Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

Hata kila analofanya kupingwa na watu ni ishara ya laana.

Wewe mtu anajitokeza kuahidi atahakikisha roma anapatikana alafu wanaomtafuta roma wanamgeuzia kibao yeye unadhani ni jambo dogo?
Mwenzenu kabarikiwa, Ana mali za kutosha, nyie ndo mna laana hamfanikiwi kwa chochote kazi umbea tu insta na jf
 
Hata kila analofanya kupingwa na watu ni ishara ya laana.

Wewe mtu anajitokeza kuahidi atahakikisha roma anapatikana alafu wanaomtafuta roma wanamgeuzia kibao yeye unadhani ni jambo dogo?
Watu wenyewe nyie wajaanzuta mliokosa kazi mxieee
 
Mleta uzi unavyomuona Bashite kwamba bado yupo Ok then unafurahi kwamba Sala za Gwajima hazijafanya kazi unakuwa unajidanganya...
Mungu atatoa hukumu yake wakati ufaao...
Bashite ameliza machozi watanzania wengi na Kilio chao kwa hakika Mungu amekisikia.
Fact, yule jamaaa familia nyingi zinalia kwa ajili yake
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
mkuu, Bashite siku hizi amemyutiwa. hasikiki. kimyaaa. ndo laana zenyewe zimeanza. nyingine zaja bado mkuu.
 
Mifano unayoitoa iko tofauti na anachokifanya Gwajima, kwanza ieleweke hapa Gwajima sio Nabii..
Hao manabii uliowataja na mifano yao hawakuzikemea serikali hizo baada ya ya wao kutuhumiwa ktk maovu japo kwa uonevu kama alivoonewa Gwajima, walithubutu kabla hawajatuhumiwa..
Anachokifanya Gwajima ni kisasi dhidi ya Makonda na sio Serikali..
Ndio maana anamsifia Mkulu na kutangaza kumsapoti lakn anamuattack Makonda... Huyu anachuki tu na sio uzalendo

Rejea chuki kama hiyo dhidi ya Dr.W.Slaa..

Hawezi kuwa Nabii kwa kutangaza aibu za mahasimu wake wanapogusa maslahi yake...

Mimi namsapoti Mange aliyeibua hoja hii na sio Mpuuzi Gwajima anayekuza matatizo kwa maslahi yake binafsi..
Kwa jinsi jamaa alivyokuelekeza na bado hutaki kuelewa basi we ni bure, unataka nabii ndo aje kukemea hayo? Lkn c gwajima alikemeaga Escrow au we unatokea lilongwe?
 
Kwa jinsi jamaa alivyokuelekeza na bado hutaki kuelewa basi we ni bure, unataka nabii ndo aje kukemea hayo? Lkn c gwajima alikemeaga Escrow au we unatokea lilongwe?
Kama umeshindwa kunielewa ktk hiyo post uliyoniquote utakuwa umefikia pahala pabaya sana..!!!
 
Muulize kwnn alikuja kanisani kwetu analia kutafuta msaada!
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Mchungaji mhuni anayehisi anatakiwa kuitwa mtukufu
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Hana uwezo wa kumlaani mtu huyo ni makelele ya chura tu.
 
Back
Top Bottom