Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Hao uliowataja wote wapuuzi
 
Ndio kazi ya viongozi wa Dini, kama wewe ni mkristo utakuwa unajua kazi za watu hawa, Nabii Eliya dhidi ya utawala wa yeroboam na wenzake, Nabii Daniel dhidi ya utawala wa Mfalme nebkadneza wa babeli, Nabii Yohana wa ufunuo dhidi ya utawala mkatili uliokithiri maovu na uonevu wa Dola ya Rumi n.k, Kazi ya kiongozi wa Dini ni kukemea maovu popte yanapoyokea kwa nguvu zote hata kama ni serikali ambayo watawala huwa wanaipenda.

Ndio maana tunawashangaa viongozi wengine wengi wa dini wanaonyamazia unyama huu, tunajiuliza wanafundisha neno la Mungu lipi? Kwa maslahi ya nani??
Juzi humu tumewashambulia sana viongozi wa katoliki kwa kutochukua hatu ya kukemea kama kanisa.
Gwajima ni wa kuungwa mkono na kila mpenda haki na sio kumwita mpuuzi.
Mifano unayoitoa iko tofauti na anachokifanya Gwajima, kwanza ieleweke hapa Gwajima sio Nabii..
Hao manabii uliowataja na mifano yao hawakuzikemea serikali hizo baada ya ya wao kutuhumiwa ktk maovu japo kwa uonevu kama alivoonewa Gwajima, walithubutu kabla hawajatuhumiwa..
Anachokifanya Gwajima ni kisasi dhidi ya Makonda na sio Serikali..
Ndio maana anamsifia Mkulu na kutangaza kumsapoti lakn anamuattack Makonda... Huyu anachuki tu na sio uzalendo

Rejea chuki kama hiyo dhidi ya Dr.W.Slaa..

Hawezi kuwa Nabii kwa kutangaza aibu za mahasimu wake wanapogusa maslahi yake...

Mimi namsapoti Mange aliyeibua hoja hii na sio Mpuuzi Gwajima anayekuza matatizo kwa maslahi yake binafsi..
 
Kama huoni tatizo kwa Makonda basi we na wewe una tatizo! So desperate
 
Ndio kazi ya viongozi wa Dini, kama wewe ni mkristo utakuwa unajua kazi za watu hawa, Nabii Eliya dhidi ya utawala wa yeroboam na wenzake, Nabii Daniel dhidi ya utawala wa Mfalme nebkadneza wa babeli, Nabii Yohana wa ufunuo dhidi ya utawala mkatili uliokithiri maovu na uonevu wa Dola ya Rumi n.k, Kazi ya kiongozi wa Dini ni kukemea maovu popte yanapoyokea kwa nguvu zote hata kama ni serikali ambayo watawala huwa wanaipenda.

Ndio maana tunawashangaa viongozi wengine wengi wa dini wanaonyamazia unyama huu, tunajiuliza wanafundisha neno la Mungu lipi? Kwa maslahi ya nani??
Juzi humu tumewashambulia sana viongozi wa katoliki kwa kutochukua hatu ya kukemea kama kanisa.
Gwajima ni wa kuungwa mkono na kila mpenda haki na sio kumwita mpuuzi.

Sio wapenda haki sema wazee wa ngada
 
Kama huoni tatizo kwa Makonda basi we na wewe una tatizo! So desperate
Mliambiwa mahubiri ya kimipasho ya wapuuzi kama Gwajima yanaweza kubadirisha Tabia mbaya ya mtu?.
 
Sawa bwana kwa kuwa umesimamia msimamo huo endelea.
Dr Slaa alijichanganya mwenyewe,siwezi hata kumtetea kwa lolote, akafie mbele huko
Mifano unayoitoa iko tofauti na anachokifanya Gwajima, kwanza ieleweke hapa Gwajima sio Nabii..
Hao manabii uliowataja na mifano yao hawakuzikemea serikali hizo baada ya ya wao kutuhumiwa ktk maovu japo kwa uonevu kama alivoonewa Gwajima, walithubutu kabla hawajatuhumiwa..
Anachokifanya Gwajima ni kisasi dhidi ya Makonda na sio Serikali..
Ndio maana anamsifia Mkulu na kutangaza kumsapoti lakn anamuattack Makonda... Huyu anachuki tu na sio uzalendo

Rejea chuki kama hiyo dhidi ya Dr.W.Slaa..

