Uwe unampenda ama humpendi,uwe unafuatilia ama haufuatilii ziara zake.
Kitu kimoja utagundua kuwa Watanzania wengi sana wanakandamizwa na wasimamizi wa haki na sheria.
Mamia kama si maelfu ya wananchi wanakandamizwa na kuonewa toka ngazi ya mtaa, kata, wilaya, mkoa hadi Taifa.
Wananchi wanakandamizwa na wachache wanafuatilia hadi ngazi za juu lakini bado hawapati haki zao.
Mtendaji mkuu wa Serikali ambaye ni waziri mkuu anatoa maagizo lakini watu wa chini yake wanapuuzia. Rejea ziara ya Makonda kule Shinyanga.
Je, kuna anguko la Utawala wa Sheria?
Kitu kimoja utagundua kuwa Watanzania wengi sana wanakandamizwa na wasimamizi wa haki na sheria.
Mamia kama si maelfu ya wananchi wanakandamizwa na kuonewa toka ngazi ya mtaa, kata, wilaya, mkoa hadi Taifa.
Wananchi wanakandamizwa na wachache wanafuatilia hadi ngazi za juu lakini bado hawapati haki zao.
Mtendaji mkuu wa Serikali ambaye ni waziri mkuu anatoa maagizo lakini watu wa chini yake wanapuuzia. Rejea ziara ya Makonda kule Shinyanga.
Je, kuna anguko la Utawala wa Sheria?