Ze Utamu Blog: Ni aibu kubwa mno kwa taifa!

Ze Utamu Blog: Ni aibu kubwa mno kwa taifa!

Status
Not open for further replies.
Bora imekufa maana ilikuwa inaharibu reputation za watu mbali mbali (Watanzania) wanaoishi Tanzania na nchi za nje. Mtu akikuchukia tu basi anatafuta picha yako na kuitundika huko na unaanza kutukanwa matusi ya nguoni na watu mbali. Siku za karibuni kulikuwa na mabadiliko maana Watanzania wengi walikuwa hawakubaliani na tabia hiyo ya kuweka picha za watu na kuanza kuwatukana matusi ya nguoni na waume/wake zao na wakati mwingine hata wazazi wao. Naona Watanzania wengi waliokuwa na wasi wasi kuhusu kupigwa picha katika sherehe mbali mbali au kumbi za starehe sasa watapumua bila wasi wasi.
 
Please, eti wanainvestigate emails!! there are hundreds of thousands if not millions of blogs on blogger.com kama wakiambiwa wainvestigate kila moja si itakua balaa!! Imefungwa probably coz of violation za terms of service, thats it. Na nini kitakachomzuia kufungua blog nyingine? Anonymity ndo kitu kizuri na kibovu kuhuru net.
 
ndio maana traffic imeanza kuwa kubwa huku JF!

DUH!

noma tupu maana nilikuwa nina enjoy kusoma comments za Frank Machozi zilishafika 600 leo asubuhi

what a shame!
 
bilashaka...maana jamaa alikuwa anabandika tu kila picha inayotua kwake bila uchunguzi wala kupata kigugumizi

jamaa hawa walikuwa noma sana, wk ilopita tu walitoa picha na kandia kibao za demu wa mshkaji...yaani duh, jamaa kawa mdogo mpaka anatia huruma.
 
Tatizo lingine lililopo hapa ni kuwa jamaa wana wanchama wengi.Ukiangalia hata comments number utajua ni jinsi gani watu wengi wanazitembelea na kuweka maoni yao.
La msingi ni kutozitembelea hizo blogs as long ukiona hazikufai coz ukizitembelea tu then utakutana na vitu usivyotaka kukutana navyo.
Ukitaka kuivisit inakuwarn kua contents are of disgrace hivyo sio busara kuendelea kuclick ili uingie.
WAKOSE WATEJA NA SOKO LITAJIFUNGA TUU BILA KUPENDA
 
Pale the utamu mimi binafsi nimejifunza mengi sana mabaya na mazuri....
Tumejua kupitia pale nani mtu hatari nani si hatari kwa coments za watu mbali mbali ambao wapo karibu na washukiwa waliokuwa wanatundikwa hewani.
Vile vile tabia za baadhi yetu zimerekebishika maana ilifikia kipindi mtu ni kujiachia tu lakini sasa watu wanaogopa kufanya mambo hadharani kinyume na maadili ya kiafrica wanao ogopa watawekwa hewani..
Ndo hivyo tena tutaimiss sana the utamu..
 
Ni kweli ujumbe ndo huu hapa chini.

Blog has been removed
Sorry, the blog at theutamu.blogspot.com has been removed. This address is not available for new blogs.

Did you expect to see your blog here? See: 'I can't find my blog on the Web, where is it?'

--------------------------------------------------------------------------------

Home | Features | About | Buzz | Help | Discuss | Language | Developers | Gear
Terms of Service | Privacy | Content Policy | Copyright © 1999 – 2008 Google
 
womenofsubstanc wewe yaonekana ni muangaliaji mzuri sana wa blog zile.....na unaonekana unazipenda..thats the fact......ukiwa unaingia mule kuna Content Warning
The blog that you are about to view may contain content only suitable for adults. In general, Google does not review nor do we endorse the content of this or any blog. For more information about our content policies, please visit the Blogger Terms of Service
wewe kwa makusudi mazima ukaclik kuwa I understand and i wish to continue.......alafu sasa......

ukavutiwa na yaliyomo mpaka ukaamua kusoma comments mule na kuja na mfano wake......nikuiteje? naweza kusema kuwa wewe ni "mlevi" wa blogs zile.....


