Daah, hapa ndo mahali pa Ben Saanane.......hapo kwneye Tarehe 4-6 au 3-6 fafanua kwa manufaa ya chama
Hapo ndo utampenda Saanane. Long live "Ben"
Daah, hapa ndo mahali pa Ben Saanane.......hapo kwneye Tarehe 4-6 au 3-6 fafanua kwa manufaa ya chama
Hili kundi lenu haramu la Pindua Mbowe-PM7 mwisho wake umefika
wala ndani ya chadema hakuna zittophobiasis,hizo ni njama za waccm kujifanya wao nichadema ilikuweka upepo mbaya kwenye chadema,kama yule jamaa wa ccm aliyejitokeza kulipa ada ya kadi ya ccm ya Dr Silaa.Uamuzi wa busara sana, wale wenye Zittophobiasis sasa mtafute kingine cha kuongea. 2013 ni kuchapa kazi kwa kwenda mbele
wewe kwa kuwa ni ccm lazima useme hayo maana hamkutegemea Zito aseme hayo,sisi tumeshawajua mnajifamya chadema ili mtuaribie list yetu ya ushindi zito kwetu sisi chadema ni kama mess ndani ya bacelonazzk msimamao kitu cha maana sana leo hili kesho hili nini ndugu yangu,kipi tukiamini hili linatudhihirishia kuwa bado huja komaa kisiasa bado kidogo na hautatufaa kwa nafasi kubwa na nyeti kama hiyo la badaye sana.
kwa wewe mwana ccm hayo ndio maswali yenu kwa zito ila sisi wanachadema tumemuelewa nahuo ndio msimamo wa wana chadema mambo yenu ya kiccm kwetu hakuna japo mnajifanya wanachademaZitto zuberi Kabwe , ni vema akasema kwanini ameamua hivyo je nikwasababu ya Mbowe kusemekana alimtangaza Dr. Slaa au baada ya kuonekana anakivuruga chama? au ni sababu zake binafsi?
matamshi ya mwenyekiti wa chadema hayana utata wowote kwetu sisi wanachadema hayo ni mambo yenu ya ccm,wanachadema wote tulimuelewa vizuri mwenye kiti wetu,ni ccm tu,ndio wanajifanya kuvaa ngwanda na kumlaumu mwenyekiti wetu. tumewashitukiaNiitumie fursa hii kumpongeza ZZK kufikia hatua hii, maana mwungwana ni vitendo. Hakuna haja ya kugombana kwa ajili ya shamba wakati baba yenu mmoja. Uwezo wa kuzifuata kanuni, taratibu na sheria zinajulikana na ziko wazi. Katiba iliandikwa ili kuwafanya wahusika wasije weka kila mmoja interest zake. Hapa kikubwa ni katiba kwa ajili ya wote. ALIYEANZISHA KATIBA aliwaza mbali sana kwa kujua kuwa bin wa Adamu tuna mambo mengi na mitazamo mingi yenye kutofautiana na hivyi hii i kuwaongoza. Matamshi ya Mheshimiwa Mwenyekiti nayo yalileta utata na hivyo bora tu amesahihisha
uccm wako ndio unakufanya useme hayo.sisi wana chadema hatuna aja ya kumuuliza Zito lolote maana tumemuelewa. kila anaeoji kauli ya Zito tunajua ni ccm. chadema ni watu makiniZitto zuberi Kabwe , ni vema akasema kwanini ameamua hivyo je nikwasababu ya Mbowe kusemekana alimtangaza Dr. Slaa au baada ya kuonekana anakivuruga chama? au ni sababu zake binafsi?
kama wewe ni mwana chadema unaaja kujiuliza move hii inaelekea wapi?.ni wana ccm tu ndio wanashangaa, sisi kama chadema tunajua tuendako,na wala hutuna wasiwasi.Ngoja tuone hii move inakoelekea
wewe sio mwana chadema ila unajifanya mwana chadema kumlaumuZeto kwa kutaka kutuchanganya sisi wana chadema. sisi wana chadema kabwe zito anatufaa na aliyosema ndio msimamo wa wana chadema wote. kinyume cha hayo ni uccmzzk msimamao kitu cha maana sana leo hili kesho hili nini ndugu yangu,kipi tukiamini hili linatudhihirishia kuwa bado huja komaa kisiasa bado kidogo na hautatufaa kwa nafasi kubwa na nyeti kama hiyo la badaye sana.
My personal hobbies are reading, listening to music, and silence. ― Edith SitwellHuu mwaka ndio bado mchanga kama ameanza hivi (kwa style nzuri inayoonyesha kukomaa kifikra) ni dhahiri mapambano kuelekea ukombozi yatakuwa swafi.
Unajuwa wewe ni mjinga!! na nitakueleza ujinga wako ni nini, Zitto anawatumia kama Condom lakini alipoona mission yenu imefeshindwa yeye anarudi kwenye mstari anawaacha wajinga kama wewe muendelee kuumbuka na hatimaye mfutwe uanachama.
Hebu Msome Samson Mwigamba hapa.
![]()
Samson Mwigamba Mwampamba, I'm your friend and you know it. Mimi huwa si mnafiki. Nachukua fursa hii kushauri kwamba hiyo vita unayopigana lazima iwe na mipaka. Hata ungemchukiaje, Mbowe is still our party national chairman and some how the symbol of the party. Jaribu kuwa na heshima kidogo, si vizuri kupambana na viongozi kwenye mitandao. I did the same to Mamuya. Nilimwambia hata mkimuuliza leo. Sikubaliani na kitendo cha yeye kuja kwenye mitandao na kumtaja Naibu Katibu mkuu wa chama kwamba ni msaliti. Kama ana ushahidi angeupeleka kwenye vikao. Nilimwambia kama mwenyekiti wake wa mkoa kwamba hatafika mbali kwa staili hiyo. Na ningekuwa na uwezo leo ningefuta uanachama Mamuya, Ben Sanane, wewe, Gwakisa, and everybody anayefanya vita vya kichama kwenye mitandao. This is unacceptable. Wewe unajua nimeumizwa sana pale makao makuu huenda kuliko wewe. Kama wewe ulizuiwa kugombea mimi niliharibiwa maisha yangu na familia yangu. Mpaka leo sina kazi miezi minane sasa naishi kwa kuomba omba. But sijawahi kuingia kwenye mitandao na kumtukana kiongozi aliyenitenda. Huo ndo utu uzima Mwampamba. My young brothers, kuna maisha beyond uenyekiti wa BAVICHA taifa. Why are you driven mad to such extent. Kama mlionewa Mngetulia na kujipanga upya mkawa mnajieleza ndani kwa vijana ndani ya chama i'm sure next time mngepata hata kura za sympathy. Lakini hii vita yenu nilishawaambia msidhani mnamuumiza Slaa ama Mbowe bali mnatuumiza hata sisi kwa maana ya kuharibu chama. Mwisho wa siku mtafutwa uanachama na ndiyo itakuwa end of your story in CHADEMA. It's just a piece of advice from your dear brother. Mnaweza kuuchukua ama kuupuzia lakini msianzishe tena vita na mimi. Time will tell my young brothers!!!