Ziara ya Paul Makonda yaingia shubiri Bagamoyo na kuibua mapungufu ya Serikali ya CCM

bagamoyo

JF-Expert Member
Jan 14, 2010
21,319
24,219
19 January 2024
Bagamoyo, Pwani

PAUL MAKONDA AKUTANA NA UGUMU ULIOPITILIZA UNAOSHINDWA KUPATIWA UFUMBUZI NA MFUMO WA UTAWALA WA SERIKALI YA CCM


View: https://m.youtube.com/watch?v=om38fxu03Yc

Katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM Bw. Paul Makando leo hakuamini macho yake kuona jinsi ya mfumo wa serikali na chama dola kongwe CCM usivyosomana


Wananchi wadai toka mwaka 1984 hadi leo mwaka 2024 takribani miaka 40, matatizo yao hayajapata ufumbuzi. Wananchi waonesha mavazi na mashati yao yalivyo na viraka na matobo kama vile yameliwa na panya kutokana na kubakia ktk lindi la umasikini baada ya kuporwa ardhi na mazao yao ..

Ma DC wapya wanaletwa pamoja na wakurugenzi wa wilaya lakini wanaona kuwa wote hao wameshindwa kazi kutokana na kila miaka miwili mitatu wanaletewa viongozi wageni wasiofahamu changamoto zinazohitaji kutatuliwa na wateuliwa hao wa rais .

Vurugu zatokea na katibu ya CCM uenezi, itikadi na mafunzo akimbiwa na watendaji waliowekwa kupitia uchaguzi ulioporwa wa mitaa na vijiji

Wazi inaonesha kuwa hitaji la katiba mpya ya nchi ndiyo itakuwa ufumbuzi wa kuweza kero za wananchi kutatuliwa ngazi ya vijiji, wilaya na mkoa badala ya kusubiri ziara za wageni kama kina Paul Makonda na watendaji wengine wenye makao yao huko Dodoma na Dar es Salaam....

Wazee walilia bima ya Afya tegemezi ya watoto wao kufutwa na kumtaka Paul Makonda kumfikishia ujumbe mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania irejeshwe maana wazee hao sasa hawawezi kupata huduma za afya kupitia bima ya vijana wao ....

Wananchi pia walalamikia hukumu za Mahakama kupuuzwa na viongozi wa kata ya Mapinga Bagamoyo ...

Viongozi wanakimbia wananchi hawataki kabisa kuwahudumia wananchi ....
 
Bagamoyo, Pwani

Katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM Bw. Paul Makando leo hakuamini macho yake kuona jinsi ya mfumo wa seikali na chama dola kongwe CCM usivyosomana


View: https://m.youtube.com/watch?v=om38fxu03Yc

Wananchi wadai toka 1984 matatizo yao hayajapata ufumbuzi.

Ma DC wapya wanaletwa pamoja na wakurugenzi wa wilaya lakini wanaona kuwa wote wameshindwa kazi kutokana na kila miaka miwili mitatu wanaletewa viongozi wageni wasiofahamu changamoto zinazohitaji kutatuliwa na wateuliwa hao wa rais .

Vurugu zatokea na katibu ya CCM uenezi, itikadi na mafunzo akimbiwa na watendaji waliowekwa kupitia uchaguzi ulioporwa wa mitaa na vijiji

Wazi inaonesha kuwa hitaji la katiba mpya ya nchi ndiyo itakuwa ufumbuzi wa kuweza kero za wananchi kutatuliwa ngazi ya vijiji, wilaya na mkoa badala ya kusubiri ziara za wageni kama Paul Makonda na watendaji wengine wenye makao yao Dodoma na Dar es Salaam....

Nikajua kitu Cha maana kumbe ni migogoro ya Ardhi.Migogoro ya Ardhi ni kama migogoro ya Ndoa haiwezi kuisha
 
Nikajua kitu Cha maana kumbe ni migogoro ya Ardhi.Migogoro ya Ardhi ni kama migogoro ya Ndoa haiwezi kuisha

Umiliki ardhi ambayo ndiyo mtaji mkubwa wa wananchi ndiyo tatizo.

Serikali haijaweza kuwamilikisha ardhi wananchi ili waweze kukabiliana na matapeli wapora ardhi ambao ni wana CCM

Wananchi wote wakipata haki miliki za ardhi ni nyenzo kamili ya kubambana na wanaopora au kuwahamisha wananchi kwa nguvu bila fidia stahiki


Katiba mpya inayompa mwananchi mmoja mmoja umiliki wa ardhi kisheria ni muhimu. Hili serikali ya CCM ngazi zote toka TAMISEMI hadi serikali kuu Dodoma imeshindwa.

Bado kuna matatizo mengi mengine kama maji safi n.k nayo CCM imefeli ...
 
19 January 2024
Bagamoyo, Pwani

PAUL MAKONDA AKUTANA NA UGUMU ULIOPITILIZA UNAOSHINDWA KUPATIWA UFUMBUZI NA MFUMO WA UTAWALA WA SERIKALI YA CCM


View: https://m.youtube.com/watch?v=om38fxu03Yc

Katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM Bw. Paul Makando leo hakuamini macho yake kuona jinsi ya mfumo wa seikali na chama dola kongwe CCM usivyosomana


Wananchi wadai toka mwaka 1984 hadi leo mwaka 2024 matatizo yao hayajapata ufumbuzi.

Ma DC wapya wanaletwa pamoja na wakurugenzi wa wilaya lakini wanaona kuwa wote wameshindwa kazi kutokana na kila miaka miwili mitatu wanaletewa viongozi wageni wasiofahamu changamoto zinazohitaji kutatuliwa na wateuliwa hao wa rais .

