Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

Mwakalinga Bujo

JF-Expert Member
Joined
Oct 22, 2008
Posts
2,718
Reaction score
1,443
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015

275673_100000321189166_1444157301_q.jpg
Zitto Kabwe

¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨



Coongrats Zitto
 
Hizi ni baadhi ya Comments za wadau


  • Emanuel Maginga kwa hyo hyo ndo kauli yako c bora ungekaa kmya 2
    21 minutes ago via mobile · Like · 1
  • 203079_100000705171656_3579882_q.jpg


    Godliving Maro Hapa umesema! We want u as president in 2015.
    21 minutes ago via mobile · Like
  • 186303_100000063294272_739083455_q.jpg


    John Kundi Umenena kamanda...hata wale wanaopitisha maneno maneno watulie zao..kwan hapo umewakata kauli...
    21 minutes ago · Like · 1
  • 275607_100002638002932_69044807_q.jpg


    Tyson Timothy Mungu akuongoze azidi kukupa busara#hekima na uvimilimu..nakukubali broo watoto wa town wanasema kama ipo ipo. Zitto..kabw
    20 minutes ago via mobile · Like · 1
  • 372657_100003742009379_1443787660_q.jpg


    Elisha Mfinanga Pa1 mkuu
    20 minutes ago via mobile · Like
  • 187411_100000518210616_433068152_q.jpg


    Happy Winnie Kaonyesha msimamo,anasimamia malengo ya mwaka@ema
    20 minutes ago via mobile · Like
  • 371646_646427012_472611488_q.jpg


    Laurean Kiiza Tayari umeisha zungumza!!!
    20 minutes ago · Like
  • 41559_100000137376288_688522185_q.jpg


    Abdul Malick Safi sana kabwe nimependa jibu lako coz katiba mpya itakuwa siraha kubwa sana kwetu ambao tunataka maendeleo ya nnchi hii
    20 minutes ago via mobile · Like · 1
  • 371824_100001547118588_1133637816_q.jpg


    Phills Ammy JAGUAR~Kigeugeu.
    20 minutes ago via mobile · Like
  • 211542_100001266432504_1384903845_q.jpg


    Chuma Salum basi sawa1
    20 minutes ago · Like
  • 203267_100003238786168_678175979_q.jpg


    Charles Mnaly Aksante kiongozi umeeleweka!
    20 minutes ago via mobile · Like · 1
  • 275031_621919570_642535480_q.jpg


    Alois Ngonyani Welldone Zito Zitto Z Kabwe na huu ndio ukomavu
    20 minutes ago · Like · 1
  • 49543_100001737541811_5702_q.jpg


    Lulu Joel kka funguka tu unafaa sana kugombea do it vijana tunaweza
    20 minutes ago · Like · 1
  • 273614_218600139_1490061344_q.jpg


    David Nkya naweza kuweka hela hapa, lazima utalizungumzia tu!
    Ivi ile ya kutaja majina bungeni ilikuwaje tena? au ndio mambo ya political promises hizo...hahahahaha!

    19 minutes ago · Like · 1
  • 260768_1335407736_153214506_q.jpg


    James John big up jombaa Zitto Kabwe hapo sasa wale vidomodomo wametulizwa
    19 minutes ago via mobile · Like · 1
  • 157689_100000834257388_784867145_q.jpg


    Ayoub Rogers harakati zako na makundi yako yamefeli ni bora ukae kimya wenzio wanajenga chama wewe unauwaza urais
    19 minutes ago · Like · 1
  • 187549_1032574936_1179921905_q.jpg


    Carolyn Mwanri Daftari Well....I don't want to annalyze ur comments but they speak volumes if ofcoz one reads between lines.
    18 minutes ago · Like
  • 186420_100002078607572_1540271064_q.jpg


    Julius Riessen Mhe .kama ispokubalika umri wakugombea urais ukapunguzwa je utasema nini umeazima au utaendelea kukaa kimya kiongozi? Zitto Kabwe
    18 minutes ago · Like
  • 275193_100000341518805_1309363685_q.jpg


    Siniorita Flora LadySilver thats good
    18 minutes ago · Like · 1
  • 274208_100002021600833_1592731141_q.jpg


    King Suleiman Wapili T2015 ZZK..4PREZIDENT...vijana tusio wa kikanda na wazalendo ww ndio chaguo letu...endapo katiba itatupa tumaini jipya ww ndio tumaini letu...pamoja broda
    18 minutes ago via mobile · Like
  • 186213_100000281553267_291940361_q.jpg


    Frank Rainhard Nakutakia utekelezaji mwema!
    18 minutes ago · Like · 1
  • 371449_100000539031901_1632119996_q.jpg


    Matata Deo sure thing Mheshimiswa
    17 minutes ago · Like
  • 623503_1408628734_1203610306_q.jpg


    Christina Yelezwa Politics nd politicians,al d best
    16 minutes ago via mobile · Like
  • 186390_100001600436905_607805744_q.jpg


    John Magomba Mi nilishakusoma kitambo kaka ktk TV moja ukisema utagombea na ndiyo ambition yako.So usizungumzie lkn tunaokufatilia kwa karibu tunajua we ndo candidat wetu
    16 minutes ago via mobile · Like · 1
  • 623564_100001729802655_1137320427_q.jpg


    Sixbert Koyo Tunataka watz 10 tu kama wewe nina imani tutalala milango wazi.
    15 minutes ago · Like
  • 274701_100002641543290_446394320_q.jpg


    Buzuka Deogratias safi sana muheshimiwa binafsi hapo nakuunga mkono kwa 100%
    15 minutes ago · Like
  • 275921_100001003265858_886799083_q.jpg


    Davie George busara
    15 minutes ago via mobile · Like
  • 276066_100004263725747_65325650_q.jpg


    Jonathan Mkilania basi poa
    15 minutes ago via mobile · Like
  • 623539_100003623398985_755177521_q.jpg


    Joseph Sila Msangi Pamoja daima... M4c @zitoSee Translation
    14 minutes ago via mobile · Like
  • 371729_100002136694675_1643698446_q.jpg


    Daffi Abdillah Msema kweli mpenzi wa Mungu.....!
    13 minutes ago · Like
  • 372281_100003955059615_938523946_q.jpg


    Victor Kasanga BIG UP ZZK
    13 minutes ago via mobile · Like
 
Nadhani amaanza kurudi kwenye reli, tatizo la kamanda Zitto, ni mwepesi sana kwa kuibuka na hoja za ajabu, ni mtu asiyetabirika kabisa. Ila namkubali sana kwa namna anavyoweza kusoma majira na nyakati. Ameanza kugundua kuwa katiba mpya before 2015 ni kiini macho, na ndio maana kamati kuu ya CHADEMA imesema tuone tutafanyaje uchaguzi 2015 maana katiba mpya ni usanii.
 
Nadhani amaanza kurudi kwenye reli, tatizo la kamanda Zitto, ni mwepesi sana kwa kuibuka na hoja za ajabu, ni mtu asiyetabirika kabisa. Ila namkubali sana kwa namna anavyoweza kusoma majira na nyakati. Ameanza kugundua kuwa katiba mpya before 2015 ni kiini macho, na ndio maana kamati kuu ya CHADEMA imesema tuone tutafanyaje uchaguzi 2015 maana katiba mpya ni usanii.
Huu mwaka ndio bado mchanga kama ameanza hivi (kwa style nzuri inayoonyesha kukomaa kifikra) ni dhahiri mapambano kuelekea ukombozi yatakuwa swafi.
 
Sasa tengenezeni mikakati ya ushindi! Kuondoa virus ndani ya chama! na kuimarisha matawi ya chama!
 
Mie nikunge mkono maana hoja yako imeibua mjadala na chama kikaona ni vizuri kuweaka utaratibu. wengi hawakupinga wewe kugombea ,tulipinga wewe kutangaza mda ule ambao CDM ilikuwa kwenye mambo magumu na mazito
 
aisee ubongo wangu haujatengenezwa kwa matope, hii zuga ya Zitto tu baada ya kuumbuliwa na Ben Saanane, anasubiria 2015 ikikaribia wavuruge mambo ili CHADEMA ichukiwe na watu, huyu mtu ni wa kucheki sana aisee, msishangilie haya matambo yake, ni ya kitambo kidogo tu ili uongozi wa juu wa chama umuamini, no no no no... hafai hata kwa kulumangia huyu...
 
watanzania na sie sjui tumelogwa na nani....kauli ya awali wala haikuhitaji kuibua maswali kwani uhuru wa raia ulitumika,sasa hii ya pili nayo mwataka kutumia muda kuijadili,hebu fanyeni ya msingi msipende porojo!
 
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015

Zitto Kabwe


¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨

Coongrats Zitto
Ndio umegundua kuwa ulichemka coz katiba ya sasa inakubana?
 
Imarisha chama jombaa,tuna imani na wewe
 
Back
Top Bottom