Weka picha
hebu acha uongo mweupe wewe unadhan kwenye mkutano ulikuwepo wewe tu? mbona hutaj idadi ya waliorudisha kad zenu hizo ? mbona husem maandamano aliyofanyiwa?? nimeamin kwel unafk mbaya!! ulijua hakuna tunaofatilia et?
hebu acha uongo mweupe wewe unadhan kwenye mkutano ulikuwepo wewe tu? mbona hutaj idadi ya waliorudisha kad zenu hizo ? mbona husem maandamano aliyofanyiwa?? nimeamin kwel unafk mbaya!! ulijua hakuna tunaofatilia et?
Nimewapenda Bukoba,Mnajielewa vyema
Amekoma, watakuja kukanusha hapa ndungu zake.
Hapana, ni wa ccm.
Maskini msaliti naomba uje arusha tukupe haki yako sawasawa na usalit wako.
Zito nje ya Chadema ni kama kohozi,abadili mfumo wa siasa zake
Ni kweli mkutano ulijaa, Lakini wengi walikuwa Chadema na walikuwa wakizomea tu.
Niliona watu wanapiga makelele ckujua kwanin,nilipokabia niliona kama kina kuzomewa lakin skutaka kufuAtlia ni kwann maana nilkuwa napita na nilikuwa na haraka.
Hata hivi kwa ztto kazomewa sehem nying
Kumbe picha wanazo post ni za kuchakachua?Hii siyo picha ya leo Bukoba.
Akirudi bungeni nitavaa pampasi siku ya kuapishwa kwake!
Akirudi bungeni nitavaa pampasi siku ya kuapishwa kwake!