YO YO!
USHINDWE NA ULEGEE!!!
HUNA HAKI KUNIHUKUMU ULIVYOFANYA.....MTU YEYOTE MWENYE UTASHI NA AKILI timamu , ANAYO HAKI KUELEWA KINACHOENDELEA ILI 1. AJUE ULIMWENGU UNAELEKEA WAPI NA 2. AWEZE KUJUA YEYE KAMA MWANAJAMII ATAKUWA NA MCHANGO GANI KUBORESHA JAMII YAKE..PAMOJA NA MAMBO MENGINE!kWA KUTEMBELEA BLOGS MBALIMBALI NIMEWEZA KUJIONA MAMBO MENGI - IWE NAYAKUBALI AU LA! ISITOSHE KAMA NISINGEONA HIYO BLOG BASI NINGEKUWA GIZANI NA NISINGEWEZA KUKEMEA NA KUWAOMBA NANYI MKEMEE.
LABDA SHUTUMA HIZI ULIZOELEKEZA KWANGU NADHANI ZINAKUFAA WEWE MWENYEWE SAWIA (-TAZ.MCHANGO WAKO HAPO JUU #46! )NAKUNUKUU "......ukiangalia picha nyingi sio za adobe photoshop ni real pics na inajulikana biashara za wengine huko walipo.....

JE? ULIONAJE HIZO PICHA NA HATA KUZICHAMBUA KWA KINA NA KUJUA NI REAL PICS? ULIOTESHWA NJONZI? TUACHE UNAFIKI!


KUMBUKA,UNAPONYOOSHEA WENGINE KIDOLE UJUE VITATU VINAKUELEKEA WEWE MWENYEWE.
Nadhani nimeeleweka!
 
anayeendesha mtandao wa utamu blogs kwa mlango wa nyuma ni ERIC SHIGONGO... ndio maana kuna ushirikiano mkubwa kati ya habari anazoandika na contents za utamu.... ye anajifanya mlokole. picha nyingi utamu zinatoka kwenye network yake.. na nyingine kwa kuwa wame enable watu kutuma picha ..wanalipuana wenyewe...

kwa kifupi uwepo wa mtandao wa utamu na hii tabia ya watu kulipuana ni kama ameweka ili imsaidie kupata habari za udaku za kuandika magazetini yake at no cost..kwani what happens ni kama akitaka kupata habari zako wewe women.. anachofanya ni kupost picha yako utamu hata ukiwa umevaa decent...then watu wanaaza kupost taarifa zako......hasa haters wako ....who knows along the way anaweza kutokea mtu ana picha yako ukiwa na swim cost unaogelea akaiweka nawe ukaonekana mbaya...

simply huu mtandao unaboa sana ....na unaharibu watoto wetu kutwa wanaangalia matusi......na kuwachafua watu wengine ambao ni innocent...,sikatai kuna wanaowekwa kule ambao ni wachafu..lakini laiti mtandao kama utamu ungekuwa na moderator mwenye mamlaka pekee ya kupost picha zaidi ya kuachia kiholela ......tungejua nani anapost lazima angekuwa anapost fairly picha za wale ambao wako proven kuwa wachafuzi na sio kuchonganisha watu ...wengi leo wameachika kwa sababu ya hiyo...mfano mtu ana picha ya ex girlfriend wake akiwa naked .....siku anaolewa anaamua kumweka utamu ili kumkomoa ...ni vigumu sana kwa aliyemuoa kuamini kama ni picha ya zamani..and vice versa...
 
Kuna UKWELI wowote kuhusu yanayosemwa kwenye hii blog ya utamu?
 
