Zitto anataka kusaliti CHADEMA?

Status
Not open for further replies.
kabwe alionesha hali ya masikitiko alipogigwa mabomu na wachakachuaji, alipona madhara baada ya mdogo wake kujitoa mhanga. Kwa nini unadhani ukomavu wa kisiasa ni kuiunga mkono ccm tu? Je mafisadi ni wakomavu wa kisiasa? Wewe ni taahira miongoni mwa mataahira wachache wenye uwezo wa kusoma na kuandika lakini hawana uwezo wa kutathminini wanachokiandika.


zitoo ni nani katika chama mpaka apingane na wakuu wake hakuna demokrasia katika hili huyu ni msaliti na chama kichukue hatua dhidi yake faster au wananchi tuchukue hatua???????msaliti na auawe uchi na aibu imrudie mamaake.;;;
 
zitoo ni nani katika chama mpaka apingane na wakuu wake hakuna demokrasia katika hili huyu ni msaliti na chama kichukue hatua dhidi yake faster au wananchi tuchukue hatua???????msaliti na auawe uchi na aibu imrudie mamaake.;;;
utumbo huu unatia aibu na kinyaa

hebu chukua hiyo hatua unayoitaka tuone, maana hizi keyboard zinatufanya wapuuzi sasa
 
Zitto ni binadamu na hivyo ana haki ya uhuru wa kimawazo na kimtazamo. Its nt a big deal na hiyo ndio demokrasia ya kweli. CHADEMA wanaonyesha ni jinsi gani walivyo wanademokrasia wa kweli na sio wazee wa kukubali na kupitisha kila kitu kama thithiem. Tunaoelewa tunaelewa wasioelewa ni wale wanaotuombea mabaya.
Nasema tena safi CHADEMA safi Zitto.
 
Zitto Kabwe ameeleza kuwa ni kweli walipiga kura na kukubaliana watoke wakati Rais akizungumza, lakini wao walipinga na ndiyo maana aliamua bora asiingie ndani ya Bunge, amesema kuwa yeye kama Zitto na wenzake aliona ni bora kutoingia kuliko kuingia na kutoka wakati Rais ambaye ndiye alama ya Bunge na Amiri jeshi mkuu akiongeaa. kwa vile kutoka ulikuwa msimamo wa chama, basi yeye na wenzake wamekosea na hilo ni swala la Chama kwani wanaweza kuadhibiwa na chama kwa vile kura za kukubaliana kutoka ilishinda.
Zitto alisema kuwa wanasubiria hatma yake katika chama na kusema kuwa hiyo ndiyo gharama ya Demokrasia. Ila amekanusha kuwa jambo hilo lisifikiliwe ni mgawanyiko bali mtazamo tofauti wa mawazo.

Source: TBC 1 News Bulletin

Jamani let us not waste our time with this information. Who is Zitto in Taznania politics?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), walikaa chini na wakafanya demokrasia ya uamuzi kwa kupiga kura, hayo yote sisi hatukuyajua na yalikuwa ni siri ya Chama, kama hayakuwa siri, Katibu ama mwenyekiti wa Chama angetueleza (Kupitia vyombo vya Habari),

lakini kitendo cha Zitto kwenda kwenye vyombo vya habari na kuiongea hiyo siri ya vikao vyao ni USALITI, MIMI hapa simpingi Zitto kwa uamuzi wake aliochukua wa kutokubaliana na hilo la kutoingia bungeni kabisa, hiyo ni Demokrasia na ndio maana Chadema walipiga kura, ninachomlaumu na kumwona Zitto kuwa msaliti iweje aende kwenye vyombo vya HAbari na Kuropoka, Chama kitamwamini vipi tena katika siri zingine za kichama,

