Chakaza
JF-Expert Member
- Mar 10, 2007
- 39,798
- 71,218
Ungeumbwa mbuzi tusingeshangaa, lakini kama ni mtu tunabaki vinywa wazi?Zitto! Vipi bhana! Wewe ni Mbunge, kila kikao na mkutano uko Bungeni. Kwa nini unadai ripoti kwa wananchi badala ya kumdai Spika? Au unaamini ssi wananchi tutakusaidia kupiga kelele? Wewe umetusaidia shida zetu?
Kwenda zako huko!
Huelewi kwa nini anataka ripoti iwekwe wazi?
Sent using Jamii Forums mobile app