Unataka ukweli upi Mkuu...go straight...be transparent...
 
anayeendesha mtandao wa utamu blogs kwa mlango wa nyuma ni ERIC SHIGONGO...ndio maana kuna ushirikiano mkubwa kati ya habari anazoandika na contents za utamu....ye anajifanya mlokole. picha nyingi utamu zinatoka kwenye network yake..na nyingine kwa kuwa wame enable watu kutuma picha ..wanalipuana wenyewe...

kwa kifupi uwepo wa mtandao wa utamu na hii tabia ya watu kulipuana ni kama ameweka ili imsaidie kupata habari za udaku za kuandika magazetini yake at no cost..kwani what happens ni kama akitaka kupata habari zako wewe women.. anachofanya ni kupost picha yako utamu hata ukiwa umevaa decent...then watu wanaaza kupost taarifa zako......hasa haters wako ....who knows along the way anaweza kutokea mtu ana picha yako ukiwa na swim cost unaogelea akaiweka nawe ukaonekana mbaya...

simply huu mtandao unaboa sana ....na unaharibu watoto wetu kutwa wanaangalia matusi......na kuwachafua watu wengine ambao ni innocent...,sikatai kuna wanaowekwa kule ambao ni wachafu..lakini laiti mtandao kama utamu ungekuwa na moderator mwenye mamlaka pekee ya kupost picha zaidi ya kuachia kiholela ......tungejua nani anapost lazima angekuwa anapost fairly picha za wale ambao wako proven kuwa wachafuzi na sio kuchonganisha watu ...wengi leo wameachika kwa sababu ya hiyo...mfano mtu ana picha ya ex girlfriend wake akiwa naked .....siku anaolewa anaamua kumweka utamu ili kumkomoa ...ni vigumu sana kwa aliyemuoa kuamini kama ni picha ya zamani..and vice versa...

Huyu ana undugu na Eric Shigongo? au ... mmeniwacha solemba.

Am happy utamu is gone, thank you the Invisible
 
solution ni kufungia magazeti ya udaku au watu waache kununua magazeti ya udaku automatically kina shigongo watakosa pesa za ku finance mitandao ya uchi...inayowapatia habari...
 
..no its ERIC shigongo ..siunaju ni vigumu kukumbuka jina la cheap mind kama yeye..kama utamu imekufa next step ni kuuwa magazeti yake....maana bila utamu like atakuwa hapati habari!
 
Jama tusishangilie sana,huyu jamaa anaweza kurudi tena.Awamu hii anaweza rudi akiwa na hasira za kujeruhiwa hivyo akatafuna wengi zaidi.

LA MSINGI NI KUPUNGUZA UTEJA KWAKE,KAMA ANATEMBELEWA INA MAANA ANA SOKO HATA KAMA HAKUBALIKI HIVYO WATEJA TUSIENDE HUKO KUMPA KICHWA,AKAE BILA COMMENTS KTK PICHA ZAKE TUONE KAMA ATAENDELEA.

TUSIWE WANAFIKI WENGI WETU HUKU NI WATEMBELEAJI WAKUBWA WA MDAU HUYU HIVYO TUPUNGUZE TUU KWISHA.
 
Hata hivyo pongezi kwa alie weza muangusha,invisible ur great wizard in this
kula tano mtu wangu saaaaaaaaaaaaaafi sana.

Tumehangaika wengi macomputer wizard kumleta offline lakini alkua anatuzidi ujanja
 
Alitumiwa email na jamaa mmoja akajifanya hawezi kuattach picha anahitaji maelezo huyo jamaa alituma kutumia email 5 na majina 5 tofauti jamaa mwenye utamu akazijibu kwa njia anazojua yeye lakini bila kujua kwamba watu walikua na target fulani muulizeni atakwambia last week alitumiwa email mtu anaomba asaidiwe jinsi ya kuattach picha yeye akajibu kwa ufasaha na kutoa sura yake kamili akavamiwa

jamani kuweni makini
 
Alitumiwa email na jamaa mmoja akajifanya hawezi kuattach picha anahitaji maelezo huyo jamaa alituma kutumia email 5 na majina 5 tofauti jamaa mwenye utamu akazijibu kwa njia anazojua yeye lakini bila kujua kwamba watu walikua na target fulani muulizeni atakwambia last week alitumiwa email mtu anaomba asaidiwe jinsi ya kuattach picha yeye akajibu kwa ufasaha na kutoa sura yake kamili akavamiwa

jamani kuweni makini

Kumbe mnafahamiana?How did u know the story?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom