Sishindwina silegei ni kwamba mimi nilikuwa msomaji mzuri saaana wa theutamu kila siku napita zaidi ya mara 3,nasema ukweli najua hata wewe ulikuwa kama mimi ila unazuga machoni mwa watu........
Blogu ilikuwa njema sana yaliwekwa mule nisema 75% ni kweli na imesaidia wengine na majambga ambayo yangetukuta.......
Sipingi mimi nilikuwa mlevi wa Theutamu......hata wewe najua ulikuwa nami kule huwezi kusema blogu mbaya wakati hujaona kilichomo ndani..........content imekwambia kuna mamabo mabaya wewe bado uka click kwenda mbele kuona UTAMU uliomo......tuliza munkari kaka/dada