Ze Utamu Blog: Ni aibu kubwa mno kwa taifa!

Ze Utamu Blog: Ni aibu kubwa mno kwa taifa!

Status
Not open for further replies.
Sijawahi kuwa mhanga Fidel80 but nimefurahi walivyoweza kumhack akaenda chini,hata hivyo amerudi upya kama kawa hivyo kama we ni mteja wake pia u can visit there
 
our prayers,have richocheted back on us,UTAMU has resurfaced to once again rule the waves.after utamu's temporary blip,many explanations came out,it now seems we were just taking one another for a ride.it just beats my head,how this menace to society manages to stay ahead of the chasing pack.i regret not ever marjoring in IT,this could have been one hell of a challenge.so many questions remain unanswered.
was utamu hacked,untilhe/she unjumbled him/herself
did google play a partin temporary taking him off
utamu took it off the air to get more publicity. right now UTAMU is gloating in a statement openly challenging the world to dare take him/her on. SADLY though we now live in challenging times
 
Kama ingekuwa hacked hacker angeandika ujumbe wake pale au sahihi yake kujua nini kimefanyika
 
Sina shaka siko pekeyangu napenda kuwapongeza wale wote walioshiriki katika kuangamiza website ya umbea na udaku www.theutamu.blogspot.com

Mama Mia,
Utamu is still there, at this time has come back in full force. Login in and see what are transpired therein. May be more technicalities are needed to block this blog. But it has been learned that no one can block utamu. Watalaam wa IT, tell us is it possible to block this dirty blog?
 
nothing imposible sema watu wana interest zao hata huyo utamu alikubaliana mambo kadhaa akaachiwa free
 
Jamani mtoeni Utamu hewani?yeye anadai anakomoa mafisadi wa ngono!basi aanzie kwa wazazi wake maana bila ngono yeye asingezaliwa!UTAMU mtoeni jamani
 
Flady unajua kwamba kumtoa hewani ni makosa kisheria ? Kila kitu kinavyosajiliwa huwa na makubaliano yake akivunja makubaliano cha kufanya ni mahakamani huko ndio kwenye fursa sawa kwa wote
 
Flady unajua kwamba kumtoa hewani ni makosa kisheria ? Kila kitu kinavyosajiliwa huwa na makubaliano yake akivunja makubaliano cha kufanya ni mahakamani huko ndio kwenye fursa sawa kwa wote

Mi nadhani watu mwende kunakohusika kwenye sheria kama alivyosema muungwan Shy. Watu wapewe fursa sawa ya kusikilizwa. KAMA KUNA MWENYE KOSA AADHIBIWE.

Hivi mtu usipoingia kwenye hiyo blog what happens? kuna anayelazimisha mtu kuingia? I dont see the point really ya kumuandama jamaa na blog yake. Kama unaona haifai..dont OPEN IT simple!

Watu tunaingia JF lakini ni kwa mapenzi yetu, kwani usipoingia Invisible atakudhuru? Hapana. Ndo maana wengine wanaingia JF kwenye board ya mapenzi au JF dr nk...na wala hawajawahi ingia kwenye board ya siasa, likewise kuna ambao wao ni siasa tuu. Jamani whats difficult to know here? What happened to the meaning of disclaimer?? Jamaa wamesema kabisa: Kuna information ambayo inaweza isikupendeze! So why open? Atleast Mungu alitupa huo utashi wa kujua mema na mabaya individually. Ila hakusema kitu kikiwa kibaya kwa Peter kitakuwa kibaya na kwa Yohana! Hapana kila mtu ana utashi wake.


Nadhani we should grow up. Hizi enzi si za ku-censor information! Kisa? eti hazikubaliki katika jamii. Which jamii? and who constitute hiyo jamii anyway? si ni mimi na wewe? do we need to think alike to belong to the same jamii or should we have the same preferences?? We should strive to adopt the minimum commonalities where our interests converge na tuanzie hapo. So far naona kitu kama ufisadi kinatugusa wote kwa sababu wanaiba pesa ambayo ingejenga hospitali na barabara kwa manufaa ya wote. Not The Utamu. Let every body follow his/her MORAL COMPASS.

