Zitto azomewa Bukoba

Zitto azomewa Bukoba

Zitto ni kiongozi mahiri, ni MZALENDO wa kweli piga kazi kijana achana na waongo wa mitandaoni
 
hawa wanao mzomea ni ACT ama, kama sio ACT wanafata nini mikutano ya ACT.

Wewe ningekuwa admin ningekutoa humu jf..
Hicho sio kikao cha chama mpaka wawepo Act peke take

Wabakuja watu mbalimbali kusikilixa Sera ya chama
 
Chadema kwa umbea na uongo hawajambo kabisa.
 
Akili salama haikubali yani chadema ikisemwa watu wanazomea akieleza sera za act watu wananyamaza kimyaa tena wanashangilia aiseeee
 
yy angekuwa anajikita kukielezea chama cha mfukoni kwake kulikobkutafuta kiki kwa kuiponda cdm hapo ndo watu wanaamini kuwa jamaa lengo lake ni kuiua cdm na si kujenga demokrasi

Sasa na wew unaona sawa watu wanaendeleza propaganda na wew bila kufikiria unakubali tu Kama zuzu ,CAG = CDM?
 
Acha ushabiki we mbuzi,nani asiejua kuwa mbowe na mkwe wake Mtei ndo mamungu wa cdm?Juzi dj mbowe alikuwa hapa segerea liwiti hakuwa na sera yoyote zaidi yakumtaja Zitto tu.Tulieni iwaingie, cmnajua kuwa haina mabega?
Watu wengine unawapuuza tuu
 
watu mnavyo viwanda vya uongo balaa. nawewe unatofauti gani na mafisadi. mimi nilikuwepo mbona hilo sikuliona? wewe tu ndio ulikuwa kwenye huo mkutano?. ukweli ni kwamba mkutano wa zotto leo ulifana na haijawahi pata tokea. kijana anakipawa kikubwa cha kupenda.

anakipawa cha kupenda nini mkuu
 
Back
Top Bottom