Zitto Kabwe aivua nguo serikali ya Magufuli huko Ughaibuni

Zitto Kabwe aivua nguo serikali ya Magufuli huko Ughaibuni

Uchunguzi wa awali uonyeshe ni nani aliwatoa walinzi wa Getini na pia uchunguzi uwahoji majirani na uchunguzi ueleze ni nani alizing’oa cctv camera tuanze na hao kwanza kabla ya Tundu Lisu kurejea, kesi zake unazodai sheria ifate mkondo wake kwa sasa tambua sheria hazifuati mkondo pindi mpinzani akipelekwa mahakamani bali sheria zinazotumikani za Amri toka juu kwa Naibu Rais ndugu Daud Arbaty Bashite na mtukufu malaika toka chato, mahakama hawafanyi kazi kwa mujibu wa sheria bali kwa mujibu wa zidumu fikra za Mwenyekiti wa CCM pamoja na mshauri wake mkuu Bashite.
Mpaka muathirika areje ndiyo hayo yatakamilika vinginevyo ni kukwepa kwa maksudi mwendelezo wa uchunguzi hata wewe km hayo madai yako unaweza kuyathibitisha nenda kwenye vyombo vinavyofanya huo uchunguzi ili utoe ushirikiano. Circumstancial evidence mda mwingi sana haisaidii hususani pale mwathirika anapokua anawezapatikana.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Katika historia wameshawahi kutokea miaka ya zamaniii huko sio leo
Kama huyu hata kusoma hajui alikuwa kazi yake ni kuuwa haswa wasomi lakini angalao anajitahidi kusoma kama mtoto wa Darasa la Kwanza


Huyu wa hapa nyumbani huwa hasomi popote yeye ni hasira tu.

At least he had a point to make through his brokest English!
 
Mpaka muathirika areje ndiyo hayo yatakamilika vinginevyo ni kukwepa kwa maksudi mwendelezo wa uchunguzi hata wewe km hayo madai yako unaweza kuyathibitisha nenda kwenye vyombo vinavyofanya huo uchunguzi ili utoe ushirikiano. Circumstancial evidence mda mwingi sana haisaidii hususani pale mwathirika anapokua anawezapatikana.

Sent using Jamii Forums mobile app

Acha hizo ina maana Tundu Lisu angefariki uchunguzi usingefanyika? Kinachofanya mkashindwa kuwakamata walinzi wa Getini ni nini? Kuwahoji majirani napo mpaka Tundu Lisu arejee? Visingizio vyenu havina mashiko zaidi ya kutengeneza mazingira Dereva akirejea abambikiwe kesi kisha aminywe sehemu za Siri alazimishwe kusema kile ambacho mnataka aseme mnamrekodi baadae mnawatuma wasiojulika wanamteketeza ili mpate kutengeneza Sinema zingine, kwa bahati nzuri mnaopanga nao njama akina Le mutuz ni watu wadhaifu sana wakilewa na kupewa michepuko hutoa siri zote, Sinema yote inajulika kabla ya kutengenezwa.
 
Naona uwivuuuu unakuuwa taratibu
Na bado walahi
Hilo jamaa la ARV liache tu libwabwaje
Dunia imeshampiga chini zamani
Fanatic fools
Spectacular failures
Jifurahishe na togwa Maana hata pesa ya bia huna walahi
In Goddess Isis voice


Sent using Jamii Forums mobile app

Acha ufala wewe kama anabwabwaja iweje mnahangaika kumyamazisha? wewe mwenyewe utameza ARV kwani hujaacha uzinzi na ukimwi upo jirani na wewe acha kujiona ni malaika na kakingereza kako ka Ugoko huu ulimbukeni wa kuendekeza kufikiri kwa Lugha za Mkoloni ndiyo umewafanya kuwa mbumbumbu sana.
 
Baadhi ya watetezi wa CCM hasa wale wa le mutuz ni malimbukeni sana bado wamekariri kuwa kuandika kingereza ni Usomi hawajifunzi hata kwa huyo huyo Le mutuz anapenda kingereza lakini bado ni kubwa jinga na kilaza wa kutupwa
 

Kiasi Tundu Lissu Anakunywa Maji anamuachia Mic Zitto Kabwe hakuna kulala,sasa naona hasira zote wanamaliziwa wakulima wa Korosho.

Mpaka aibu.
Hako kachama kenye ushirikiano na act ka huko ujerumani ninkadogo, yaani hata chama cha matikitimaji ni kikubwa. Hapo ndio anaenda voice his views, pathetic.
 
Mpaka aibu.
Hako kachama kenye ushirikiano na act ka huko ujerumani ninkadogo, yaani hata chama cha matikitimaji ni kikubwa. Hapo ndio anaenda voice his views, pathetic.
Mwacheni aseme kiwe kidogo kikubwa iweje CCM mnachachawa?!
 
Ila mpiga kura huyu hakulazimishwa kupiga kura yake kwa.....!! Pili huyu umasikini Ni sehemu yake ya maisha!!

Umasikini wa kupelekwa na viongozi wasukuma wawili toka kolomije na chato si sehemu ya Maisha
 
Back
Top Bottom