Cha muhimu mi nadhani watu mmtafute jamaa mmfungulie mashataka kama ana kosa na sheria ichukue mkondo wake. Hizi ni zama ambazo kila dakika teknolojia inabadilika. Usitegemee kwamba kila kitu kitakufurahisha, na kama hakikufurahishi, basi kaa mbali! I thought watu mnaoishi huko ughaibuni know this better than us wa Msewe!
 
Mi nadhani watu mwende kunakohusika kwenye sheria kama alivyosema muungwan Shy. Watu wapewe fursa sawa ya kusikilizwa. KAMA KUNA MWENYE KOSA AADHIBIWE.

Hivi mtu usipoingia kwenye hiyo blog what happens? kuna anayelazimisha mtu kuingia? I dont see the point really ya kumuandama jamaa na blog yake. Kama unaona haifai..dont OPEN IT simple!

Watu tunaingia JF lakini ni kwa mapenzi yetu, kwani usipoingia Invisible atakudhuru? Hapana. Ndo maana wengine wanaingia JF kwenye board ya mapenzi au JF dr nk...na wala hawajawahi ingia kwenye board ya siasa, likewise kuna ambao wao ni siasa tuu. Jamani whats difficult to know here? What happened to the meaning of disclaimer?? Jamaa wamesema kabisa: Kuna information ambayo inaweza isikupendeze! So why open? Atleast Mungu alitupa huo utashi wa kujua mema na mabaya individually. Ila hakusema kitu kikiwa kibaya kwa Peter kitakuwa kibaya na kwa Yohana! Hapana kila mtu ana utashi wake.


Nadhani we should grow up. Hizi enzi si za ku-censor information! Kisa? eti hazikubaliki katika jamii. Which jamii? and who constitute hiyo jamii anyway? si ni mimi na wewe? do we need to think alike to belong to the same jamii or should we have the same preferences?? We should strive to adopt the minimum commonalities where our interests converge na tuanzie hapo. So far naona kitu kama ufisadi kinatugusa wote kwa sababu wanaiba pesa ambayo ingejenga hospitali na barabara kwa manufaa ya wote. Not The Utamu. Let every body follow his/her MORAL COMPASS.

Cha muhimu mi nadhani watu mmtafute jamaa mmfungulie mashataka kama ana kosa na sheria ichukue mkondo wake. Hizi ni zama ambazo kila dakika teknolojia inabadilika. Usitegemee kwamba kila kitu kitakufurahisha, na kama hakikufurahishi, basi kaa mbali! I thought watu mnaoishi huko ughaibuni know this better than us wa Msewe!

Mkuu
nadhani its more than kutaka mtu afungiwe blog na uhuru wa mtu kuingia na kusoma. Kutumia sheria kudai haki ni njia nzuri kama unamjua anaye kuchafulia jina... ukitukanwa au ukakashfiwa kwenye blog na mtu USIYEMJUA just bcoz anakuchukia kwa sababu anazozijua yeye..utakuwa na remedy gani?..Watu wengine hujificha nyuma ya computer zao kutukana wengine bila sababu za msingi... je hawa haki watapataje?..
 
Mkuu
nadhani its more than kutaka mtu afungiwe blog na uhuru wa mtu kuingia na kusoma. Kutumia sheria kudai haki ni njia nzuri kama unamjua anaye kuchafulia jina... ukitukanwa au ukakashfiwa kwenye blog na mtu USIYEMJUA just bcoz anakuchukia kwa sababu anazozijua yeye..utakuwa na remedy gani?..Watu wengine hujificha nyuma ya computer zao kutukana wengine bila sababu za msingi... je hawa haki watapataje?..

Mkuu,
Exactly ndicho kitu inabidi watu wafanyie kazi. Iam sure kuna wataalamu wengi wa IT kwa hiyo wanaweza wakamtafuta. Reading what Invisible wrote yesterday ni kwamba wanamjua jamaa anayeendesha hiyo blog! Na wanaotuma comments wanafuatiliwa! So whats difficult KUMTAFUTA NA KUMPELEKA KUNAKOHUSIKA? naamini inawezekana kabisa. Jana nilitahadharisha kwamba kufuta huo mtandao ni short term remedy, maana watatokea kwingine!

