Prince Kunta
JF-Expert Member
- Mar 27, 2014
- 22,785
- 28,806
Hadi wewe mtumshi wa ccm unalalamika hali ngumu?
Hadi wewe mtumshi wa ccm unalalamika hali ngumu?
Hali ngumu Mkuu.... mitaani wananchi wanalia. We need to revamp our economic policies. With immediet effectHadi wewe mtumshi wa ccm unalalamika hali ngumu?
Usijali tutatumia jeshi kuupandisha uchumi juuHali ngumu Mkuu.... mitaani wananchi wanalia. We need to revamp our economic policies. With immediet effect
Sent using Jamii Forums mobile app
Ndio mwanasiasa pekee wa kweli sliyabakia
Kiasi Tundu Lissu Anakunywa Maji anamuachia Mic Zitto Kabwe hakuna kulala,sasa naona hasira zote wanamaliziwa wakulima wa Korosho.
Mmh Kwamba ni tangazo la kiserikali limetoka kabisa kwamba warudishe hela kisa korosho hazina ubora? Walizinunua vipi sasa na kulipa hela nyingi wakati walijua hazina ubora?.Korosho eti hazina ubora. Serikali hii ni laana.
Hakika mimi wangeniua tu. Sirudishi hela hata senti
apewe madaraka Fisi kuliko kupewa ZitoUtukufu wa Mungu yupi jamani? Mungu hakumbatii unafiki kama mnavyodhani nyie wanasiasa. Zitto ni mnafiki mkubwa. Ni kati ya wanasiasa ambao ni hatari kupewa madaraka ya juu.
Hebu angalia akili zako zilivyo ndogo !! Japo huwezi onaHivi ni nani anayetoa vibali vya kwenda nje ya nchi kiholela? nafikiri kuna sehemu masharti yamelegezwa ndio maana watu wanakwenda nje hovyo bila shuguli maalumu zaidi ya kwenda kuichafua nchi nje kwa mabeberu
Asiye mnafiki ni yupi huyo ?!Utukufu wa Mungu yupi jamani? Mungu hakumbatii unafiki kama mnavyodhani nyie wanasiasa. Zitto ni mnafiki mkubwa. Ni kati ya wanasiasa ambao ni hatari kupewa madaraka ya juu.
Hivi huyu anayesema wakulima wa korosho wanadhulumiwa na asemaye warudishie korosho wakulima na warejeshe pesa korosho zomeoza nani hasa mnafiki hapo?Utukufu wa Mungu yupi jamani? Mungu hakumbatii unafiki kama mnavyodhani nyie wanasiasa. Zitto ni mnafiki mkubwa. Ni kati ya wanasiasa ambao ni hatari kupewa madaraka ya juu.
Wananchi wangekuja na Utaratibu was bidhaa ikishanunuliwa hairudishwi.Kwa hiyo Kila mkulima anarudishiwa korosho zake au ndo unachukua gunia lolote zile hata Kama sio zakoWewe hebu fikiria wanakuja kwa mbwembwe za vitisho vya Kijeshi kuja Kuchukua Korosho zako,halafu wanarudi na Korosho zako Zikiwa Zimeishaoza na kudai Chenchi..hii Awamu ina Laana.
Hahahaaa walidhani wamepata kumbe wamepatikana.Siasa za Kikomunisti za Magufuli zawaliza wakulima wa Korosho.
Wakulima warudishiwa korosho zikiwa zimeoza.
Katika historia wameshawahi kutokea miaka ya zamaniii huko sio leoTuna rais wa ajabu haijawahi kutokea.
Pia wanajeshi wamewapa mimba mabinti zao na wake zao na ndoa nyingi zimevunjika wamepata hasara nyingi sanaSiasa za Kikomunisti za Magufuli zawaliza wakulima wa Korosho.
Wakulima warudishiwa korosho zikiwa zimeoza.