Zitto inampasa kuelewa kuwa Chama kina viongozi na kuna wasemaji, Mwenendo wa Zitrto ndani ya Chadema ni wakutia mashaka sana, kwa nini anapenda kwenda kwenye vyombo vya habari bila baraka za viongozi wake, Angalia issue kama ya mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni, nadhani kwake ilikuwa ni busara kusubiri maamuzi ya chama kupitia vikao vyao ili wapendekeze jina, lakini alikurupuka na kutangaza atagombea hiyo nafasi,

Ushauri kwa Zitto
ki ukweli kabisa siasa zako haziendani na Chadema kabisa, uko fast sana, una siasa za kipekeyako, za kibinafsi na sio za kichama, kama ukiwa kwenye Chama cha muhimu ni kufuata chama kinataka na kinasema nini, aina za Chama zinazokufaa ni kama TLP na NCCR, kwamba kila mtu anasema lwake
 
Mimi nilichofurahi ni kuwa ulikuwa ni uamuzi wa chama. Kwake na wenzake kukaa nje ya Bunge mimi naona sawa, ningeumia sana kama angeingia bungeni halafu wengine wakitoka yeye abaki amekaa kumsikiliza huyo Amiri jeshi wake mkuu. Lakini kitu kingine ambacho nimemuona Zitto ni waajabu, anawatupia lawama wapiga kura wake kuwa ndio walioshinikiza asiungani na wenzake. Huu ni uongo, hayo ni yake tu lakini ili kuyatilia nguvu anawasingizia wapiga kura. Hakuna tangazo popote lilipotolewa kuwa wabunge wa chadema watatoka.

Iwe iweje tayari limeshatokea na ujumbe umefika. Chadema hakuna kuchukuliana hatua yoyote, tuangalie mbele sasa, KATBA MPYA NA TUME HURU YA UCHAGUZI.
 
Mimi nadhani ijapokuwa kutofautiana mawazo chamani ni kawaida, sio busara hata kidogo kuutangazia umma kutofautiana huko kwani hayo ni maamuzi ya ndani. Kwa kawaida watu mkishapiga kura wengi wakashinda mnakubaliana wote na unakuwa uamuzi wa pamoja. Huwezi tena wewe ukatoka nje ukasema mimi sikukubali. Hii ndiyo inayoitwa "colective responsibility." Kama jambo ni zito kiasi kwamba huna budi kutofautiana nalo hadharani hata baada ya kura kupigwa basi unajiuzulu kwanza. Lakini huwezi kupingamana na wenzako katika jambo liliopigiwa kura na kuamuliwa na wengi ukiwa wewe mwenyewe bado ni mmoja wao. Kitendo cha chadema kupiga kura katika uamuzi huo chaonesha kuwa kuna demokrasia ndani ya chama, na sio kuburuzwa na Mbowe kama watu wa propaganda za ccm wanavyopenda tuamini. Matamshi ya Zito yanaonesha kuwa ama ni mtoto kidemokrasia na utawala wa pamoja au ni kibaraka hatari wa ccm.

Huyu bwana mdogo mwangalieni kwa makini, kwani hata kama sio kibaraka kamili sasa, basi yuko mahali anapoweza kununuliwa kirahisi kutokana na uchanga wake. He is not stable, na siyo mtu wa kutegemewa katika maswala magumu. Don'nt trust him. Niliwaambia mapema kuwa watu wa aina hii watatumiwa sana na ccm miaka mitanao hii kukidhoofisha chadema machoni pa jamii. Lakini hawatafaulu.
 
Kwani zito ni hadema??? kwa nini tunafuga wasaliti kwenye chama????? Chadena wa right and there there is no doubt. aende m nae akatoe tamko. Kama watanzania tunaheshimu uamuzi wa hadema yeye hautaki, yeye ni mtu wala siyo sehemu ya chama. Na anayefikiri hivyo aende ccm kwa mafisadi. Lakini nguvu ya umma itashinda na asirudi chadema.
 
