Hivi ukiombewa na Mzinzi wa kuzaa na wake za watu kama F.Mbasha na mwanamke aliyemuita kichaa laana itakupata kweli? Gwajima mzinzi kuwahi kutokea Duniani, Gwajima ni fuska, Gwajima ni muongo kuwahi kutokea, Gwajima ni kilaza mkubwa, Gwajima ni mwehu na mtukanaji, alimtukana Pengo na sisi Rc hatutaki hata kumsikia. Gwajima ni SHETANI.Aliyekuambia kuwa ukiombewa ' laana ' ni lazima ikupate siku hiyo hiyo ni nani? Miswahili bhana!!!!!!
Mpuuzi na uhuni si maneno staha...Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
FactGwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Weka na picha ya baba yako tuioneCheki ikibinda ( wowo) kilivyotuna ni laana hiyo
Halafu haohao wanaodai kuwa wapambanaji wa ngada wanakutwa wamejimilikisha mali za wauza ngada. hiyo ndio CCJWazee wa ngada kivipi? Imethibitika bila chembe ya shaka kuwa Gwajima hajihusishi na biashara hiyo.
Kamishna wa kupambana na madawa Rogers Sianga kasema kuwa mpaka sasa haijathibitika na wala hawajaona dalili zozote za mwabasiasa anayejihusisha na ngada....haya yote yanapotokea ni dhahiri tutapoteza imani na viongozi kama hawa kwani nia yao ni chafu kutaka kuchonganisha viongozi wa kisiasa na dini dhidi ya wafuasi wao.
Siraha pekee iliyobaki kwa ccm kujitetea ni kwa kila anaepinga udhalimu anairltwa muuza ngada....hii mbinu ishafeli tafuteni nyingine.
Nyie shida yenu nini, si msubili movie mpya ya Bashite!!!Eti unasikia mijitu humu inasema inawahi siti ya mbele. Yani wanaume wa Dar umbea ni zaidi ya wanawake. Watapakatwa sana mwaka huu
Laana ni haya yanayotokea sasaGwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Hata Wewe unamwamini Gwajima[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]Aliyekuambia kuwa ukiombewa ' laana ' ni lazima ikupate siku hiyo hiyo ni nani? Miswahili bhana!!!!!!
Wewe unaliona dishi la Bashite liko sawa.Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
huoni siku hizi amekuwa na mpododo kama wa MASOGANGE?
Point yangu sio yeye kuhusika na madawa ya kulevya, wala sikubaliani na matendo ya uonevu ya serikali dhidi ya raia wake, hoja yangu Mpuuzi Gwajima kutumia neno la Mungu kwa kuwaattack mahasimu wake, na hali yeye na Mungu ni vitu mbali..
Eti unasikia mijitu humu inasema inawahi siti ya mbele. Yani wanaume wa Dar umbea ni zaidi ya wanawake. Watapakatwa sana mwaka huu
Gwajima mlevi tu mbwa huyoGwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Na wewe na wazimu wako una amini gwajima ana uwezo wa kulaani mtu? Achilia mbali mbuzi? Wewe kweli mbwa kasoro mkiaAliyekuambia kuwa ukiombewa ' laana ' ni lazima ikupate siku hiyo hiyo ni nani? Miswahili bhana!!!!!!