Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

Ushuzi kwa kupumua harufu ya maharage yaliyooza sikuwezi ndugu
Uwezo wako wa kufikiri umefika kikomo? au mchepuko umekuchuna ukakusifia una Akili na ww kwa ujinga ukaona kweli una Ubongo wakati umejaza kamasi tupu kama Le mutuz, tambua kuwa ID ya JF huwa haijadiliwi na endapo wana JF wakianza kuzijadili ID za kila mtu jukwaa la JF litaharibika mfano ID yako SHEIZA kwa kusukuma ni tendo la jinsia moja na Ushuzi upo tumboni mwako umekitia njaa ukala magarage sasa umeenda kupeleka njaa kwa Bashite upate pesa ya kununua nyama acha kujitoa fahamu tambua kuwa ID za JF si majina ya ubatizo toka kanisani na msikitini, jioengeze maana upeo wako naona ni Bashite tupu.
 
Aliyekuambia kuwa ukiombewa ' laana ' ni lazima ikupate siku hiyo hiyo ni nani? Miswahili bhana!!!!!!
Usijitoe akili,mzee wa upako alisema waandishi waliomuandika vibaya wangekufa kabla ya mwezi wa nne, mbona hawajafa? Pia kumbuka Mungu si mpumbavu wa kufuata ushauri wa Gwajima,kwani Gwajima ni nani?
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
na ni mpuuzi kwelikweli sio mzaha.
 
Ushuzi kwa kupumua harufu ya maharage yaliyooza sikuwezi ndugu
Mie nina PhD ya matusi nikiamua kukutusi utakosa raha mpaka ushindwe kumpikia chakula mmeo mtagombana upewe talaka ukawe beki 3 nyumbani kwa Bashite
 
Uwezo wako wa kufikiri umefika kikomo? au mchepuko umekuchuna ukakusifia una Akili na ww kwa ujinga ukaona kweli una Ubongo wakati umejaza kamasi tupu kama Le mutuz, tambua kuwa ID ya JF huwa haijadiliwi na endapo wana JF wakianza kuzijadili ID za kila mtu jukwaa la JF litaharibika mfano ID yako SHEIZA kwa kusukuma ni tendo la jinsia moja na Ushuzi upo tumboni mwako umekitia njaa ukala magarage sasa umeenda kupeleka njaa kwa Bashite upate pesa ya kununua nyama acha kujitoa fahamu tambua kuwa ID za JF si majina ya ubatizo toka kanisani na msikitini, jioengeze maana upeo wako naona ni Bashite tupu.
Bado una safari ndefu..jitathmini..nadhani we ni mmoja wa vizazi vya bongo movie vilivyoingia jf hivi karibuni..au sio??
 
Mie nina PhD ya matusi nikiamua kukutusi utakosa raha mpaka ushindwe kumpikia chakula mmeo mtagombana upewe talaka ukawe beki 3 nyumbani kwa Bashite
Bahati mbaya mi sijui kutukana..kisha neno matusi hadi nilishalisahau..we tukana labda utanikumbusha matusi yakoje
 
Bado una safari ndefu..jitathmini..nadhani we ni mmoja wa vizazi vya bongo movie vilivyoingia jf hivi karibuni..au sio??
Ninekuuliza swali kuwa uwezo wako wa kufikiri umefika mwisho? Mbona haukujibu? ina maana umekubali ww Akili zako ni fintyu kama Le mutuz na kama ndiyo Bashite anawategemea kumteatea huku JF kabugi sana mtakula pesa zake bure na mtashindwa kumtetea mwishoe mtakuja kudaiwa na kushindwa kulipa na kuplewa ndoa ingine ya jinsia moja kufidia deni, makonda Bashite atafute watetezi wa maana wa kutuumiza vichwa lakini hawa watetzi uchwara wanatupotezea mda.
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Ina maana wewe unamuona Bashite ni mzima kichwani?
 
Bahati mbaya mi sijui kutukana..kisha neno matusi hadi nilishalisahau..we tukana labda utanikumbusha matusi yakoje
Tuache tujadili mambo ya maana usitutoe kwenye njia kama Le mutuz hajakuletea posho kamsake masaki kwenye bar utamkuta pesa zenu zote kalipwa na Bashite.
 
Hii sinema ya Bashite iliyobumburuka ni sehemu ya laana.
2b59652049bf63ebbaf4fbb7f5003448.jpg
 
Tuache tujadili mambo ya maana usitutoe kwenye njia kama Le mutuz hajakuletea posho kamsake masaki kwenye bar utamkuta pesa zenu zote kalipwa na Bashite.
Hivi we ni me au ke au meke..nisije nikajikuta naongea na delicious hapa..??maana hizo kauli haziwezi kuwa za me..
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Akili zako hata hazifikiri vyema. Unadhani MAKONDA anapovaa vinguo vya kumbana makalio ni mapenzi yake?
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Bwahaha! Haki ya nani hizi episode za hawa watu ukiandika kitabu utatajirika walahi! Na za yule mwingine Nsekelo kwenda kwa wanahabari
 
Tangu Bashite amguse Gwajima mpk Leo missions zake zote zimefeli kuanzia ile issue ya mtoto, ambush ya clouds, kiki ya Roma, nk.
Na badoooo...
 
Nyie wanafiki mbona nimesikia walitekwa na vijana wa chama fulani chenye alama ya11
 
Back
Top Bottom