asakuta same
JF-Expert Member
- Mar 1, 2011
- 14,829
- 5,039
kwa ethics za kidaktari ukimtibu mtu akapona hlf uhusiano wa dr na mgonjwa unaishia hapo ......so baada ya hapo mkikubaliana ni mwendo mdundo.AS mbona kama nimeshachelewa kutema mate?Hata mwezi haujapita tangu rafiki yangu aniambie daktari mwenzie anatembea karibu na wagonjwa wake wote wa kike.Sema nilisahau kuuliza wanachopata hao wagonjwa...
Sijui itakua ni dawa au huduma!?