Kama unajua sheria then utakubaliana na mimi asilimia 100% kwamba hakuna kesi ya kumfunga hapo. Kama angekuwa raia wa Tanzania mngeweza kumsweka ndani. Lakini huyu jamaa kama ni raia wa UK, kwanza lazima mjiulize ni jurisdiction gani itatumika, Tanzania au UK. Na tangu lini UK wakatuma raia wao Tanzania ili aje ashitakiwe?
Kingine, sidhani kama Tanzania kuna cyber act yoyote. Kama wazee wao wameongea na kukubaliana kwamba mlete Tanzania kijana kisha tutaongea nae, then hii ni kesi nyingine.
Mwisho sidhani kama zeutamu alikuwa guru. Alichokifanya ni kuwatumia washikaji zake wa US ili kulipia host hapa, na host alikuwa Houston na namba walizo register zilikuwa ni za san Diego. Na address ya Host ilikuwa ni Gessner, each means ni small host. Waliogopa kutumia watu kama Yahoo au Goo Daddy sababu ya policy..... Other than that i wish afungwe maisha maana alichokuwa anafanya ni sawa na SHINGONGO nae ana diserv LIFE JAIL TIME.