DuaZaMama
JF-Expert Member
- Jun 2, 2025
- 1,882
- 4,152
Mgombea Ubunge wa Jimbo la Kigoma Mjini kupitia Chama cha ACT- Wazalendo Zitto Zuberi Kabwe amewaambia wanakigoma wakimchagua kuwa Mbunge atashusha bei ya Simenti ambayo inazalishwa katika Mkoa huo kutokana na bidhaa hiyo kuuzwa bei sawa na Simenti inayotoka Dar es salaam.
Zitto Kabwe amesema hayo wakati akiendelea kunadi sera zake Kata kwa Kata kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29 mwaka huu.
Yeye kama nani?
Pia Soma: GE2025 - Zitto nyumba kwa nyumba kuzisaka kura za ubunge
Zitto Kabwe amesema hayo wakati akiendelea kunadi sera zake Kata kwa Kata kuelekea uchaguzi mkuu Oktoba 29 mwaka huu.
Yeye kama nani?
Pia Soma: GE2025 - Zitto nyumba kwa nyumba kuzisaka kura za ubunge