Nsanzagee
JF-Expert Member
- Jun 28, 2023
- 1,940
- 4,124
Wasalaam Tanzania.
Nimekuwa mwingi wa kufuatilia mikutano ya ndugu Paul Makonda mwenezi wa CCM.
Amekuwa akipokelewa na wananchi kwa wingi na mabango mengi yenye malalamiko dhidi ya watumishi wa Serikali n.k
Kila ambaye amekuwa akipeleka malalamiko, anapoulizwa ni tangu lini, wengi wao wamekuwa wakisema ni kuanzia mwaka wa 2021, hii maana yake ni nini?
Je, ni kweli Magufuli aliyadhibiti mambo haya ya wananchi kunyanyasika na baada tu ya yeye kuondoka mambo yalirudi ya kunyanyasana?
Nimekuwa mwingi wa kufuatilia mikutano ya ndugu Paul Makonda mwenezi wa CCM.
Amekuwa akipokelewa na wananchi kwa wingi na mabango mengi yenye malalamiko dhidi ya watumishi wa Serikali n.k
Kila ambaye amekuwa akipeleka malalamiko, anapoulizwa ni tangu lini, wengi wao wamekuwa wakisema ni kuanzia mwaka wa 2021, hii maana yake ni nini?
Je, ni kweli Magufuli aliyadhibiti mambo haya ya wananchi kunyanyasika na baada tu ya yeye kuondoka mambo yalirudi ya kunyanyasana?