Huna sababu ya kuwachukia. Kuna watu vichwa vinafanya kazi. Wanamptisha waziri mkuu na wanaomba serikali inayoongozwa na mtu wasiyemtambua asikilize madai yao!!!!! Kuna haja ya kufikiria upya strategies za namna hii. Zitto anatambua wazi kuwa strategy hii ni fake maana February watakuwa bungeni na wanahitaji kujadili hotuba ya Rais. Wakisusa kwa CCM ni mteremko tu maana hata utendaji wa serikali hawataujadili na kwa kifupi CCM watapeta zaidi. Nadhani aliyeshauri strategy hii alisahau kuangalia mbeleni. Mnakumbuka kura za maruhani Zenji? CHADEMA wanayaweza haya?

Unaongea nini mkuu mbona sikuelewi
 
inauma eee?? Toka mwanzo nilishasema. Kigoma wanatoaga vifaa. Kgm hatuchagui chama bali mtu. Ndio maana kgm ina karibu vyama vyote kasoro cafu.zito ni kichwa. Very brilliant. Ni mtanzania. Ni mzalendo. Hekima na busara na utaifa kwanza. Sio kususa tu. Yatawatokea puani wale wanaoshabiokia bila kufikiri. Sasa habari hii inawauma. Wanajuta aliyeileta jamvini. Lakini si ndio ukweli?? Kwani zito sio kiongozi wa upinzani bungeni? Kwa nini achicheme yaliyo moyoni mwake???

i fully support him 100%.

besides chadema bila dr. Mfuko wa cement 5000/= inaweeekana!
 
Zitto Kabwe ameeleza kuwa ni kweli walipiga kura na kukubaliana watoke wakati Rais akizungumza, lakini wao walipinga na ndiyo maana aliamua bora asiingie ndani ya Bunge, amesema kuwa yeye kama Zitto na wenzake aliona ni bora kutoingia kuliko kuingia na kutoka wakati Rais ambaye ndiye alama ya Bunge na Amiri jeshi mkuu akiongeaa. kwa vile kutoka ulikuwa msimamo wa chama, basi yeye na wenzake wamekosea na hilo ni swala la Chama kwani wanaweza kuadhibiwa na chama kwa vile kura za kukubaliana kutoka ilishinda.
Zitto alisema kuwa wanasubiria hatma yake katika chama na kusema kuwa hiyo ndiyo gharama ya Demokrasia. Ila amekanusha kuwa jambo hilo lisifikiliwe ni mgawanyiko bali mtazamo tofauti wa mawazo.

Source: TBC 1 News Bulletin

mara kwa mara Zitto kabwe amekua na kauli tata na ni mtu mtata sana,kulikua na aja gani ya yeye kuyasema haya hadharani,this guy looks real immature for the big political post,zitto ni big mouth na anapenda sifa
 
zito unatuabisha please, ikiwa sisi wananchi wa kawaida tunawaunga mkono wewe mbona upo kinyume unajua hatupendi hayo mambo yako , tulikuamini sana ila sasa unapoenda sio, ivi unajua kuwa sisi tuna uchungu na nchi hii na tumekupa tu dhamana ya kutuwakilishi, ona akina Warioba, Jaji Mkuu maneno yao yantutia moyo .

Dear Zito , still you have an ample to change tunakupenda na tuna kuamini kindly usituangushe wala usituhudhunishe, when you fight you need to be risk taker, all the best,

MZEE GOMEZI
 
zito unatuabisha please, ikiwa sisi wananchi wa kawaida tunawaunga mkono wewe mbona upo kinyume unajua hatupendi hayo mambo yako , tulikuamini sana ila sasa unapoenda sio, ivi unajua kuwa sisi tuna uchungu na nchi hii na tumekupa tu dhamana ya kutuwakilishi, ona akina Warioba, Jaji Mkuu maneno yao yantutia moyo .