Vurugu zatokea na katibu ya CCM uenezi, itikadi na mafunzo akimbiwa na watendaji waliowekwa kupitia uchaguzi ulioporwa wa mitaa na vijiji

Wazi inaonesha kuwa hitaji la katiba mpya ya nchi ndiyo itakuwa ufumbuzi wa kuweza kero za wananchi kutatuliwa ngazi ya vijiji, wilaya na mkoa badala ya kusubiri ziara za wageni kama Paul Makonda na watendaji wengine wenye makao yao Dodoma na Dar es Salaam....

Katiba mpya hoyeee!!
 
Mtu kupata division 1,2 enzi zile kidato cha 4 huwezi kutilia shaka hali kadhalika mtu aliyepata 0 huwezi kumtilia shaka muda na mazingira akipewa nafasi vitajionyesha.
 
Wananchi nao wanamatatizo kwenye akili yao. Kwa hivyo wanategemea Makonda atafanya mabadiliko gani. Yani mtoa taarifa ana mamlaka gani kutatua mgogoro wa ardhi.
 
19 January 2024
Bagamoyo, Pwani

PAUL MAKONDA AKUTANA NA UGUMU ULIOPITILIZA UNAOSHINDWA KUPATIWA UFUMBUZI NA MFUMO WA UTAWALA WA SERIKALI YA CCM


View: https://m.youtube.com/watch?v=om38fxu03Yc

Katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM Bw. Paul Makando leo hakuamini macho yake kuona jinsi ya mfumo wa seikali na chama dola kongwe CCM usivyosomana


Wananchi wadai toka mwaka 1984 hadi leo mwaka 2024 matatizo yao hayajapata ufumbuzi. Wananchi waonesha mavazi na mashati yao yalivyo na viraka na matobo kama vile yameliwa na panya kutokana na kubakia ktk umasikini baada ya kuporwa ardhi na mazao yao ..

Ma DC wapya wanaletwa pamoja na wakurugenzi wa wilaya lakini wanaona kuwa wote wameshindwa kazi kutokana na kila miaka miwili mitatu wanaletewa viongozi wageni wasiofahamu changamoto zinazohitaji kutatuliwa na wateuliwa hao wa rais .

Vurugu zatokea na katibu ya CCM uenezi, itikadi na mafunzo akimbiwa na watendaji waliowekwa kupitia uchaguzi ulioporwa wa mitaa na vijiji

Wazi inaonesha kuwa hitaji la katiba mpya ya nchi ndiyo itakuwa ufumbuzi wa kuweza kero za wananchi kutatuliwa ngazi ya vijiji, wilaya na mkoa badala ya kusubiri ziara za wageni kama Paul Makonda na watendaji wengine wenye makao yao Dodoma na Dar es Salaam....

Mbona trela ndio kwanza sterling anapiga mswaki!
 
Wananchi nao wanamatatizo kwenye akili yao. Kwa hivyo wanategemea Makonda atafanya mabadiliko gani. Yani mtoa taarifa ana mamlaka gani kutatua mgogoro wa ardhi.

Nchi hii bila maandamano hakuna mabadiliko wala katiba mpya itakayoweka, mazingira ya kupatikana uhuru wa pili toka kwa mkoloni mweusi, haki na maendeleo ya kweli ya watu.
 
19 January 2024
Bagamoyo, Pwani

PAUL MAKONDA AKUTANA NA UGUMU ULIOPITILIZA UNAOSHINDWA KUPATIWA UFUMBUZI NA MFUMO WA UTAWALA WA SERIKALI YA CCM


View: https://m.youtube.com/watch?v=om38fxu03Yc

Katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM Bw. Paul Makando leo hakuamini macho yake kuona jinsi ya mfumo wa seikali na chama dola kongwe CCM usivyosomana


Wananchi wadai toka mwaka 1984 hadi leo mwaka 2024 matatizo yao hayajapata ufumbuzi. Wananchi waonesha mavazi na mashati yao yalivyo na viraka na matobo kama vile yameliwa na panya kutokana na kubakia ktk umasikini baada ya kuporwa ardhi na mazao yao ..

Ma DC wapya wanaletwa pamoja na wakurugenzi wa wilaya lakini wanaona kuwa wote wameshindwa kazi kutokana na kila miaka miwili mitatu wanaletewa viongozi wageni wasiofahamu changamoto zinazohitaji kutatuliwa na wateuliwa hao wa rais .

Vurugu zatokea na katibu ya CCM uenezi, itikadi na mafunzo akimbiwa na watendaji waliowekwa kupitia uchaguzi ulioporwa wa mitaa na vijiji

Wazi inaonesha kuwa hitaji la katiba mpya ya nchi ndiyo itakuwa ufumbuzi wa kuweza kero za wananchi kutatuliwa ngazi ya vijiji, wilaya na mkoa badala ya kusubiri ziara za wageni kama Paul Makonda na watendaji wengine wenye makao yao Dodoma na Dar es Salaam....

Wazee walilia bima ya Afya tegemezi ya watoto wao kufutwa na kumtaka Paul Makonda kumfikishia ujumbe mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania irejeshwe maana wazee hao sasa hawawezi kupata huduma za afya kupitia bima ya vijana wao ....

Wananchi pia walalamikia hukumu za Mahakama kupuuzwa na viongozi wa kata ya Mapinga Bagamoyo ...

Viongozi wanakimbia wananchi hawataki kabisa kuwahudumia wananchi ....

Ccm wanajitia aibu tu
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom