The Prophet
JF-Expert Member
- Mar 17, 2011
- 682
- 94
nataka tu kujua marital status ya mbunge wangu shupavu. Zitto Zuberi Kabwe.
amani kwenyu.
Nabii
amani kwenyu.
Nabii
bado,unatamani akuoe?utaweza ndoa za mitala wewe?
Lugha uliyotumia ndiyo imekuwa mwokozi wako vinginevyo ungejutia kuuliza swali la libinafsi lisilo na tija katika maendeleo ya taifa.nataka tu kujua marital status ya mbunge wangu shupavu. Zitto Zuberi Kabwe.
amani kwenyu.
Nabii
Huyo kathibitisha madai yangu kuwa lugha imekuokoa na kukujuza ukweli, HAJAOA LAKINI ANNA MTOTO.Sijui kama kutakuwa na mchango kwa Taifa na hili swali lako maana maada ya yeye utaenda kwa Kafulila na wengine .Lakini umekuwa polite nasema yes ana mwenzake na ana mtoto anaitwa Chachage wa kiume .
M-PM yupo hapa jamvini,ninachojua amezaa na dada mmoja anafundisha pale UDSM
Sijui kama kutakuwa na mchango kwa Taifa na hili swali lako maana maada ya yeye utaenda kwa Kafulila na wengine .Lakini umekuwa polite nasema yes ana mwenzake na ana mtoto anaitwa Chachage wa kiume .