Dear Zito , still you have an ample to change tunakupenda na tuna kuamini kindly usituangushe wala usituhudhunishe, when you fight you need to be risk taker, all the best,

MZEE GOMEZI

Nadhani Zitto aanchojaribu ni kuwafundisha nyie mashabiki wa CHADEMA kwamba msiwe watumwa wa mawazo, mitazamo na miongozo ya wachache. Kwa nini awe mtumwa wa mawazo ya Mbowe na Dr Slaa wakati yeye msomi na mwenye exposure ya siasa ya kimataifa.. Nyie lazima mkubwali kile kitendo kilikua cha kitoto na kilidhihirisha kutokua nna malengo ya muda mrefu ya chama.
 
Zito ni nani chadema?dr slaa tunakuamini sana,tunakuamini kuliko mtu mwingine ndani ya chadema,kama unaona zito hatufai tunaomba ututangazie tumuondoe kwenye mapambano.
 
Zitto hongrea Usibabaishwe Umetumia Demokrasia yako Vizuri sana kwanini Ulaumiwe? wakulaumiwa ni CHADEMA iliokubali Kuingia katika Uchaguzi huku ikijuwa kuwa KATIBA ni MBOVU na NEC IMEOZA Tamaa ya Fisi Kufuata Mkono haukatikiiiiiiiii, bila ya Luamuwa Kuukata kwa Panga
 
Huyu dogo spidi yake ni kubwa sana kuliko ya chama lakini aangalie asije anguka, ndiyo maana tuliomba sana asiwe kiongozi wa upinzani bungeni tulijua angewayumbisha wabunge, afadhali akibaki kusema yeye kama yeye. Zitto bado sana kupewa madaraka makubwa kama ya uenyekiti au katibu mkuu anatakiwa kukomaa kwanza labda miaka mitano ijayo baada ya uchaguzi wa 2015.
 
Mimi nadhani ijapokuwa kutofautiana mawazo chamani ni kawaida, sio busara hata kidogo kuutangazia umma kutofautiana huko kwani hayo ni maamuzi ya ndani. Kwa kawaida watu mkishapiga kura wengi wakashinda mnakubaliana wote na unakuwa uamuzi wa pamoja. Huwezi tena wewe ukatoka nje ukasema mimi sikukubali. Hii ndiyo inayoitwa "colective responsibility." Kama jambo ni zito kiasi kwamba huna budi kutofautiana nalo hadharani hata baada ya kura kupigwa basi unajiuzulu kwanza. Lakini huwezi kupingamana na wenzako katika jambo liliopigiwa kura na kuamuliwa na wengi ukiwa wewe mwenyewe bado ni mmoja wao. Kitendo cha chadema kupiga kura katika uamuzi huo chaonesha kuwa kuna demokrasia ndani ya chama, na sio kuburuzwa na Mbowe kama watu wa propaganda za ccm wanavyopenda tuamini. Matamshi ya Zito yanaonesha kuwa ama ni mtoto kidemokrasia na utawala wa pamoja au ni kibaraka hatari wa ccm.

Huyu bwana mdogo mwangalieni kwa makini, kwani hata kama sio kibaraka kamili sasa, basi yuko mahali anapoweza kununuliwa kirahisi kutokana na uchanga wake. He is not stable, na siyo mtu wa kutegemewa katika maswala magumu. Don'nt trust him. Niliwaambia mapema kuwa watu wa aina hii watatumiwa sana na ccm miaka mitanao hii kukidhoofisha chadema machoni pa jamii. Lakini hawatafaulu.
Kuna wakati nilikuwa nashirikiana na vijana fulani wa Kigoma katika kutatua tatizo lao, sasa mambo yalikuwa kama haya tunakubaliana hivi wao wanakwenda kinyume na makubaliano. Mtu mmoja akanishauri ya kwamba watu wa Kigoma wana kawaida ya kuwa kigeugeu hivyo niachane na shauri lao, sijui kuna ukweli juu ya hili? Maana tabia wakati mwingine zinaweza kutegemeana na asili yetu (mother land).
 
naunga mkono kabisa, juu ya chama hiki kutofautiana kimtazamo, kam Mwalimu alisena kama unaona hukubaliani na maamuzi ya chama uwe dhahiri kuepuka unafiki na hii ndio kukua kwa demokrasia, cha msingi ni kuangalia maamuzi mnayochukua kutofautiana na wengine chamani hakileti madhara kiutendaji.
Numeipenda hii ingawa ningependa zaidi kam wote wangekuwa bungeni na kutoka, HII NDO DEMOCRACY!! express your feelings freely.

