Zijue athari za kioo kiroho

Zijue athari za kioo kiroho

Acheni hasira mbona kuna watu wanaongoza kuwachoma moto wezi,wakati wana kaka na ndugu zao wa damu ni wezi na hawawagusi.Kubalini kutofautiana na ikibidi muheshimiane na kujadiliana kwa haki.
sasa yeye katangulia kuniita mpumbavu mimi ningefanyaje?
 
😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡😡
 
haya mambo usipoyaamini na kuyafuatilia utaishi kwa raha sana, binafsi geto nina li kioo likubwa sana na sijaanza leo kuwa nalo, ila nalala usingizi mzuri wacha tu.....😀😀
Kila ikifika saa nane usiku amka, litizame usiku mitatu saa ile ile mkuu,
Hautaamini tena haya mambo,

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Acheni hasira mbona kuna watu wanaongoza kuwachoma moto wezi,wakati wana kaka na ndugu zao wa damu ni wezi na hawawagusi.Kubalini kutofautiana na ikibidi muheshimiane na kujadiliana kwa haki.
Na mtu ukiona kitu akikufai unaachia wengine, ndio maana mimi nikabase huku kwenye intelligence mkuu, nikienda siasa au jokes n.k huwa napita tu, without comments, nashangaa hawa yani hawapiti sehemu bila kusema kitu, ukiuliza watakwambia tunamtangaza mungu mwishoni wataenda casino kutangaza mungu sasa

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ushirikina ni dhambi. Mwenyezi Mungu wa Mbinguni hana ushirika na giza.

2 Wakorintho 6:14‭-‬16 SUV

"Msifungiwe nira pamoja na wasioamini, kwa jinsi isivyo sawasawa; kwa maana pana urafiki gani kati ya haki na uasi? Tena pana shirika gani kati ya nuru na giza? Tena pana ulinganifu gani kati ya Kristo na Beliari? Au yeye aaminiye ana sehemu gani pamoja na yeye asiyeamini? Tena pana mapatano gani kati ya hekalu la Mungu na sanamu? Kwa maana sisi tu hekalu la Mungu aliye hai; kama Mungu alivyosema, ya kwamba, Nitakaa ndani yao, na kati yao nitatembea, nami nitakuwa Mungu wao, nao watakuwa watu wangu."

Kumbukumbu la torati 18:9‭-‬14 SUV

"Utakapokwisha kuingia katika nchi akupayo BWANA, Mungu wako usijifunze kutenda kwa mfano wa machukizo ya mataifa yale. Asionekane kwako mtu ampitishaye mwanawe au binti yake kati ya moto, wala asionekane mtu atazamaye bao, wala mtu atazamaye nyakati mbaya, wala mwenye kubashiri, wala msihiri, wala mtu alogaye kwa kupiga mafundo, wala mtu apandishaye pepo, wala mchawi, wala mtu awaombaye wafu. Kwa maana mtu atendaye hayo ni chukizo kwa BWANA; kisha ni kwa sababu ya hayo BWANA, Mungu wako, anawafukuza mbele yako. Uwe mkamilifu kwa BWANA, Mungu wako. Maana mataifa haya utakaowamiliki huwasikiliza wanaoshika nyakati mbaya na kutazama bao; bali wewe, BWANA, Mungu wako, hakukupa ruhusa kutenda hayo."

Mwenye akili aelewe.

Sent using Mikoyan MiG-29
Next time go by step mkuu quotes imezidi urefu wa thread,

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom