Zijue athari za kioo kiroho

Zijue athari za kioo kiroho

huyu jamaa kama angelikuwa na uwezo wa kuona ulimwengu usioonekana basi pia angelikataa hiyo reality naamini kiongozi katika ulimwengu huo una watoto wengi sana.
katika ulimwengu wa kiroho kuna vitu vingi vinafanyika wewe huwezi jua na maadiko yako ya mistari miwili ya bible what u think u know is the drop of water and what u dont know is endless ocean.
Ndio maana mkuu nimependa sana alivyojibu hapo mkuu @johnnashjr kwa sababu kaona bandiko ikabidi asitoe comment kwanza arejee kutizama na kuja na kitu alichopata kama watu wote wangekuwa na uelewa huo kwenye inteligence basi ingependeza sana, na pia mtu mmoja hawezi kuwa na elimu zote hata siku moja ingekuwa hivyo tusingeumbwa wengi,
 
Mithali 26:5 Umjibu mpumbavu sawasawa na upumbavu wake; Asije akawa mwenye hekima machoni pake.
Proverbs 26:5 Answer a fool according to his folly, Lest he be wise in his own eyes.
Acha utoto Rakims kuna watu ndani ya chumba kizima kuna vioo vya kujiangalia pande zote za kuta..........ndio maana nikauliza wanafunikaje?
Halifu sio kila kinachokudhuru wewe lazima kinidhuru na mimi....kwenye ulimwengu wa kiroho kuna imani tofauti tofauti usitake kuniaminisha cha kwako
kazi ya kichwa ni zaidi ya kufuga nywele na kushikilia masikio.Tumia vizuri kichwa chako.
Sasa mbona unagomba jaman and ifahamuke elimu ni bahari hahahaha watu bana
 
apo sio uchawi wala sio miujiza kwa hali ya kawaida utazame kioo kwa dakika nyingi bila kutikisa macho wala mwili kwa dk nyingi lazima upate mawenge au uone maruerue macho yataanza kutoa machozi na ata akili kuvurugika. swala la macho yetu binadamu kutikisika kila baada ya sekunde ni involuntary action kwaiyo kitendo cha kuzuia yasifanye unachotaka lazima utapata effect kama izo. ni sawa na kujizuia usipige
chafya au muayo.
 
Watu wanawaza vitu ambavyo havina msaada katika jamii kutokana na ugumu wa maisha ama ni kitu gani??
 
Acha ujinga wewe. Ngoja kesho jamaa aje na theory ya makochi tunayokalia sebuleni alafu utaenda kuchoma makochi yako yote.
Hamna sehemu hapo nimesema mtu avunje kioo, na huyo kafanya joke hajavunja kioo
 
Salaam, ndio mkuu yote hayo uliyoyasema ni kweli na ndio iliyopelekea mimi kuwafundisha wanajamii ili kuweza kukwepa lakini kwa kuwa wengi uelewa wao ni finyu point walioiona hapo ni kuwa huu ni uchawi hivyo mtu anaehisi hii ni uchawi moja kwa moja hana imani na Mwenyezi mungu kwa maana ukishaamini huu ni uchawi kwamba hadi utengeneze ndio upokee imani ya uwepo wa viumbe visivyoonekana na kama huamini kama hakuna viumbe visivyoonekana basi hata aliyekuumba pia humuamini, pia kwa sisi waislamu kuna sehemu Qur.an inasema vimeumbwa viumbe vingi na tofauti lao mwenyezi mungu angetaka vyote vingekaa pamoja?

Rakims
Upo sahihi mkuu. Binafsi ni mtafiti, naelewa sana mabandiko yako. Japo kwa baadhi ya wanajamvi ni ngumu kumeza.
 
Napenda sana kufanya meditation, ila nashindwa kutuliza macho bila kukwapua, hata nikiyafunga huwa nahisi yanakwapuka ndani, nifanye nini mkuu?
 
Napenda sana kufanya meditation, ila nashindwa kutuliza macho bila kukwapua, hata nikiyafunga huwa nahisi yanakwapuka ndani, nifanye nini mkuu?
Ufunguo mkuu wa meditation ni kutulia tu acha mwili na sehemu zake vitape tape ukizidi kutulia kadri unavyozidi kufanya meditation na kuizoea ndio hali hiyo itakuondoka,

Rakims
 
Ufunguo mkuu wa meditation ni kutulia tu acha mwili na sehemu zake vitape tape ukizidi kutulia kadri unavyozidi kufanya meditation na kuizoea ndio hali hiyo itakuondoka,

Rakims

Ahsante sana kiongozi
 
Upo sahihi mkuu. Binafsi ni mtafiti, naelewa sana mabandiko yako. Japo kwa baadhi ya wanajamvi ni ngumu kumeza.
Wao wanaona kila kitu uchawi lakini hakuna bandiko nilishawahi kuweka lisihisiwe uchawi hata meditation niliwahi kuambiwa ni uchawi, anything nitakacho fundisha humu kinaonekana ni uchawi chochote cha kiroho kisichokua sala wanabodi kwao ni uchawi

Rakims
 
Back
Top Bottom