Salaam mkuu. Nimekuwa nikifuatilia Sana baadhi ya thread zako nimekuwa nikijifunza Sana kuepukana na Mambo fulani hv. Barikiwa Sana mkuu. Kwakweli kukuelewa ww inahitaji ufahamu wa ziada tulionao watu wachache. Naomba unisaidie mkuu,Ufunguo mkuu wa meditation ni kutulia tu acha mwili na sehemu zake vitape tape ukizidi kutulia kadri unavyozidi kufanya meditation na kuizoea ndio hali hiyo itakuondoka,
Rakims



Hapana mkuu tofauti kati ya lucid dreaming na meditation ni kuwa ukiwa unafanya meditation kuna vitu unakuwa una gain na faida zake ni nyingi sana tofauti na lucid dream ambayo faida kubwa huwa ni starehe ndotoni na afya ya mwiliSalaam mkuu. Nimekuwa nikifuatilia Sana baadhi ya thread zako nimekuwa nikijifunza Sana kuepukana na Mambo fulani hv. Barikiwa Sana mkuu. Kwakweli kukuelewa ww inahitaji ufahamu wa ziada tulionao watu wachache. Naomba unisaidie mkuu,
Swali; kunatofauti gani Kati ya zoezi la meditation na zoezi la lucid dream au utofauti ni wa majina tu na maana na lengo ni lile lile moja? Nisaidie jibu mkuu.
Daah ubarikiwe SanaAma kweli, Elimu Haina Mwisho.
Waungwana,nimepitia comments za watu kwenye Uzi huu,nimeona na kuamini kweli ' Akiki ni nywele,kila mtu anazake'. Kuna wanao mdharau rakim na kumuita mchawi,wengine wanakuwa wachungaji kuhubiri kisha wanatukana (utumishi wa siku hizi...!!??),wengine wanataka kujua zaidi na hata wengine kutaka kujaribu.
Mie naungana na wanaotaka kufahamu zaidi juu ya kioo,maana,sio mara ya kwanza kusikia habari za kioo kuwa sio vizuri kujitazama usiku au kujitazama kwa muda mrefu,mama yangu mzazi nakumbuka alikuwa ananizuia kujitazama kwenye kioo na alikuwa mkali akinikuta najitazama hasa usiku.
Sasa alichokieleza ndugu Rakims,bila shaka kina ukweli mkubwa na usiopingika...haijalishi uaamini au haukiamini. Nashauri jamaa endelea kutoa darsa ili tuyafahamu mambo ambayo wakati mwingine ni vigumu kuyajua katika hali ya kawaida ili mtu awe na tahadhari. Wehenga walijua mambo mengi sana.
La mwisho,ni ujinga wa kiwango cha juu sana kuamini kuwa wewe eti kwa vile unajua biblia kidogo,basi unadharau elimu zingine...!! Usiwe mjinga,wazungu hao walikutawala kupitia biblia hy,na waarabu wakaufanya mtumwa kwa Qur'an hy.....kuwa wa kujiongeza,tambua na ujue kichwani mwako,kuna elimu nyingi na za maana kimwili na kiroho ambazo ziko nje ya vitabu vya dini. ACHA UJINGA....!! Sikuzuii kuamini unachokiamini,ila nakuzuia kupinga na kudharau taaluma zilizo nje ya imani yako. Dunia ina mengi ya kujifunza,ukichagua ya kujifunza,usithubutu wala kujaribu kudharau wenzako pia walichochagu,maana kuna walipofanyaga ujinga huo,wakajuta baadaye.
Nimemmiss sana mcungaji Kibwetele.
Asante mkuu. Samahani tena nauliza. Je, Meditation inawezekana kuifanya usiku huku umelala chali au ni sharti mpaka uwe umekaa?Hapana mkuu tofauti kati ya lucid dreaming na meditation ni kuwa ukiwa unafanya meditation kuna vitu unakuwa una gain na faida zake ni nyingi sana tofauti na lucid dream ambayo faida kubwa huwa ni starehe ndotoni na afya ya mwili
Rakims
HAPO KWENYE WEWE TULIAAAA TU BILA UWOGAKIOO
![]()
kioo ni moja kati ya vifaa vinavyotumika kuonyesha kitu kama copy yake jinsi ilivyo kwa akili ya kila mtu natural bila kufundishwa hujua hivyo,
Lakini kwa kitaalamu kioo kinatambulika kama uso, wenye aina ya chembe chupa zilizounganishwa na madini ya Amalgam ambayo huonyesha picha iliyowazi.
lakini kihalisia mtu ukimwambia kioo yeye hujua kioo ni kioo tu, lakini
JE, WAJUA:
![]()
Kioo ni moja kati ya vifaa pendwa sana kwa upande wa kiroho chenye kufanya yasiyoonekana yakaonekana na yanayojiona yasijione kwenye kioo kihalisia?