Nilicho fuarhi sana leo ni kauli za Jaji Mkuu na Jaji Warioba kuhusu mabadiliko ya katiba, CDM's votes were successuly registered, gud job people, sasa wameanza kupresha kubadili katiba, keep it burning Gud start.

democrasia hii ya CDM kama mzee King Kingo kinaweza kutumiwa kama mtaji wa kusambaratisha chama!! Lakini naamini Nguvu ya Mungu ni kubwa na it will keep these people united!!

wanaJamii Msichonge tu, wekeni chama hiki mbele ya Maombi ili alichoanzisha Mungu kiendelee kwa ukombozi wa watanzania

Asanteeeeee!!

Hapa mchangia mada umeniacha kidogo. Alichokianzisha Mungu ni nini haswa?
 
Chama cha Demokrasia na Maendeleo(Chadema), walikaa chini na wakafanya demokrasia ya uamuzi kwa kupiga kura, hayo yote sisi hatukuyajua na yalikuwa ni siri ya Chama, kama hayakuwa siri, Katibu ama mwenyekiti wa Chama angetueleza (Kupitia vyombo vya Habari),

lakini kitendo cha Zitto kwenda kwenye vyombo vya habari na kuiongea hiyo siri ya vikao vyao ni USALITI, MIMI hapa simpingi Zitto kwa uamuzi wake aliochukua wa kutokubaliana na hilo la kutoingia bungeni kabisa, hiyo ni Demokrasia na ndio maana Chadema walipiga kura, ninachomlaumu na kumwona Zitto kuwa msaliti iweje aende kwenye vyombo vya HAbari na Kuropoka, Chama kitamwamini vipi tena katika siri zingine za kichama,

Zitto inampasa kuelewa kuwa Chama kina viongozi na kuna wasemaji, Mwenendo wa Zitrto ndani ya Chadema ni wakutia mashaka sana, kwa nini anapenda kwenda kwenye vyombo vya habari bila baraka za viongozi wake, Angalia issue kama ya mwenyekiti wa kambi ya upinzani bungeni, nadhani kwake ilikuwa ni busara kusubiri maamuzi ya chama kupitia vikao vyao ili wapendekeze jina, lakini alikurupuka na kutangaza atagombea hiyo nafasi,

Ushauri kwa Zitto
ki ukweli kabisa siasa zako haziendani na Chadema kabisa, uko fast sana, una siasa za kipekeyako, za kibinafsi na sio za kichama, kama ukiwa kwenye Chama cha muhimu ni kufuata chama kinataka na kinasema nini, aina za Chama zinazokufaa ni kama TLP na NCCR, kwamba kila mtu anasema lwake

mkuu nashukuru sana kwa kuyatoa yaliyo kichwani mwangu. Msimamo wangu bado upo pale pale Zitto asipate kichwa kwani hajui huku mitaani wanachama/mashabiki wa chadema wanamuonaje.. sasa anapotuambia wanasubiri adhabu ya chama hii ni njia ya kupandikiza chuki kwa wananchi/mashabiki dhidi ya uongozi ili lolote litalotokea viongozi walaumiwe.

NADHANI TUMPE ONYO KALI HUYU ZITTO SISI WANACHAMA, IPO SIKU WANACHADEMA TUTAANDAMANA KUSHINIKIZA ZITTO AVULIWE UANACHAMA LA SIVYO TUTAHAMA CHAMA. Dr usijali tupo pamoja sana tendeni kazi
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom