Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

Zi wapi laana za Gwajima kwa Makonda?

Ukiacha 'point' ya vyeti fake aliyoidandia toka kwa mwanadada Mange Kimambi, Gwajima ni mpuuzi wa kupuuzwa kwa kitu, hana cha utumishi wa Mungu wala utukufu wowote, ngao kubwa kwake ni personal attacking anayoitumia kwa mahasimu wake kujikweza..
Na baadhi watanzania walivyowajinga wanamchukulia kama ndiye Yesu mwenyewe ktk ujinga wake..!!
Hivi kati yako wewe na Gwajima nani hana kitu? Itisha leo hapa press conference uone kama kuna mtu anakufahamu nguchiro wa kaskazini.

Kwa kifupi hakuna anayemchukulia Gwajima kama Yesu zaidi ya ujinga wako na kukosa staha. Mange na Gwajima wote ni manabii, shika adabu.

Hatupendi kelele, tunapenda vyeti! Onesha vyeti
 
Mleta uzi unavyomuona Bashite kwamba bado yupo Ok then unafurahi kwamba Sala za Gwajima hazijafanya kazi unakuwa unajidanganya...
Mungu atatoa hukumu yake wakati ufaao...
Bashite ameliza machozi watanzania wengi na Kilio chao kwa hakika Mungu amekisikia.
Wanacholilia nn na wamelizwaje sababu
 
Kwani laana manake nini? unataka laana gani zaidi ya hii aliyopata? Hivi mpaka watoto wa nursery, primary, mitaani, kila mtu anaimba bashitee na 000000 unataka laana gani? Adhabu alonayo ni zaidi ya laana kwa sababu anafeel lakini ungekuwa kichaaa asingefeel kwa kuwa mwili hutolewa kwa shetan lakini roho huokolewa.
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Mleta mada ujue we no boya sana
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
muite mhuni mamaako
 
EHE MWENYEZI MUNGU WAPE WATANZANIA ROHO YA UELEWA NA UTAMBUZI,! NAJUA BABA WENGI WALIKOSA ELIMU YA KUJIAMINI NA KUKOSA MSINGI IMARA WA KUJIKUBALI! EHE BABA WAPE ROHO YA HEKIMA NA BUSARA! BABA UKWELI WANA ROHO ZA KUPENDA USHABIKI,KUFATA MKUMBO,UMBEA,KUTOCHAMBUA MADA,KIUFUPI WENGI NI BENDERA FATA UPEPO! NI ROHO TU IZO BABA!, ZITOE BABA!DEAR GOD WAPE UWEZO NA UPEO WA KIMAWAZO JAPOKUWA ELIMU YAO NDO CHANZO CHOTE ILA WAEZA BABA! BABA WAUMBIE AKILI MPYA WAPE UWEZO MPYA! FUNGUA ROHO ZA TAMBUZI KWAO BABA! NAJUA NI KAMA TOO LATE MANAKE WENGI WAO NI MENTALLY DISORDERED,THEIR OBLANGATA ALREADY BRAIN- PICKERS/BRAIN TRUST/BRAIN-PAN/BRAIN FLAGs!BRAIN WASHED! BRAIN FLOATED! BRAIN ZOOMBIES! ILA WEWE WAEZA BABA! AMEN!

Nafikiri kuna tatizo ktk brain yako!
 
Aliyekuambia kuwa ukiombewa ' laana ' ni lazima ikupate siku hiyo hiyo ni nani? Miswahili bhana!!!!!!
Kama aliyeomba laana mwenyewe ana laana hakuna laana hapo .tapeli Gwajima hana uwezo wa kumlaani hata paka.
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Sasa kwani huoni kuwa Makonda yuko likizo ya lazima ya kimya kimya?
 
EHE MWENYEZI MUNGU WAPE WATANZANIA ROHO YA UELEWA NA UTAMBUZI,! NAJUA BABA WENGI WALIKOSA ELIMU YA KUJIAMINI NA KUKOSA MSINGI IMARA WA KUJIKUBALI! EHE BABA WAPE ROHO YA HEKIMA NA BUSARA! BABA UKWELI WANA ROHO ZA KUPENDA USHABIKI,KUFATA MKUMBO,UMBEA,KUTOCHAMBUA MADA,KIUFUPI WENGI NI BENDERA FATA UPEPO! NI ROHO TU IZO BABA!, ZITOE BABA!DEAR GOD WAPE UWEZO NA UPEO WA KIMAWAZO JAPOKUWA ELIMU YAO NDO CHANZO CHOTE ILA WAEZA BABA! BABA WAUMBIE AKILI MPYA WAPE UWEZO MPYA! FUNGUA ROHO ZA TAMBUZI KWAO BABA! NAJUA NI KAMA TOO LATE MANAKE WENGI WAO NI MENTALLY DISORDERED,THEIR OBLANGATA ALREADY BRAIN- PICKERS/BRAIN TRUST/BRAIN-PAN/BRAIN FLAGs!BRAIN WASHED! BRAIN FLOATED! BRAIN ZOOMBIES! ILA WEWE WAEZA BABA! AMEN!
WATANZANIA, Is your kin Included?
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Kwani ww unafikiri lana inaformular ... inakuja staili yoyote ile ... na kadiri siku zinavyokwenda unashika kasi.

Kama dalili huzio naomba nikuonyeshe

Huoni kua kila mkakati anaofanya makonda unafeli na una backfire vibaya na mchongo woote unaharibika na inakua ni aibu kwa Taifa zima.

Hiyo ni laana, kwa taarifa yako ukishirikiana na mtu mwenye lana, matendo yake ya laana na wewe pia yanakudhuru ndio maana unaona Magu anadhurika na laana ya makonda, hapendwi tena kama alivyoingia kila kitu sifa yake sasa imeingua kutu.

Na kadri siku zinavyozidi kwenda na yeye laana ndio inakomaa

Alikua Rafiki mkubwa wa Clouds FM, lakini leo ni maadui, wala hathubutu tena kukanyaga pale, licha ya kujaribu kurudisha mahusiano ... hiyo yoote ni laana na itafikia anapoteza marafiki wooooote mpaka magu mwenyewe ayamtosa

Kavuruga mkutano wa Nape kwa kuoata support ya aliemteua, matokeo yake katengeneza ufa katika chama na kasababisha uhasama na wala asifanikiwe lengo lake mkutano ulafanyika leo tunasikia meeengi sasa sababu ni yeye ... hiyo ni laana inamtafuna

Angalia kamshirikisha Dai leo Dai anaambulia matusi matupu, wakati ilifikia Dai akitoa singo inakua gumzo nchi nzima ... hiyo ni laana

Katengeneza mchongo wa kuwateka kina roma ili ajipe kiki kwa kuonekana ni mtetezi, sinema imebuma taifa linamnyooshea kidole sasa .... hiyo yoote ni laana

Sasa Taifa linamnyooshea kidole kuhusu Ben Saanane ... ipo siku laana itachukua mkondo wake katika hili ...

Mwisho wa siku atageuka kituko, na atakua hana thamani hata ya kipande cha muhogo ... kama alivyo Lyayinga Mrema wa leo na Miaka ile ya 90
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Laana itoke wapi na kwa utakatifu na upako gani alionao? Uaskofu wa kujipa tu mwenyewe !!
 
We chizi kweli nani aliekwambia laana zinamfikia mtu siku io io au kesho yake zitamtafuna taratibu kwani huoni laana ya warioba inavyomfanya chizi
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Sasa mpuuz nan??mbona kichwa chako kimejaa mifupa tu af akil kdogo? Kwa hyo gwajima kusema huozo wa bashite amekosea??alitaka wa tz tujue hali ngum ya sasa inasababishwa na viongoz wabov na wasiokua na vyet tulonao sasa..mh naanza kupata was was na uelewa wako!!
 
Gwajima alimsalia sala maalum,Mkuu wa mkoa,Paul Makonda,.Ni dhahiri sala zake na Laana hizo zililenga,Makonda aharibikiwe,kwa kufukuzwa kazi na aliyemuajiri.Pongezi zimuendee mheshimiwa Rais,asiyejaribiwa wala kupangiwa na wapuuzi kama huyu muhuni anayejiita Mchungaji.
Kwa mini unasema Gwajima? Makonda amelaaniwa na kila RAIA mwema kwa kutumia mbinu chafu kupewa madaraka! Kwa kutaja machache tu; Makonda alivuruga mdahalo wa kupata katiba mpya kwa kumfanyia fujo mzee Warioba. Lakini pia, tumeshuhudia Makonda akija na kampeini ya kuwalinda na kuwaficha mapapa wa kuingiza nchini madawa ya kulevya.
 
Back
Top Bottom