie korosho wakulima na warejeshe pesa korosho zomeoza nani hasa mnafiki hapo?
Hata kama akili yako imedumaa kiasi gani bado hilo unashindwa kuliona?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Wewe hebu fikiria wanakuja kwa mbwembwe za vitisho vya Kijeshi kuja Kuchukua Korosho zako,halafu wanarudi na Korosho zako Zikiwa Zimeishaoza na kudai Chenchi..hii Awamu ina Laana.
Wananchi wangekuja na Utaratibu was bidhaa ikishanunuliwa hairudishwi.Kwa hiyo Kila mkulima anarudishiwa korosho zake au ndo unachukua gunia lolote zile hata Kama sio zako
 
Back
Top Bottom