Wadau, nitarudisha ile posti ya Ze Utambu Blogger kudakwa, mara ikithibitishwa kuwa ni kweli. Kama nilivyosema, nilitumiwa hiyo habari kwenye e-mail. Baada ya kuitazama vizuri zikuona 'accredited source'. Kwa sasa hebu ona macho yalivyo kwetu na hiyo suala ya Ze Utamu.
Ila kama ni kweli kuwa jamaa wa Ze Utamu wamekamatwa basi lazima niseme, serikali wamefanya kazi.
- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,
- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.
- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.
- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.
Ahsante Sana Wakuu.
William. - Community Organizer (CO)
Exactly.Ndio maana kuna umuhimu wa BREAKING NEWS kuonyesha bayana chanzo chake ni wapi!Mkuu William ahsante kwa kutupa taarifa ya ufafanuzi, ambayo inatuwezesha wengine kuunganisha dots.. taarifa ilisema mhusika ameshaletwa Bongo, na hii inasema kuwa anaendesha gari kutoka Birmingham na hajawahi kuwa contacted na authority yeyote regarding the issue. Inaonyesha tunajaribu kufuatilia hearsays, ????????
Kuna maelezo yoyote kuhusu bold in red mkuu?
So far,chanzo pekee cha habari hii ni Chemi Chemponda na Blogu yake ya Swahilitime.Na sasa ame-update tetesi hizo kwa maneno yafuatayo:
Na kwa jinsi watu wanavyopenda breaking news,TETESI ZINAZOJIFICHA KWENYE JINA LA BREAKING NEWS zimekuwa bonge la ishu.I hope huyo Mr Lusinde,kama hajakamatwa,atatoa fundisho kwa the Chemis wanaohangaika na breaking news.
Na kwa kuweka rekodi sahihi: Uingereza kama nchi haiwezi kukurupuka kumpeleka huyo mtu Tanzania akashtakiwe hadi pale itakaporidhika kuwa atatendewa haki.Na kwa asiyefahamu sheria za uhamiaji za nchi hii,hiyo ni process inayoweza kuchukua hata miaka miwili na ushee.Kama watuhumiwa wa ugaidi hawarejeshwi makwao KIHOLELA kwa vile nchi hizo zina rekodi chafu ya haki za binadamu,kwanini huyu "aliyepitiliza tu uhuru wake wa kutoa mawazo" arejeshwe TZ?
Let's be realistic,hivi tofauti kati ya zeutamu na magazeti ya Shigongo ni ipi?Au kwa vile Shigongo ameamua ku-institutionalize uchafu wake in the form of magazeti pendwa as he calls them?Na zaidi ya hapo,while two wrongs do not make a right,kwanini hizi resources za kumtafuta zeutamu kwa vile tu aliweka picha ya mtu anayefanana na JK (na wakitia timu mahakamani jamaa anaweza kushinda kwa utetezi kuwa hakuna mahala palipoandikwa jina la JK) zisielekezwe pia kumsaka yule jamaa aliyetuuzia rada feki au wamiliki wa Kagoda?
Exactly.Ndio maana kuna umuhimu wa BREAKING NEWS kuonyesha bayana chanzo chake ni wapi!
Invisible,nashauri ihamishiwe kwenye TETESI.
- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,
- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.
- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.
- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.
Ahsante Sana Wakuu.
William. - Community Organizer (CO)
Ngojeni kwanza wajameni! Yaani bw. William kaja hapa kasema kwamba tumdhaniye ndiye kumbe siye, basi tunaamua kumwamini huyu bwana na kwenda majumbani kulala? Mkesha umekwisha!
Huyu bwana ni nguguye na huyo tuliyemkeshea toka jana. Alosema lilikuwa latabirika kabisa kutoka kwake. Je ni vipi kama akiwa ametumwa kuja kutuambia tukalale ingali "wazee" wanafanya utaratibu wa kuzima mambo?
Ngoja nijisemee ukweli miye. Kwa jinsi Invisible alivyokuja kwenye hii ishu ni lazima atakuwa anajua ukweli. Na ukisoma kwa makini maandishi ya huyu roboti, utaona kwamba yale maandishi yanamwelemea huyu tuliyemkeshea.
