Zitto azomewa Bukoba

Zitto azomewa Bukoba

kitoke Vijana wa bavicha wanahisi propaganda za mitandaoni zinaweza kuwasaidia field!!hii ndio sababu CCM inaweza kumteua hata Makamba mana wana uhakika watashinda tu.
 
Last edited by a moderator:
Yeye angekuwa anajikita kukielezea chama cha mfukoni kwake kulikobkutafuta kiki kwa kuiponda cdm hapo ndo watu wanaamini kuwa jamaa lengo lake ni kuiua CHADEMA na si kujenga demokrasi
 
hawa wanao mzomea ni ACT ama, kama sio ACT wanafata nini mikutano ya ACT.
 
Geita ACT walimlaumu mwenyekiti wa CHADEMA bwana Alphoce Mawazo kuwa aliandaa wazomeaji😱😡😛😱
 
Nilishamwambia Zitto abadili staili ya hotuba zake, kuliko kuendelea kutaja chama ambacho kila wakati kinamletea matatizo ajikite kukieneza chama chake, akiendelea kushupaza shingo kuna siku ataumia.
 
Mnaweweseka!,bukoba leo hiyo#asantesanabukoba
 

Attachments

  • 1434388298727.jpg
    1434388298727.jpg
    113.8 KB · Views: 586
The A.yatollah Pontiff Zitto would now have his ego stroke by tye masses and dance like a prima donna ballerina
 
twahil Inawezekana wewe ni kada wa chamaACT ndio maana unatetea tu. Nijibu kwa nini Zitto alisema kama hawataki kumsikiliza anaondoka zake?
 
Last edited by a moderator:
Weka picha

Akirudi bungeni nitavaa pampasi siku ya kuapishwa kwake!

Zito nje ya Chadema ni kama kohozi,abadili mfumo wa siasa zake

Maskini msaliti naomba uje arusha tukupe haki yako sawasawa na usalit wako.

Yaan hii ndio strategy yenu mliyokuja nayo?kila siku kutunga mambo ya uongo!!

Mnachofanya ni kama kujtekenya wenyewe na kucheka wenyewe, matokeo zero.
CHjeMscWcAAb9SZ.jpg

10492527_829264720491386_5454892207813326873_n.jpg

10400020_984984858212732_2107454627306859442_n.jpg

11427171_984988054879079_4600975731169202402_n.jpg
 
hebu acha uongo mweupe wewe unadhan kwenye mkutano ulikuwepo wewe tu? mbona hutaj idadi ya waliorudisha kad zenu hizo ? mbona husem maandamano aliyofanyiwa?? nimeamin kwel unafk mbaya!! ulijua hakuna tunaofatilia et?

Inawezekana kweli maandamano yalifanyika, Mi nilifika tu mkutanoni. Ni jibu kwa nini alisema kama hawataki kumsikiliza anaondoka zake?
 
hebu acha uongo mweupe wewe unadhan kwenye mkutano ulikuwepo wewe tu? mbona hutaj idadi ya waliorudisha kad zenu hizo ? mbona husem maandamano aliyofanyiwa?? nimeamin kwel unafk mbaya!! ulijua hakuna tunaofatilia et?

Kwani Kama nilikuwa na maandamano,si waliwejewa mafuta,na Kama kuna kadi zilirudishwa huyo ni kawaida ya vyama Ku set up jukwaa LA kurudisha kadi.

Jana zzk kazomewa katoro na geita mkabisha,mwanza tuliwekewa mafuta kwenye tukutuku na Costa zetu mkabisha kweli nyie wafuasi wa zzt mna roho ngumu Dana,hamkubaliki lakini mmoja tu.
 
Msimzomeee tu,Toeni kipigo kwa msariti.Huyo anaitaji kipigo heavy msariti zitto na kibaka lowasa wapigwe mawe hadi kufaaa

Naona hatarudi tena bukoba huyo kiongozi mkuu
 
Back
Top Bottom