Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

Zitto afunga mjadala kuhusu yeye kugombea urais

Mbona hamaki ndugu yangu? Huoni kwamba tayari uko kwenye mtandao unakisema kile kile unachojaribu kukipinga? Why dont you go and face whoever you want to give your msg bro?
 
Hahahaa hii dunia wanayoishape are very few,veeery few!...naamini huge pressure kaitoa hapa JF ambapo ina watu wlijirejista laki moja plus, na wachangiaji kama 200 tu ambao wanago against to ZZK politics..naanza kuamini maneno ya watu mtaani kua JF ni mhimili usio rasmi ndani ya CHADEMA.. BTW hiyo kauli ya ZZK alipokua amefikia hata angemfata teja anaeshinda pale mwinyi mkuu magomeni angemshauri the same thing to me sioni jipya hata! muungwana ni vitendo na sio maneno.

Kati ya members laki moja plus waliojirejista, wapo masalia wenye ID zaidi ya 5.
 
mwaka upo salama kabisa tena unamakubwa sana huu mwaka.Muda si mrefu watanzania watashuhudia maajuabu kwa kile wanachokitegemea kuwa ni salama kumbe kijiwe cha machinjio

hili jitu mi silifahamu likini silipendi hili sasa sijui wanalolifahamu kama wanalipenda hili
 
Hii ingependeza ila ZITTO ana umimi!.

Zitto na wanachadema wote waungane pamoja kukiimarisha chama ili chama kiupate urasi kwa kupitia mtu yeyote atakaye onekana kuwa anafaa kupeperusha vyema bendera ya chama.na si vizuri kuendelea kupigana vikumbo kwa ajili ya urais.Urais ambao mpaka sasahivi hauko chadema uko ccm.chadema wakisha pata urais hapo ndipo wanapoweza kuanza kujipanga awamu hii amekuwa fulani basi awamu inayofuata apewe mwingine.
 
Mara nimekua nikiamini kiongozi bora haji kwa sababu anapigiwa upatu na dhamira yake mwenyewe au watu fulani, bali atapimwa kwa ufanisi wa dhamana ndogo ambayo awali ameshawahi ishika.
 
Hajamaanisha kwamba ameacha harakati zake bali amesitisha mjadala kwa muda , haina maana kuwa amerudi kwenye mstari na wala haamini kama yuko nje ya mstari , Yeye siku zote anaamini yuko sawa ! Kafulila Style .

Kunguru hafugiki!
 
Hahahahahahahahah
daaaaaaaaaa
Wewe una waelewa watu wengi si zitto tuu! Hata EL
hongera sana!
Sisi tunaomuelewa ZZK vizuri, tunaelewa amesema nini in "between the lines" na kwa nini amesema hivyo!. "The message is short, clear and direct to the point..sent!".
Pasco.
 
Ukisoma between the lines utaelewa vizuri ujumbe wa Zitto. ukisoma word to word utatoka patupu.
IDUMU DEMOKRASIA...
 
Tuntemeke kala ban!.. Haya ingia kwa ID nyingine au zile za tarehe 20/dec/2012.. Saa nane MBAYAAAAA!. ..Mbayaaa!.. kakopi na kupesti tuhuma zenu zote kutoka mafichoni na kumuibua kila mmoja - akalipuka kivyake!!!!!.
TAyADI,

Ha ha haa,unaniponza.Soma kitabu cha Tinker,Tailor,Soldier,Spy by John Le Carre

-The sword and the Ship by Christopher Andrew

-The Second Oldest Profession by philip Knightly

-Anthony Blunt by Miranda Carter
 
Well said Big up Zitto. Umekomaa kisiasa.
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015

275673_100000321189166_1444157301_q.jpg
Zitto Kabwe

¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨



Coongrats Zitto
 
Katiba mpya, ....
Nakuunga mkono mkuu, katiba mpya ndio itamaliza ubishi
 
Kwa kauli hii ina maana ameamua kusubiri Katiba Mpya kama Itamruhusu. Kwa mantiki hiyo, msimamo wake ni "ATAGOMBEA" only if katiba mpya itamruhusu na kama Chamani hawatamwekea zengwe...

Ila ni vyema kama ameamua kutolizungumzia hili suala, na nguvu kubwa ielekezwe kwenye ujenzi wa Chama.

Pamoja na umri kushushwa ktk katiba mpya anavizia pia issue ya "INDEPENDENT CANDIDATE" kama itapitishwa
 
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015

275673_100000321189166_1444157301_q.jpg
Zitto Kabwe

¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨



Coongrats Zitto

ndo maana ukiangalia kwa undani , ZZK ni mkweli na anayekubalika kwa matendo na kauli zake za kisiasa. kwa kuthibitisha hilo, hakuna alilobadili ktk maamuzi yake ya kugombea urais, kwani hajakanusha bali ameendelea kutoa somo, la haki yake ya msngi ya kujieleza. amepingwa saana na wale wote ambao ni wachoyo wa fursa za watu kujieleza. mwisho anafafanua jamani hamuoni kuwa katiba ya sasa hainuruhusu kugombea nafasi hiyo, jamani mnanisakama kwani chama kimetoa taratibu za kumpata mgombea ? akamaliza maswali yenu yooote yangoje KATIBA MPYA, na UTARATIBU wa chama changu. sasa hiyo ni fursa yenu nyooote wenye miba mwekeeeeni njiani.

Umeonaee!.. Ni mkweli Saaaana ndiyo maana anasifiwa tu humu mtandaoni!.. Atagombea urais kupitia chama chake! .. CHAUMA!.... Alibadili uamuzi wa kugombea ubunge GEITA na kwingineko!.. Akishinda Kafulila waziri mkuu, Mchange Spika, na masalia woote vyeo viwiliviwili!
 
mwaka upo salama kabisa tena unamakubwa sana huu mwaka.Muda si mrefu watanzania watashuhudia maajuabu kwa kile wanachokitegemea kuwa ni salama kumbe kijiwe cha machinjio

Hili kundi lenu haramu la Pindua Mbowe-PM7 mwisho wake umefika
 
Akitoa ufafanuzi kwenye page yake ya FB muda mfupi uliopiita Zitto ameweka wazi sasa amefunga mjadala kuhusu kugombea urais 2015

275673_100000321189166_1444157301_q.jpg
Zitto Kabwe

¨Ngoja niweke wazi kabisa. Ninaulizwa sana kuhusu suala la Urais 2015 baada ya kauli za wanachama waandamizi wa CHADEMA kunukuliwa kuzungumzia suala hilo. Jibu langu kwa wote wenye kutaka kusikia kauli yangu ni kwamba 'katika moja ya maazimio yangu ya mwaka mpya 2013 ni kutoongelea kabisa suala la Urais 2015. Hivyo sitaongelea suala hili. Sitasema kitu kuhusu suala hili mpaka baada ya Katiba mpya kupatikana na chama changu kuweka utaratibu na mchakato wake¨



Coongrats Zitto

Still contemplating....never trust Zitto!!!
 
Back
Top Bottom