Sasa tujiulize - nani anasema ulongo hapa?
1.William anaweza kusema ukweli, usim "misunderestimate"
2.I suspect serikali ya Tanzania iliiomba tu serikali ya Uingereza kuisaidia kumtafuta huyu bwana.Kwa vile sasa hivi with terrorism and all serikali za magharibi zinakuwa very eager ku cooperate, hasa kwa kesi kama hizi, hapa serikali ya Uingereza imeshaifanyia favor serikali ya Tanzania basically kwa kum order ISP tu afanye tracking na kuangalia malipo ya credit card, ambayo huyu bwana alikuwa majununi kalagabaho kiasi cha kutumia credit card zake mwenyewe na kuacha a paper trail that is longer than the Nile.Kwa hiyo inawezekana kwamba kuna ki effort cha ufuatiliaji kimetumiwa lakini sioni kama kumfuatilia mtu kwa ISP na kutrack credit card kutatumia hela nyingi.
Bottom line, tusitake kutumia kesi kubwa za mafisadi ku excuse hizi tabia chafu.Ningependa kuona watu wakiipa pressure serikali kwamba kumbe ikiamua kufuatilia vitu inaweza, kwa nini isifuatilie maswala ya EPA na ubadhirifu mkubwa mwingine?
Ukoo huu umeutaka URAIS wa Nchi hii kwa UDI na UVUMBA tangu mwaka 1995. Nadhani kijana wao huyu hajaridhika na kuukosa Urais kwenye ukoo wao. Njia hii anayotumia sasa ndio inaelekea kumliwaza kidogo ingawa itakuwa imemuumiza sana Mzee wetu JSM.
- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,
- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.
- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.
- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.
Ahsante Sana Wakuu.
William. - Community Organizer (CO)
Kama imewahi tokea kwamba MPLusinde aliwahi kuchangia ZeUtamu then he deserve to be behind bars as he is one of the fucked up shits who were stupid enough to think that they are not visible
Just curous how WILLIAM and sauti ya mbao wataishia wapi kila kitu kikipoa
- Wakuu kumekuwa na tetesi ya hii habari kwa muda sasa, na hasa wiki iliyopita toka Jumapili nimejaribu sana kufuatilia kwa makini sana hii ishu kwa kujadiliana na wananchi mbali mbali wanaoifahamu, na ni muda mfupi tu uliopita nimeongea na mwenyewe mhusika akiwa akiwa anaendesha gari barabarani akitokea Birmingham kwenda nyumbani kwake,
- Na as a man na pia kama ndugu, nikamuuliza swali moja tu is it true or not, akanijibu kwamba he has absolutely nothing to do with it, na kwamba never katika anytime kuna yoyote kutoka kwenye authorities either ya Tanzania au ya UK amewahi kumuuliza anything on the ishu, sasa kama ndugu I take him at his word kwamba he is telling the truth and nothing but the whole truth.
- Nimeamua kuongea kama bina-adam, tena against ushauri wa wengi sana kwamba I should stay out of this mess, my heart goes kwa the victims wa hiyo kitu ambayo kwangu hata kuitaja nasikia chills mwilini kutokana na habari nyingi mbaya sana nilizowahi kuzisikia, binafsi nimewahi kuichungulia mara mbili tu, kwanza walipodhalilishwa marafiki wa karibu sana na familia yangu, na pili alipodhalilishwa Mheshimiwa rais, na ninamshukuru sana Mwenyezi Mungu kwa kuweza kufanikisha kuondolewa kabisa kwa hiyo kitu ambayo ninaiita mkono wa shetani.
- Lisemwalo lipo kama halipo basi linakuja, ni matumaini yangu kwamba authorities yetu wako on the top of this ishu, ni kukamatwa tu kwa owner ndiyo njia pekee ya kuelekea kwenye healing na recovery kwa victims ambao nasikia ni wengi sana wa hiyo kitu, ninawaombea Mungu awape baraka na spirit of quick recovery ingawa pia with the presha toka kwa pilato na this ishu in the last few weeks, baada ya hii topic nitajiweka kando rasmi na mitandao in general mpaka huko mbele ya safari ambako sijui itakuwaje na ni lini.
Ahsante Sana Wakuu.
William. - Community Organizer (CO)