Act ina chanja mbuga kwa kwenda mbele!
ACT itampa shinikizo la damu tu.
Afanye maamuzi magumu arudi tu CCM.
Ahahaha sasa hivi wanachofanya Bavicha ni kurusha ngumi hewani.Bavichaa wamepewa majukumu mazito sana.Yaani kuzuia mafuko kwa mikono!!!
Kwa huu mchakamchaka wacha Chadema wapagawe daa!!! Bavicha endeleeni kujifariji na kujiliwaza hapa JF bila kufanya hivyo mnadhani itakuaje.
Kamanda siyo tena kuzomewa Ahahahahaha.Watu walienda kuangalia rasta chafu
Ahahaha sasa hivi wanachofanya Bavicha ni kurusha ngumi hewani.
Kwa huu mchakamchaka wacha Chadema wapagawe daa!!! Bavicha endeleeni kujifariji na kujiliwaza hapa JF bila kufanya hivyo mnadhani itakuaje.
Yaani sasa hivi wewe ukitaka ushangiliwe na wafuasi wa Chadema hata bila kukuhoji wewe wambie nimekutana na Zitto sokoni watu wamemzomea utashangiliwa utaitwa kamanda wa ukweli.
Teh teh teh teh
Ahahaha sasa hivi wanachofanya Bavicha ni kurusha ngumi hewani.
Najua Dr.Slaa na Mbowe mnafuatilia huu uzi kwa ukaribu mno.Hahaha chezea dj na babu,wamewapa bavichaa majukum mazito ili posho iende kihalali wakati wao wanakula bata kiulainiii
watu mnavyo viwanda vya uongo balaa. nawewe unatofauti gani na mafisadi. mimi nilikuwepo mbona hilo sikuliona? wewe tu ndio ulikuwa kwenye huo mkutano?. ukweli ni kwamba mkutano wa zotto leo ulifana na haijawahi pata tokea. kijana anakipawa kikubwa cha kupenda.