Kumbe picha wanazo post ni za kuchakachua?
Mimi naamini huyu bwana Mdogo atapata aibu kubwa siku za usoni nahii nifundisho kwa wanasiasa wanaoweka mbele matumboyao huku wakidhani Watanzania waleo niwale wa miaka ya 90.Ngoja nahuo Ubunge aukose kabisa hapa kigoma ndio ajue kwamba haikuwa kwa Kabourou tu
Endelea kufarijiana kwa uongo wakati mwenzetu anabadilisha watu field.