Ohh I think hujasahau kwamba hapo zamani za kale JAMIIFORUMS ilikuwa ikiitwa JAMBOFORUMS! So what happened?
 
The Utamu anadhihirisha kuwa sasa hivi ni namna gani shetani alivyona nguvu katika dunia yetu. Anyway huu ulimwengu wa utandawazi ukiachwa bila ya kuwekewa mipaka unaweza kuleta matatizo makubwa katika jamii. Na sasa hivi naweza kusema maadili yameshuka kwa asilimia 80. Vile vitu ambavyo vilikuwa ni kinyume na maadili na vikapigwa vita kwa nguvu zote sasa hivi vinashabikiwa kwa nguvu zote mathalan suala la ushoga nchini mwetu. Sio kwamba hapo awali hawakuwapo hasha ila sio kwa kasi inayovuma sasa hivi. Tusubiri tuone matokeo yake. Mimi si mshabiki wa the utamu ila wakati mwingine mtu hulazimika kuangalia sio kwa mapenzi yake ila wakati mwingine waweza kujikuta unahusishwa moja kwa moja au kusingiziwa kashfa katika mtandao huo au mtu wako wa karibu. Kwa hiyo sio wote wanaangalia kwa ushabiki ila wanaanzia hapo na wengine kutaka kuupata udaku wa masupastaa. Baadae unakuwa mgonjwa huachi tena kila siku lazima uperuzi mara mbili mara tatu kutokana na sababu hizo. Lakini hiki kinatoa mafundisho gani kwa watoto wetu waliokwishaanza kuharibika?
 
Kutumia sheria kudai haki ni njia nzuri kama unamjua anaye kuchafulia jina... ukitukanwa au ukakashfiwa kwenye blog na mtu USIYEMJUA just bcoz anakuchukia kwa sababu anazozijua yeye..utakuwa na remedy gani?..Watu wengine hujificha nyuma ya computer zao kutukana wengine bila sababu za msingi... je hawa haki watapataje?..
fafanua kuchafuliwa kivipi mamaa? unajua hata jf inawachafua watu,hujui hilo? ........kujificha hata wewe umejificha kama kweli huchafui mtu hapa jf tumia jina lako halisi.......si uhuru wa mawazo na maoni chanya unatoa so why unajificha na jina bandia womaa?

Masanja;298742] Jamani whats difficult to know here? What happened to the meaning of disclaimer?? Jamaa wamesema kabisa: Kuna information ambayo inaweza isikupendeze! So why open? Atleast Mungu alitupa huo utashi wa kujua mema na mabaya individually

Ubarikiwe na mapoint haya.......


Cha muhimu mi nadhani watu mmtafute jamaa mmfungulie mashataka kama ana kosa na sheria ichukue mkondo wake. Hizi ni zama ambazo kila dakika teknolojia inabadilika. Usitegemee kwamba kila kitu kitakufurahisha, na kama hakikufurahishi, basi kaa mbali! I thought watu mnaoishi huko ughaibuni know this better than us wa Msewe!
kabisaaaaaa....hana mashtaka theutamu......hata JF haipendwi na watu kuna watu wanafanya jitihada zao kila wa hack JF lakini wanashindwa wananyimwa usingizi na jf......China ilifunga blogu kule kisa walikuwa wanaumbuliwa miwshowe wakaachia wenyewe......sudan nako waliifungia Youtube kisa inawaumbua.....
 
Yaliyoandikwa hapa kuhusu Utamu Blog inaelekea yamewagusa na hivyo kuahidi kubadili mwenendo wao. Kama kweli itakuwa hivyo badala ya kuwachafua Watanzania na familia zao wasiokuwa na maovu yoyote basi juhudi zetu zimezaa matunda. Tusubiri tuone. Habari hii hapa chini nimeichukua toka Utamu.


