Kibunango
Platinum Member
- Aug 29, 2006
- 8,420
- 2,271
Safi sana kwa kuwa na mtazamo huo, katika siasa na utawala endelevu, nafasi ya wananchi wa kawaida katika kuamua mambo yao ni kubwa na ndio msingi wa uendelevu.kadaMpinzani,Kakindo,Mwakasege,JokofuKiwete,InterestedObserver,
Mimi nadhani hawa ZeComedy wamefungua uwanja kwa Comedians wengine kuwajadili na kuwachambua wanasiasa. Mimi nadhani hiyo inaongeza ushiriki wa jamii ktk siasa. Hilo ni jambo zuri kwangu.