Vincenzo Jr
Platinum Member
- Sep 23, 2020
- 32,911
- 82,213
Nimejaribu kufuatilia kwa karibu sana ziara wa Mwenezi Paul Makonda, na kuangalia namna mikutano yake inayokuwa , nilichosikitika ni kwamba
1. Mifumo ya utoaji haki kwa nchi hii haiko sawa kabisa, watu wanateseka bila kujua watapata wapi msaada
2. Watu Wana maisha magumu sana na hawana mtu wa kuwafariji wala wa kuwasaidia , na wamezoea
3. Matatizo ya jamii nyingi ni Yale Yale afya , elimu , maji , barabara, na family and social n.k
4. Watendaji wengi wa serikali (Civil servants) wanateseka sana kwenye kutekeleza majukumu yao kutokana na Sera nyingi kuwa za kisiasa bila kuwa na miongozo ya utekelezaji wake (hasa kwenye afya )
5. Wananchi wengi hawana matumaini , wamekata tamaa ndio maana hakuna anaekwenda kusikiliza Sera za Chama bali wengi wanaenda kwa sababu ya kusililizwa shida zao
6. Japokuwa CCM ndio inasimamia serikali, Kuna mapishano makali ya wanayohubiri CCM na kile ambacho serikali inatekeleza wanapishana sana na hakuna coordination nzuri
1. Mifumo ya utoaji haki kwa nchi hii haiko sawa kabisa, watu wanateseka bila kujua watapata wapi msaada
2. Watu Wana maisha magumu sana na hawana mtu wa kuwafariji wala wa kuwasaidia , na wamezoea
3. Matatizo ya jamii nyingi ni Yale Yale afya , elimu , maji , barabara, na family and social n.k
4. Watendaji wengi wa serikali (Civil servants) wanateseka sana kwenye kutekeleza majukumu yao kutokana na Sera nyingi kuwa za kisiasa bila kuwa na miongozo ya utekelezaji wake (hasa kwenye afya )
5. Wananchi wengi hawana matumaini , wamekata tamaa ndio maana hakuna anaekwenda kusikiliza Sera za Chama bali wengi wanaenda kwa sababu ya kusililizwa shida zao
6. Japokuwa CCM ndio inasimamia serikali, Kuna mapishano makali ya wanayohubiri CCM na kile ambacho serikali inatekeleza wanapishana sana na hakuna coordination nzuri