Hawezi kuwa Nabii kwa kutangaza aibu za mahasimu wake wanapogusa maslahi yake...

Mimi namsapoti Mange aliyeibua hoja hii na sio Mpuuzi Gwajima anayekuza matatizo kwa maslahi yake binafsi..
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Kichwa maji utamjua tu, ungekaa kimya walau ungeficha ujinga wako!
 
Sio wapenda haki sema wazee wa ngada
Wazee wa ngada kivipi? Imethibitika bila chembe ya shaka kuwa Gwajima hajihusishi na biashara hiyo.
Kamishna wa kupambana na madawa Rogers Sianga kasema kuwa mpaka sasa haijathibitika na wala hawajaona dalili zozote za mwabasiasa anayejihusisha na ngada....haya yote yanapotokea ni dhahiri tutapoteza imani na viongozi kama hawa kwani nia yao ni chafu kutaka kuchonganisha viongozi wa kisiasa na dini dhidi ya wafuasi wao.
Siraha pekee iliyobaki kwa ccm kujitetea ni kwa kila anaepinga udhalimu anairltwa muuza ngada....hii mbinu ishafeli tafuteni nyingine.
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Laana huja slow slow mfano kitendo cha kuropoka pasipo kujijua kuwa Roma atapatikana kabla ya jumapili ni Laana kubwa, pia tambua kuwa magufuli anaogopa kumtumbua jipu kwa kuwa wana siri nyingi hasa kwenye 10% ununuzi wa ndege kwa cash ambapo GSM husimama kama dalali, pia anaunda kikundi cha kutisha watu na mkuu wake atakuwa Bashite Daud a.k.a Maliyamungu ndipo atamteua RC mpya hataki kumwacha Bashite bila ulinzi maana anasubiriwa kwa hamu na wengi hususani wale aliowabambikia kesi na kuwapora magari.
 
Mliambiwa mahubiri ya kimipasho ya wapuuzi kama Gwajima yanaweza kubadirisha Tabia mbaya ya mtu?.
Mipasho ndo mpango mzima, we uliambiwa mipasho kwenye hotuba inaleta maendeleo?
 
Mliambiwa mahubiri ya kimipasho ya wapuuzi kama Gwajima yanaweza kubadirisha Tabia mbaya ya mtu?.
Mbona watu wanafurika kwenda kumsikiliza? Bila Gwajma watu wasingejua kuwa Bashite ni kihiyo na kwao ni kolomije ukubali ukatae mahubili ya Gwajma huwatia hofu wasukuma wawili wanaoendesha nchi kidikteta
 
Wabebaji na wala Ngada,povu linakutokeni.
Ngala ipi? Muuza ngala mkubwa ni boss wako Daud Bashite ilie ngala yote aliyokamata kaiweka kwake anauza South Africa na china, mtafutie wateja ana unga wa kutosha
 
Mipasho ndo mpango mzima, we uliambiwa mipasho kwenye hotuba inaleta maendeleo?
Yeye na nyinyi misukule wake,mipasho yenu imesaisaidia nini.Makonda bado ni Mkuu wa Mkoa na bado anawepelekesheni kweli kweli.Waandishi wa habari walimuadhimia Kususia shughuli zake zote,na kutomuandika popote.Ajabu ni kwamba washaanza kujichanganya na kujipeleka wenyewe kwake.
 
Mleta uzi unavyomuona Bashite kwamba bado yupo Ok then unafurahi kwamba Sala za Gwajima hazijafanya kazi unakuwa unajidanganya...
Mungu atatoa hukumu yake wakati ufaao...
Bashite ameliza machozi watanzania wengi na Kilio chao kwa hakika Mungu amekisikia.
Makonda mpaka leo hana mtoto hata wa kusingiziwa hiyo pia ni laana na bado laana zinakuja mfano kwa sasa habari zake haziandikwi kwenye gazeti mpaka atoe rushwa kwa wahariri na waandishi kama alivyofanya kule Dodoma.
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Hata wewe una laana za Gwajima ndo maana hadi leo umaangaika kumsafisha makonda
 
Laana gani aliyonayo yule mzinzi labda tuseme kuwa laana ya Ema Mbasha ndio imempada!.
 
Mchungaji gani anaombea watu laana? Huyu mchungaji bhana...
 
Back
Top Bottom