Baada ya blog yenu kufutwa hapo jana mitandao kadhaa iliripoti kuhusu habari hiyo na wadau kibao walichangia issue hii hebu tembelea mitandao hii hapa...
Michuzi blog gonga hapa
KLHNEWS hapa
JamiiForums gonga hapa
TZuK hapa
Hii inaonyesha jinsi gani blog hii iko popular, tunafanya jitihada ya kubadili na kuchuja comment chafu ili ilenge hasa kwa wenye mienendo potofu ya KINGONO hasa kwa vigogo.....
MAMBO 10 USIYOJUA KUHUSU UTAMU BLOG
Hutembelewa mara 10,000 kwa siku
Imetembelewa zaidi ya mara milioni 1 toka kuanzishwa kwake
Ina umri wa mwaka mmoja tu hadi sasa
Ina posts takribani 1000 hadi sasa
Inagenarate income ya US$ 230-300 per day from daily hits and adverts
Ni maarufu Tanzania nzima na nchi za nje hasa UK, INDIA, USA, Kenya, Uganda, Rwanda, Burundi, DRC ...
Imepunguza ngono nzembe hasa kwa vigogo
Wadau wake wakuu ni watu wa maofisini na vigogo
Ni mtandao tando maarufu pengine kuliko mitandao tando yote hapa Bongo
Ni adui namba moja wa MAFISADI WA NGONO
Compiled by THEUTAMU Team

WADAU WENYE DATA ZINGINE TOENI KUPITIA MAONI
 
yaliyoandikwa hapa kuhusu utamu blog inaelekea yamewagusa na hivyo kuahidi kubadili mwenendo wao. Kama kweli itakuwa hivyo badala ya kuwachafua watanzania na familia zao wasiokuwa na maovu yoyote basi juhudi zetu zimezaa matunda. Tusubiri tuone. Habari hii hapa chini nimeichukua toka utamu.


baada ya blog yenu kufutwa hapo jana mitandao kadhaa iliripoti kuhusu habari hiyo na wadau kibao walichangia issue hii hebu tembelea mitandao hii hapa...
Michuzi blog gonga hapa
klhnews hapa
jamiiforums gonga hapa
tzuk hapa
hii inaonyesha jinsi gani blog hii iko popular, tunafanya jitihada ya kubadili na kuchuja comment chafu ili ilenge hasa kwa wenye mienendo potofu ya kingono hasa kwa vigogo.....
Mambo 10 usiyojua kuhusu utamu blog
hutembelewa mara 10,000 kwa siku
imetembelewa zaidi ya mara milioni 1 toka kuanzishwa kwake
ina umri wa mwaka mmoja tu hadi sasa
ina posts takribani 1000 hadi sasa
inagenarate income ya us$ 230-300 per day from daily hits and adverts
ni maarufu tanzania nzima na nchi za nje hasa uk, india, usa, kenya, uganda, rwanda, burundi, drc ...
Imepunguza ngono nzembe hasa kwa vigogo
wadau wake wakuu ni watu wa maofisini na vigogo
ni mtandao tando maarufu pengine kuliko mitandao tando yote hapa bongo
ni adui namba moja wa mafisadi wa ngono
compiled by theutamu team

wadau wenye data zingine toeni kupitia maoni

bubu hiyo ni njia ya kujitangaza na nakwambia angalia flow ya waliotembelea theutamu leo na waliotembelea jf utaona watu wanakimbilia utamu kutoka maofisini , vyuoni , cafe na sehemu zingine nyingi kote the utamu the utamu
 
is cyber bullying a crime?

inategemea umekutokea katika enzi gani na wakati gani

1 ) mfano , uko katika chatroom mtu anakutisha na kukutukana hiyo ni crime

2 ) mtu anapoweka picha sehemu fulani na wengine wanatoa maoni yao hiyo sio cyberbullings

lakini inategemea na sehemu jinsi sheria za sehemu fulani zinavyosema kwa tanzania hakuna sheria zozote za cyber kwahiyo unatesa tu
 
naona kuna watu wamekuwa so emotional humu JF kuijadili Utamu blog

je mmetajwa kiana?

mimi binafsi kusema ukweli sijamaliza kusoma lakini kuna watu nikukutana waliotajwa mle sijui nikikutana nao kama ntaweza kuwatazama the same way kama nilivykuwa nikiwatazama hapo awali
 
Status
Not open for further replies.

Similar Discussions

Back
Top Bottom