19 January 2024
Bagamoyo, Pwani
PAUL MAKONDA AKUTANA NA UGUMU ULIOPITILIZA UNAOSHINDWA KUPATIWA UFUMBUZI NA MFUMO WA UTAWALA WA SERIKALI YA CCM
View: https://m.youtube.com/watch?v=om38fxu03Yc
Katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM Bw. Paul Makando leo hakuamini macho yake kuona jinsi ya mfumo wa serikali na chama dola kongwe CCM usivyosomana
Wananchi wadai toka mwaka 1984 hadi leo mwaka 2024 takribani miaka 40, matatizo yao hayajapata ufumbuzi. Wananchi waonesha mavazi na mashati yao yalivyo na viraka na matobo kama vile yameliwa na panya kutokana na kubakia ktk lindi la umasikini baada ya kuporwa ardhi na mazao yao ..
Ma DC wapya wanaletwa pamoja na wakurugenzi wa wilaya lakini wanaona kuwa wote hao wameshindwa kazi kutokana na kila miaka miwili mitatu wanaletewa viongozi wageni wasiofahamu changamoto zinazohitaji kutatuliwa na wateuliwa hao wa rais .
Vurugu zatokea na katibu ya CCM uenezi, itikadi na mafunzo akimbiwa na watendaji waliowekwa kupitia uchaguzi ulioporwa wa mitaa na vijiji
Wazi inaonesha kuwa hitaji la katiba mpya ya nchi ndiyo itakuwa ufumbuzi wa kuweza kero za wananchi kutatuliwa ngazi ya vijiji, wilaya na mkoa badala ya kusubiri ziara za wageni kama kina Paul Makonda na watendaji wengine wenye makao yao huko Dodoma na Dar es Salaam....
Wazee walilia bima ya Afya tegemezi ya watoto wao kufutwa na kumtaka Paul Makonda kumfikishia ujumbe mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania irejeshwe maana wazee hao sasa hawawezi kupata huduma za afya kupitia bima ya vijana wao ....
Wananchi pia walalamikia hukumu za Mahakama kupuuzwa na viongozi wa kata ya Mapinga Bagamoyo ...
Viongozi wanakimbia wananchi hawataki kabisa kuwahudumia wananchi ....
Bagamoyo, Pwani
PAUL MAKONDA AKUTANA NA UGUMU ULIOPITILIZA UNAOSHINDWA KUPATIWA UFUMBUZI NA MFUMO WA UTAWALA WA SERIKALI YA CCM
View: https://m.youtube.com/watch?v=om38fxu03Yc
Katibu wa uenezi, itikadi na mafunzo wa CCM Bw. Paul Makando leo hakuamini macho yake kuona jinsi ya mfumo wa serikali na chama dola kongwe CCM usivyosomana
Wananchi wadai toka mwaka 1984 hadi leo mwaka 2024 takribani miaka 40, matatizo yao hayajapata ufumbuzi. Wananchi waonesha mavazi na mashati yao yalivyo na viraka na matobo kama vile yameliwa na panya kutokana na kubakia ktk lindi la umasikini baada ya kuporwa ardhi na mazao yao ..
Ma DC wapya wanaletwa pamoja na wakurugenzi wa wilaya lakini wanaona kuwa wote hao wameshindwa kazi kutokana na kila miaka miwili mitatu wanaletewa viongozi wageni wasiofahamu changamoto zinazohitaji kutatuliwa na wateuliwa hao wa rais .
Vurugu zatokea na katibu ya CCM uenezi, itikadi na mafunzo akimbiwa na watendaji waliowekwa kupitia uchaguzi ulioporwa wa mitaa na vijiji
Wazi inaonesha kuwa hitaji la katiba mpya ya nchi ndiyo itakuwa ufumbuzi wa kuweza kero za wananchi kutatuliwa ngazi ya vijiji, wilaya na mkoa badala ya kusubiri ziara za wageni kama kina Paul Makonda na watendaji wengine wenye makao yao huko Dodoma na Dar es Salaam....
Wazee walilia bima ya Afya tegemezi ya watoto wao kufutwa na kumtaka Paul Makonda kumfikishia ujumbe mwenyekiti wa CCM Taifa ambaye ni Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania irejeshwe maana wazee hao sasa hawawezi kupata huduma za afya kupitia bima ya vijana wao ....
Wananchi pia walalamikia hukumu za Mahakama kupuuzwa na viongozi wa kata ya Mapinga Bagamoyo ...
Viongozi wanakimbia wananchi hawataki kabisa kuwahudumia wananchi ....