Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais


Unajiandikia makala kwa kuwa unajua ulichokifanya.Makala hii haijaandikwa kwa bahati mbaya.Mipango yako ya kufanya tukio tarehe 4-6 January kabla ya CC ili kuhamisha hisia na mind za watu naijua yote.Take it from me

Mkuu huu ni mwanzo wa tukio au ndo tukio lenyewe, binafsi naona dalili za kuhamisha mjadala na mind juu ya usaliti
 
Mkuu angalia maneno yako isije tokea watu wakakimbia nchi.........

Ha ha ha,Sulphadoxine,

Wahame Nchi ikiwezekana!

If there is anything that requires my own comment, position or views. I will say it. It is only when you kill me that I will stop doing so. It is my passion, patriotism and love that will continue to make me say my own. If it is the party that I see that something is inimical to the growth, I will talk
 
Uamuzi wa busara sana, wale wenye Zittophobiasis sasa mtafute kingine cha kuongea. 2013 ni kuchapa kazi kwa kwenda mbele
nadhani ZZK hapendezwi na maamuzi haya ile amejikaz kiume. kwasababu sio siri alitaka awe mgombea urais na tena awe rais wa jamhuri kupitiaa upinzani. je kuna siku atabadilika kwa kutoswa hii ina-depend na muda.:clock:itafahamika uko mbele
 
mwaka upo salama kabisa tena unamakubwa sana huu mwaka.Muda si mrefu watanzania watashuhudia maajuabu kwa kile wanachokitegemea kuwa ni salama kumbe kijiwe cha machinjio


Tuntemeke kala ban!.. Haya ingia kwa ID nyingine au zile za tarehe 20/dec/2012.. Saa nane MBAYAAAAA!. ..Mbayaaa!.. kakopi na kupesti tuhuma zenu zote kutoka mafichoni na kumuibua kila mmoja - akalipuka kivyake!!!!!.
 
mwaka upo salama kabisa tena unamakubwa sana huu mwaka.Muda si mrefu watanzania watashuhudia maajuabu kwa kile wanachokitegemea kuwa ni salama kumbe kijiwe cha machinjio

hahahahahahahahahahahahaha
una kumbuka hiii
nami nimekusamehe zitto- TUNTEMEKE

sijui ni lini nitapata tofauti kati ya TUNTEMEKE na Mwigulu Nchemba
 
Last edited by a moderator:
Mimi sito ingia mkenge wa maneno matupu! Nitaangalia matendo ya mtu!

Mind game!
Wana siasa wetu wana rangi nyingi!
 
mwaka upo salama kabisa tena unamakubwa sana huu mwaka.Muda si mrefu watanzania watashuhudia maajuabu kwa kile wanachokitegemea kuwa ni salama kumbe kijiwe cha machinjio

Kwataarifa yako wewe ni mmojawapo wa wanaomuharibia sana Mh.Zitto kisiasa. Kama mwenzio ameamua kubadilika kwa dhati, nawewe jaribu kubadilika ama kukaa kumya.

wewe ni mmoja kati ya wachumia tumbo mnayeharibu reputation ya Zitto kwa siasa za kitoto mkidhani mnamuongezea credibility kumbe mnamuharibia kabisa.
Sidhani kama uyo Zitto anafurahia hichi unachokifanya wewe na wenzako wote.

TUNTEMEKE kapigwa BAN mchana huu!.. Unajua hawa wanaotumia ID ya TUNTEMEKE! wanaporomosha mno credibility ya huyu bro!.. Anawatumia lakini uwezo wao kumjenga bila kuwaudhi wengine hawana!..
 
vipi lufun.. na wewe ni masalia nini!!?maana naona unaweweseka..kuna mtu wa kumuwekea miiba!!..nyie wenyewe ndo mtajimaliza kwa kubwabwaja ovyo ovyo na huku tegemezi akiwa tunguli!! aaah..ahaa!
 
Ha ha ha Zitto!! Huwa unanichekesha mnoooooooooooooo!!! Huna lolote wewe Prezzo a.k.a Dogo!! unang'ata na kupuliza tu ndiyo mchezo wako!! Keep it up!!
 
Kwanza kauli yenyewe ya kupitia FB.....na amesema hatazungumzia sio hatagombea??? Mmmhhhh hapo pagumu kidogo

Hakuna aliyemkataza kugombea bali kauli alizokuwa anazitoa wakati haukuwa muafaka na zilikuwa hazijengi Chama (kila Mtanzania anayo haki ya kugombea wala hakuna wa kumkataza) lakini kila kitu kina wakati wake
 
The rhythm is songlike, and the words flow melodiously, as if the poet were listening and interpreting distant sounds.



Tarehe 4-6 au 3-6?

Good! Hii ni hatua nzuri na ya muhimu.Ni uamuzi thabiti.

Mwakalinga,

Note that some may want to create controversy on your thread. Although most people have someone they consider a hero, nobody's perfect. Some may want to focus on the negative side of our hero

However,Naomba Usome Kitabu kilichoandikwa na Robert Grene titled 48 Laws of Power.Soma kwa makini

Law number:

3:Conceal your intentions

17:Keep others in suspended terror: cultivate an air of unpredictability

21:play a sucker to catch a sucker: play dumber than your mark.

22:Use the surrender tactic: transform weakness into power.

32:play to people's fantasies.

35:Master the art of timing.

That t Mkuu Ben, ¨It is better to look ahead and prepare than to look back and regret.¨​

Nitakipitia hicho kitabu
 
Kuna watu wanalipwa kuyumbisha mambo duh! Mtu mzima ukigundua umechemka ni vizuri kubadilika haraka. Hata hivyo kwa lolote historia itamhukumu
mwaka upo salama kabisa tena unamakubwa sana huu mwaka.Muda si mrefu watanzania watashuhudia maajuabu kwa kile wanachokitegemea kuwa ni salama kumbe kijiwe cha machinjio
 
ZZK
Maamuzi sahihi kabisa,maana kila usemacho kinachukuliwa kwa maoni tofauti,ni vyema kukaa kimya ilikupunguza misuguano ndani na nje ya chama.
 
Hapa lazima the guy is up to no good,Hii ni moja ya Yale mambo yake,anapima upepo Nina mashaka Kama anamaanisha alichoandika ,time will be our best answer.
 
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015

275673_100000321189166_1444157301_q.jpg
Zitto Kabwe

¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨



Coongrats Zitto

Tutayaweka haya Kwenye Kumbukumbu incase siku akienda kinyume na hii Kauli yake
 
Back
Top Bottom