Zijue athari za kioo kiroho

Zijue athari za kioo kiroho

KIOO
mirror.jpg

kioo ni moja kati ya vifaa vinavyotumika kuonyesha kitu kama copy yake jinsi ilivyo kwa akili ya kila mtu natural bila kufundishwa hujua hivyo,
Lakini kwa kitaalamu kioo kinatambulika kama uso, wenye aina ya chembe chupa zilizounganishwa na madini ya Amalgam ambayo huonyesha picha iliyowazi.
lakini kihalisia mtu ukimwambia kioo yeye hujua kioo ni kioo tu, lakini



JE, WAJUA:

2N8A6823.jpg


Kioo ni moja kati ya vifaa pendwa sana kwa upande wa kiroho chenye kufanya yasiyoonekana yakaonekana na yanayojiona yasijione kwenye kioo kihalisia?
kwa upande wa kiroho? moja kati ya majaribio ambayo unaweza kujua kwamba kioo sio kizuri kijitizama kwa muda mrefu:


mahitaji:

  • kioo chenye urefu na upana sawa kadri utakavyo taka
  • mchana wakati wa mwanga hafifu
  • utulivu wa akili
Jinsi ya kufanya:

  • chukua kioo weka mbele yako akili yako ikiwa imetulia vema
  • tizama kioo chako kwa muda wa dakika nyingi uwezavyo bila kukapua macho wala kutikisika,
  • tulia wala usikaze macho ukisikia yanauma
  • tizama kwa level ya chini sana ya nguvu ya macho yako

Matokeo:

  • utaona picha ya sura yako inayumba hovyo wewe tulia tu bila woga kwa sababu mchana hakuna cha kukuzuru,
  • utaona rangi juu ya nguzi yako zinaanza kujiform Aura wewe tulia tu,
  • kadri muda unavyozidi kwenda utaona rangi moja tu imetulia na inatanda juu yako na kufunika mwili mzima hapo unaakuwa tayari umeshaingia state ya aura reading, ukiendelea zaidi ya hapo basi utaona viumbe visivyoeleweka pembeni yako na haichukui muda maana utastuka navyo vyote vitapotea,
yote hiyo ni jinsi kioo kilivyo na nguvu ya kurefrect hata invisible forces na waweza kuzungumza nazo, that includes: angels,spirits,demons,jinns and ghost

ATHARI ZA KIOO:
Hizi utaziona wakati wa usiku tu, unashauriwa sana kufunika vioo vinavyokuzunguka ndani ya nyumba yako pale unapoingia wakati wa usiku nyumbani kwako kwa sababu macho ya wenye kuona usiku yanasafiri kupitia vioo vilivyowazi ndani ya nyumba ya mlengwa na kwa mtu kukuota unamloga unambaka unampiga au kukuona unamtembelea usiku kishirikina husababishwa na vioo ulivyokaribu navyo usiku kwa maana viumbe wanaosafiri gizani wakikuona kwenye kioo hutumia sura yako na kwenda kufanyia matukio ambayo ni ya kiroho kwa watu na kukufanya uonekani mtu muovu wa kiroho bila wewe kujua unless nyumba yako iwe sealed na nguvu ya aliyekuumba au nguvu aliyokujalia ya kujikingia,

pia unaweza kumtumia mtu ndoto unayotaka kutumia kioo, hii siwezi kufundisha kwa sababu kuna watu ni onja onja hupenda kujaribu,

TAHADHARI
usizungumze na viumbe utakavyoviona wakati unapima hiyo njia niliyoelekeza hapo, hii haina tofauti na kumchungulia mtu ambaye humjui halafu hajavaa, lakini pia ukitaka lako na ukakubaliana nao wanachotaka wanakutimizia haraka kuzinda hata kukapua kwako macho
pia
usifanye zoezi hili wakati wa usiku too risk too danger,

Rakims Spiritual

Rakims


Hata mzazi wangu aliwahi kutuambiaga kuwa kujiangalia ktk kioo wakati wa usiku ni vibaya/mwiko. Nadhani alikuwa anajua madhara haya uyasemayo..

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Brother Mshana Jr Kumekucha njoo tia neno hapa...wanaoishi kwenye nyumba za vioo vitupu sijui wanafunika nyumba nzima?

Vioo navyozungumzia hapa vyenye clear reflector ambavyo vina amalgram kama vile vya salun na bafuni sizungumzii vioo vya choo,milango,dirisha,kabati,tv,simu n.k

Usikurupuke kama hujaelewa thread soma mara mbili mara tatu uelewe ndio upate la kusema wengi mnapenda kuzungumza ujinga thats why u act like STPD

Rakims
 
Vioo navyozungumzia hapa vyenye clear reflector ambavyo vina amalgram kama vile vya salun na bafuni sizungumzii vioo vya choo,milango,dirisha,kabati,tv,simu n.k

Usikurupuke kama hujaelewa thread soma mara mbili mara tatu uelewe ndio upate la kusema wengi mnapenda kuzungumza ujinga thats why u act like STPD

Rakims
Mithali 26:5 Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
Proverbs 26:5 Answer a fool according to his folly, Lest he be wise in his own eyes.
Acha utoto Rakims kuna watu ndani ya chumba kizima kuna vioo vya kujiangalia pande zote za kuta..........ndio maana nikauliza wanafunikaje?
Halifu sio kila kinachokudhuru wewe lazima kinidhuru na mimi....kwenye ulimwengu wa kiroho kuna imani tofauti tofauti usitake kuniaminisha cha kwako
kazi ya kichwa ni zaidi ya kufuga nywele na kushikilia masikio.Tumia vizuri kichwa chako.
 
Mithali 26:5 Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
Proverbs 26:5 Answer a fool according to his folly, Lest he be wise in his own eyes.
Acha utoto Rakims kuna watu ndani ya chumba kizima kuna vioo vya kujiangalia pande zote za kuta..........ndio maana nikauliza wanafunikaje?
Halifu sio kila kinachokudhuru wewe lazima kinidhuru na mimi....kwenye ulimwengu wa kiroho kuna imani tofauti tofauti usitake kuniaminisha cha kwako
kazi ya kichwa ni zaidi ya kufuga nywele na kushikilia masikio.Tumia vizuri kichwa chako.
Pia ukumbuke sio kila post lazima uchangie au uzifuatilie mwisho wasiku hii sijaweka kwa sababu yako mkuu nimeweka for education purpose la umeona haikufai au ni nje ya nafasi yako pitia pembeni na pia kama ulivyosema sio lazima kila mtu afate ya mtu mmoja umeona hayakufai kaa kushoto mkuu, usijifanye kujikinga kwenye maandiko hali ya kuwa nayo yanakufunga maana ungeuliza vizuri pia ungejibiwa vizuri

n.b
maandishi huwa hayaonyeshi hisia za mtu, still understand don't be stup*d mkuu, cause comment after this will prove you are stup*d so don't be...

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Vioo navyozungumzia hapa vyenye clear reflector ambavyo vina amalgram kama vile vya salun na bafuni sizungumzii vioo vya choo,milango,dirisha,kabati,tv,simu n.k

Usikurupuke kama hujaelewa thread soma mara mbili mara tatu uelewe ndio upate la kusema wengi mnapenda kuzungumza ujinga thats why u act like STPD

Rakims
Kuna vioo vinawekwa kwenye kuta za bafuni kuna ambavyo vinawekwa kwenye makabati.. Huenda alimaanisha hivyo...!
Mithali 26:5 Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
Proverbs 26:5 Answer a fool according to his folly, Lest he be wise in his own eyes.
Acha utoto Rakims kuna watu ndani ya chumba kizima kuna vioo vya kujiangalia pande zote za kuta..........ndio maana nikauliza wanafunikaje?
Halifu sio kila kinachokudhuru wewe lazima kinidhuru na mimi....kwenye ulimwengu wa kiroho kuna imani tofauti tofauti usitake kuniaminisha cha kwako
kazi ya kichwa ni zaidi ya kufuga nywele na kushikilia masikio.Tumia vizuri kichwa chako.
Amekuelewa mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Pia ukumbuke sio kila post lazima uchangie au uzifuatilie mwisho wasiku hii sijaweka kwa sababu yako mkuu nimeweka for education purpose la umeona haikufai au ni nje ya nafasi yako pitia pembeni na pia kama ulivyosema sio lazima kila mtu afate ya mtu mmoja umeona hayakufai kaa kushoto mkuu, usijifanye kujikinga kwenye maandiko hali ya kuwa nayo yanakufunga maana ungeuliza vizuri pia ungejibiwa vizuri

n.b
maandishi huwa hayaonyeshi hisia za mtu, still understand don't be stup*d mkuu, cause comment after this will prove you are stup*d so don't be...

Rakims

Sent using Jamii Forums mobile app
ulisoma huu mstari kabla hujaniita stupid?

kazi ya kichwa ni zaidi ya kufuga nywele na kushikilia masikio.Tumia vizuri kichwa chako.
 
Back
Top Bottom