kwa upande wa kiroho? moja kati ya majaribio ambayo unaweza kujua kwamba kioo sio kizuri kijitizama kwa muda mrefu:
mahitaji:
- kioo chenye urefu na upana sawa kadri utakavyo taka
- mchana wakati wa mwanga hafifu
- utulivu wa akili
Jinsi ya kufanya:
- chukua kioo weka mbele yako akili yako ikiwa imetulia vema
- tizama kioo chako kwa muda wa dakika nyingi uwezavyo bila kukapua macho wala kutikisika,
- tulia wala usikaze macho ukisikia yanauma
- tizama kwa level ya chini sana ya nguvu ya macho yako
Matokeo:
- utaona picha ya sura yako inayumba hovyo wewe tulia tu bila woga kwa sababu mchana hakuna cha kukuzuru,
- utaona rangi juu ya nguzi yako zinaanza kujiform Aura wewe tulia tu,
- kadri muda unavyozidi kwenda utaona rangi moja tu imetulia na inatanda juu yako na kufunika mwili mzima hapo unaakuwa tayari umeshaingia state ya aura reading, ukiendelea zaidi ya hapo basi utaona viumbe visivyoeleweka pembeni yako na haichukui muda maana utastuka navyo vyote vitapotea,
yote hiyo ni jinsi kioo kilivyo na nguvu ya kurefrect hata invisible forces na waweza kuzungumza nazo, that includes: angels,spirits,demons,jinns and ghost
ATHARI ZA KIOO:
Hizi utaziona wakati wa usiku tu, unashauriwa sana kufunika vioo vinavyokuzunguka ndani ya nyumba yako pale unapoingia wakati wa usiku nyumbani kwako kwa sababu macho ya wenye kuona usiku yanasafiri kupitia vioo vilivyowazi ndani ya nyumba ya mlengwa na kwa mtu kukuota unamloga unambaka unampiga au kukuona unamtembelea usiku kishirikina husababishwa na vioo ulivyokaribu navyo usiku kwa maana viumbe wanaosafiri gizani wakikuona kwenye kioo hutumia sura yako na kwenda kufanyia matukio ambayo ni ya kiroho kwa watu na kukufanya uonekani mtu muovu wa kiroho bila wewe kujua unless nyumba yako iwe sealed na nguvu ya aliyekuumba au nguvu aliyokujalia ya kujikingia,
pia unaweza kumtumia mtu ndoto unayotaka kutumia kioo, hii siwezi kufundisha kwa sababu kuna watu ni onja onja hupenda kujaribu,
TAHADHARI
usizungumze na viumbe utakavyoviona wakati unapima hiyo njia niliyoelekeza hapo, hii haina tofauti na kumchungulia mtu ambaye humjui halafu hajavaa, lakini pia ukitaka lako na ukakubaliana nao wanachotaka wanakutimizia haraka kuzinda hata kukapua kwako macho
pia
usifanye zoezi hili wakati wa usiku too risk too danger,
Rakims Spiritual
Kwa haya na mengineyo:
Tembelea:
Rakims
Nakubaliana na wewe 100% na nakubaliana na mtoa mada 100% kwanini? Science fact na spiritual fact vinakinzana sana.Kila kitu ni imani,ukiamini itatokea,ila mi nafikir hapo una disturb retina na brain zina form unknown images
Sent using Jamii Forums mobile app
Ajabu zaidi sayansi fact in the beginning they get an idea from a spiritual life then investigate on it, then they prove it to be truth. But not all of them agreed as everyone has different point of viewNakubaliana na wewe 100% na nakubaliana na mtoa mada 100% kwanini? Science fact na spiritual fact vinakinzana sana.
Swali lingine mkuu naomba unisaidie,
Mimi ninapokuwa nimelala usiku, kuna wakati huwa najikuta nimeshtuka usingizini na mwili wangu unakuwa Kama umepalalaiz nakuwa sijiwez hata kutikisa kidole, na ninaweza nikafumbua macho kabisa lakini sioni chochote, huwa nikijikuta kwenye hali hiyo najitahidi kupiga kelele then baadae ndo nashtuka. Hali hiyo huwa inanitesa Sana mkuu,
Inaninyima raha ktk maisha Kila ikifika usiku.
Wakati nasoma thread yako ya Astra projection, nikaona umeielezea hataua ya sleep paralays, nikakumbuka hali inayonitokeaga nikiwa usingizini.
SWALI; Je, Nikiwa katika hatua ya hiyo ya paralays nifanye Nini ili niweze kuifikia Astra projection? Na je, hakuna kiumbe kinachoweza kunizuru nikiwa kwenye astral projection?